Uchaguzi 2020 Funzo kwa CHADEMA: Next time msiandae mikutano yenu sambamba na ya CCM!

jingalao: Kama bajeti ya dawa umeongezeka wale watu kule kwenye meli ya Mchina walikuwa wanaenda kufanya nini? Eti bajeti imeongezeka, je, huduma zimeboreshwa? Watu kukimbilia matibabu kwenye meli ya Mchina ni ishara ya uduni wa huduma za jamii ilkiwemo afya.
 
Chadema huwa hawajifunzi...na wakikosolewa wanaporomosha matusi.
Kadhia iliyowakuta 2015 wakati CCM wanapitisha mgombea wao wa Urais ilikuwa kubwa.
Mkutano wa kamati kuu Chadema ikasambaratika..
Wakabaki kuangalia TV mambo ya Ccm...ikabaki tutatangaza mgombea jumamosi ijayo...baada ya hapo wakaingia mitini kwa kipindi kirefu sana [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Niwashauri mara 2? Hakuna mtu ana muda wa kushiriki huo upuuzi.
2020 wakiacha shiriki uchaguzi mkuu najitoa JF!...hawana uwezo susia uchaguzi mkuu level zao hizi tuu!..
 
Haaa haaa me nilishasahau kama walifanya mikutano na kuja na matamko!Ni ngumu kujipambanua kati ya tasisi na kikundi cha wanaharakati full stop!aya ni mapicha picha tu movie kamili inakuja
 
2020 wakiacha shiriki uchaguzi mkuu najitoa JF!...hawana uwezo susia uchaguzi mkuu level zao hizi tuu!..

Kwani hata sasa una impact gani wakati wewe mwenyewe umejiunga juzi.
 
CCM hamna lolote zaidi ya kutegemea nguvu za Jeshi lakini ktk medani za kisiasa hamna lolote. Ni kama Zimbabwe jeshi likiwaacha mmekwisha hata huyu bwana ameingia kwa nguvu za jeshi ktk Kura alipigwa vibaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…