jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Weeee chadema hawakuwa na mkutano bhana au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo unanipeleka kwenye fikra yangu ya pili...yaani mnapenda kuiga mambo ya nchi nyingine yaani mnaangalia sana BBC na CNN wanatangaza siasa zipi halafu mnaiga.Unapimaje mafanikio? Au unatumia kipimo cha kiccm kujua mafanikio. Wananchi wamepata ujumbe wa cdm na wale wanaukubali upinzani na kupuuza siasa za kishenzi hawatashiriki uchaguzi wowote unaoandaliwa na tume ya wahuni chini ya mwenyekiti wa ccm.
Huwezi kuisaidia Serikali kama wakati inapambana na mafisadi wewe unasema wanaonewa.NI VIZURI TUKAJIKITA KUIPA PRESSURE SERIKALI IFANYE KAZI YAKE AMBAYO ILISHINDWA KUFANYA TOKA 1961 NA KUWAONDOLEA WATANZANIA KERO NYINGI ZINAZOWASUMBUA...
WATANZANIA WANA KERO NYINGI SANA AMBAZO MWISHO WA SIKU ZINAENDELEA KUWAFANYA WAWE MASIKINI NA KUFA KWA MARADHI, NI VYEMA TUKAPAMBANA NA WATAWALA KWA NGUVU ZETU ILI WATATUE KERO NA SI KUPIGA MAKOFI KILA KUKICHA HUKU BADO TAIFA LINGALI MASIKINI NA WATU WAKE WENGI WANAISHI KWENYE UMASIKINI NA UPRIMITIVE ULIOPITILIZA KUTOKA NA MADHARA YA WENGI WAO KUKOSA ELIMU SAHIHI NA WENGINE KUIKOSA KABISA..
Hapo unanipeleka kwenye fikra yangu ya pili...yaani mnapenda kuiga mambo ya nchi nyingine yaani mnaangalia sana BBC na CNN wanatangaza siasa zipi halafu mnaiga.
Mkiona maandamano misri mnajigeuza misri.
Mkiona maandamano dhidi ya ukuta wa mexico mnakuja na operation ukuta.
Mkimsikia Obama kaja na slogan ya Change mnageuka Democrats.
Sasa hivi Odinga kasusia uchaguzi mmeshajidai NASA!!
Ndio maana nawaambia siasa za kilaghai zimefika mwisho.
Na dolar?Ziko threads husika katika hayo...na tumeyatolea majibu.by the way kilo ya korosho ni 4000 kule kusini kutoka 1000 mwaka 2015.sasa utajaza mwenyewe kama pato la mkulima(75% ya watanzania) limepanda au la?
Ila nikiri kuwa pato la mtanzania fisadi limeporomoka kwa kasi ya ajabu sana.
Reli mpya inayojengwa imefika eneo gani?Huwezi kuisaidia Serikali kama wakati inapambana na mafisadi wewe unasema wanaonewa.
Wakati inanunua ndege wewe unaona wivu.
Wakati inajenga reli unabeza.!!
ndefuuu nilifikiri hotuba ya kuzindua kiwandaNapenda kuwapa somo dogo ndugu zangu wa Chadema kwa kuwa mnaendelea kujifunza siasa.
Kuna msemo wa kiswahili unaoonya kuhusu kumuiga Tembo Kunya....Mtamalizia wenyewe!!
Nimefuatilia mara kadhaa kamati kuu ya Chadema hasa katika kipindi hiki baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 wakijaribu kupanga mikutano na matamko katika siku au wiki ambazo kamati kuu ya CCM au jumuiya zake muhimu zinapofanya mikutano.
Style hii ni mpya kidogo pengine ni katika juhudi za kuongeza ushindani dhidi ya Chama tawala CCM.Utaratibu huu unaelekea umeletwa na mmoja wa makapi kutoka CCM anayejaribu kuifanya Chadema ionekane kama Chama kinachoongoza dola CCM.
Sio mbaya kuiga mambo mengi na mazuri kutoka CCM kwani CCM ni chama kikongwe na chenye hazina kubwa ya ubunifu.
Hoja yangu ni moja tu siku ya leo..kwamba mnapoona mbinu mliyocopy na kupaste inagoma kuwaletea matokeo tarajali hamna budi mara moja kuachana nayo kwa kuwa bila kufanya hivyo mntaishia kupata aibu na kuwapunguzia morali.
Juma hili kamati kuu ya Chadema imekutana na ilitarajiwa kwa mujibu wa wanapropaganda wa Chadema mitandaoni kuja na maazimio au matamko mazito kama ilivyo desturi yao ya kututia kamba.
Ninachojiuliza ni kimoja tu....je kiherehere cha kupanga mkutano wao sambamba na mikutano kadhaa ya jumuiya za CCM walikitoa wapi?mimi sina jibu ila wanabavicha mnaeeza kunisaidia.
Ni aibu kubwa kwa mara nyingine kamati kuu ya Chadema inajizolea kwa kujaribu kujilinganisha na Chama kubwa CCM katika mazingira ambayo yanaonesha wazi utofauti wa kiwango cha Mbingu na Ardhi kati ya vyama hivi iwe ni kwa coverage,support,agenda na organisation.
Mfano:Mkutano mmoja tu wa jumuiya za CCM yaani mkutano wa UVCCM uliweza kuzima kabisa mjadala wa kikao cha kamati kuu ya Chadema.Hii ni aibu inayohitaji tathmini.
Niendelee kuwaasa ndugu zangu wa CDM kuwa wabunifu na kuja kivingine ili kweli kuonesha kuwa kama wapinzani mna jipya la kuiletea nchi.
Achaneni kupokea mawazo ya makapi ya CCM na mafisadi waliofanya Chadema kuwa chaka lao...watawapotosha.
KWA LEO NI HAYA TU...
HAPA KAZI TU!
Una uhakika au unaongea chochote kinachokujia? Reli inajengwa kwa kuchimba karavati? Karavati zinazochimbwa zilijengwa lini?Karavati zimeanza kuchimbwa na leo hii waziri Mbalawa alikuwa site
Elimu bila adaNapenda kuwapa somo dogo ndugu zangu wa Chadema kwa kuwa mnaendelea kujifunza siasa.
Kuna msemo wa kiswahili unaoonya kuhusu kumuiga Tembo Kunya....Mtamalizia wenyewe!!
Nimefuatilia mara kadhaa kamati kuu ya Chadema hasa katika kipindi hiki baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 wakijaribu kupanga mikutano na matamko katika siku au wiki ambazo kamati kuu ya CCM au jumuiya zake muhimu zinapofanya mikutano.
Style hii ni mpya kidogo pengine ni katika juhudi za kuongeza ushindani dhidi ya Chama tawala CCM.Utaratibu huu unaelekea umeletwa na mmoja wa makapi kutoka CCM anayejaribu kuifanya Chadema ionekane kama Chama kinachoongoza dola CCM.
Sio mbaya kuiga mambo mengi na mazuri kutoka CCM kwani CCM ni chama kikongwe na chenye hazina kubwa ya ubunifu.
Hoja yangu ni moja tu siku ya leo..kwamba mnapoona mbinu mliyocopy na kupaste inagoma kuwaletea matokeo tarajali hamna budi mara moja kuachana nayo kwa kuwa bila kufanya hivyo mntaishia kupata aibu na kuwapunguzia morali.
Juma hili kamati kuu ya Chadema imekutana na ilitarajiwa kwa mujibu wa wanapropaganda wa Chadema mitandaoni kuja na maazimio au matamko mazito kama ilivyo desturi yao ya kututia kamba.
Ninachojiuliza ni kimoja tu....je kiherehere cha kupanga mkutano wao sambamba na mikutano kadhaa ya jumuiya za CCM walikitoa wapi?mimi sina jibu ila wanabavicha mnaeeza kunisaidia.
Ni aibu kubwa kwa mara nyingine kamati kuu ya Chadema inajizolea kwa kujaribu kujilinganisha na Chama kubwa CCM katika mazingira ambayo yanaonesha wazi utofauti wa kiwango cha Mbingu na Ardhi kati ya vyama hivi iwe ni kwa coverage,support,agenda na organisation.
Mfano:Mkutano mmoja tu wa jumuiya za CCM yaani mkutano wa UVCCM uliweza kuzima kabisa mjadala wa kikao cha kamati kuu ya Chadema.Hii ni aibu inayohitaji tathmini.
Niendelee kuwaasa ndugu zangu wa CDM kuwa wabunifu na kuja kivingine ili kweli kuonesha kuwa kama wapinzani mna jipya la kuiletea nchi.
Achaneni kupokea mawazo ya makapi ya CCM na mafisadi waliofanya Chadema kuwa chaka lao...watawapotosha.
KWA LEO NI HAYA TU...
HAPA KAZI TU!
Na US Dollar $ ilikuwa ngapi kwa kipindi hicho hicho?Ziko threads husika katika hayo...na tumeyatolea majibu.by the way kilo ya korosho ni 4000 kule kusini kutoka 1000 mwaka 2015.sasa utajaza mwenyewe kama pato la mkulima(75% ya watanzania) limepanda au la?
Ila nikiri kuwa pato la mtanzania fisadi limeporomoka kwa kasi ya ajabu sana.
Unapata tabu bure kuwajibu hawa màkarai maana hawa wanafikirià pato kuéngezeka ni kukaa nyumba za shamegi bila kufanyakazi na kupata pesa za búreZiko threads husika katika hayo...na tumeyatolea majibu.by the way kilo ya korosho ni 4000 kule kusini kutoka 1000 mwaka 2015.sasa utajaza mwenyewe kama pato la mkulima(75% ya watanzania) limepanda au la?
Ila nikiri kuwa pato la mtanzania fisadi limeporomoka kwa kasi ya ajabu sana.