Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Kwenye hii picha ni Bondia Mkongwe Mike Tyson "Malik Abdul Aziz" akiwa na Rais wa Sasa wa Marekani - Trump! Ambapo UNAAMBIWA
Picha hii ilipigwa Mwaka 1988 kipindi hicho Mike Tyson akiwa amemuajiri Donald Trump Kama Msaidizi wake binafsi kwenye maswala ya fedha lakini leo hii Trump siyo mtumishi wa Tyson bali ni rais wake.
Picha hii ilipigwa Mwaka 1988 kipindi hicho Mike Tyson akiwa amemuajiri Donald Trump Kama Msaidizi wake binafsi kwenye maswala ya fedha lakini leo hii Trump siyo mtumishi wa Tyson bali ni rais wake.