FUNZO..Nilidhani ex wangu amerudi sababu ya upendo kumbe ana mimba ya jamaa yake amemtelekeza!

FUNZO..Nilidhani ex wangu amerudi sababu ya upendo kumbe ana mimba ya jamaa yake amemtelekeza!

Charlez kanumba

Senior Member
Joined
Nov 2, 2024
Posts
187
Reaction score
501
Nisiwachoshe sana, kuna binti mmoja nilitokea kumpenda sana, ila yeye hakunipenda alimpenda mshikaji mwingine, lakini kwa sababu nilihofia kumpoteza binti mrembo kama yule niliendelea kubembeleza penzi na kujipa imani kuwa '0ne day atanielewa na atakuwa sababu hata yule mshikaji mwingine alikuwa katika process ya kumtongoza huyo binti, basi nilijitahidi sana kuhakikisha mimi ndiye nawinn mchezo..

Pamoja na kumpa zawadi kede kede, kumjali na kumuonyesha hisia zangu.. ila juhudi ziligonga mwamba akanambia "Nipe muda ntakufikilia" nikasema it's okay..

Baada ya miezi 2 hivi.. sababu dem alikuwa ana namba yangu ya cm, alinipigia na kuniambia kwamba amenikubalia lile ombi langu..

Nilipata furaha sana siku hiyo nikaamua kwenda kulewa kabisa na washikaji ili kusherehekea penzi langu jipya sababu binti yule nilimpenda sana.

Nilimkaribisha nyumbani kwangu kwa mara ya kwanza, nikamuandalia na chakula, sasa wakati tunapata chakula huku tukiwa zero distance "" ghafla dem akasema anajisikia kutapika, nikamruhusu akaenda kutapika,, aliporudi amekaa kidogo akasema tena anajisikia kutapika nikamruhusu, nikaanza kupata mashaka nikamchungulia kupitia dirishani

Ghafla kwa mbali nikasikia sauti akizungumza na mwanaume akigombezana nae kwamba kwanini amemuacha katika hali ile ya ujauzito.

Nikagundua Bwana kumbe yule jamaa mwingine alimkubaliwa ombi na walianzisha uhusiano wakati ambao mimi nina subiri ombi langu na alifanikiwa kumpa ujauzito na baadae migogoro ikatokea miongoni mwao..hivyo akaamua akimbilie kwangu mimba ikiwa bado changa ili apate mtu wa kulea mimba yake..

Nashukuru Mungu niliaanuka mapema kweli wanawake tuishi nao kwa akili.. unaweza kuzani mwanamke amekukubali kumbe ana lengo lake🙏🙏
 
Wapumbavu ndiyo waliwao. Arudi kufanya nini wakati alishakupiga teke? Kwanini hukuliona hili? Anakuona zwazwa na limbukeni la kutumia.
 
Ndiyo tunakujaga kusikia mke kapigwa na kitu butu kichwani, kumbe alimsingizia mtoto.
 
If you can't find love without flaunting your wallet, then rest assured that you'll never find true love in this life.

You squandered resources just to buy her affection, and here we are, back to square one. Give a woman one inch, and she'll take an entire centimeter.​
 
duuuh, pole sana brother hapo ukimlea yeye na mwanae na wasiwasi jamaa aliyemkimbia anaweza kuja kukusumbua au hata kurudiana na huyo mwanamke alafu ukawa umepoteza tu muda na pesa
 
Sasa mtu karudi na mimba changa Tu unalalamima wakati wenzio tulirudi na watoto kabisa na Tukapokelewa
 
Nisiwachoshe sana, kuna binti mmoja nilitokea kumpenda sana, ila yeye hakunipenda alimpenda mshikaji mwingine, lakini kwa sababu nilihofia kumpoteza binti mrembo kama yule niliendelea kubembeleza penzi na kujipa imani kuwa '0ne day atanielewa na atakuwa sababu hata yule mshikaji mwingine alikuwa katika process ya kumtongoza huyo binti, basi nilijitahidi sana kuhakikisha mimi ndiye nawinn mchezo..

Pamoja na kumpa zawadi kede kede, kumjali na kumuonyesha hisia zangu.. ila juhudi ziligonga mwamba akanambia "Nipe muda ntakufikilia" nikasema it's okay..

Baada ya miezi 2 hivi.. sababu dem alikuwa ana namba yangu ya cm, alinipigia na kuniambia kwamba amenikubalia lile ombi langu..Nilipata furaha sana siku hiyo nikaamua kwenda kulewa kabisa na washikaji ili kusherehekea penzi langu jipya sababu binti yule nilimpenda sana.

Nilimkaribisha nyumbani kwangu kwa mara ya kwanza, nikamuandalia na chakula, sasa wakati tunapata chakula huku tukiwa zero distance "" ghafla dem akasema anajisikia kutapika, nikamruhusu akaenda kutapika,, aliporudi amekaa kidogo akasema tena anajisikia kutapika nikamruhusu, nikaanza kupata mashaka nikamchungulia kupitia dirishani

Ghafla kwa mbali nikasikia sauti akizungumza na mwanaume akigombezana nae kwamba kwanini amemuacha katika hali ile ya ujauzito.

Nikagundua Bwana kumbe yule jamaa mwingine alimkubaliwa ombi na walianzisha uhusiano wakati ambao mimi nina subiri ombi langu na alifanikiwa kumpa ujauzito na baadae migogoro ikatokea miongoni mwao..hivyo akaamua akimbilie kwangu mimba ikiwa bado changa ili apate mtu wa kulea mimba yake.... Nashukuru Mungu niliaanuka mapema kweli wanawake tuishi nao kwa akili.. unaweza kuzani mwanamke amekukubali kumbe ana lengo lake🙏🙏

Siku nyingine ukipiga reverse gear, ukubaliane na matokeo. Mechi zinaweza kuwa droo, au ukashinda au ukashindwa. Yote maisha na lazima tuwe wanyenyekevu
 
Nisiwachoshe sana, kuna binti mmoja nilitokea kumpenda sana, ila yeye hakunipenda alimpenda mshikaji mwingine, lakini kwa sababu nilihofia kumpoteza binti mrembo kama yule niliendelea kubembeleza penzi na kujipa imani kuwa '0ne day atanielewa na atakuwa sababu hata yule mshikaji mwingine alikuwa katika process ya kumtongoza huyo binti, basi nilijitahidi sana kuhakikisha mimi ndiye nawinn mchezo..

Pamoja na kumpa zawadi kede kede, kumjali na kumuonyesha hisia zangu.. ila juhudi ziligonga mwamba akanambia "Nipe muda ntakufikilia" nikasema it's okay..

Baada ya miezi 2 hivi.. sababu dem alikuwa ana namba yangu ya cm, alinipigia na kuniambia kwamba amenikubalia lile ombi langu..Nilipata furaha sana siku hiyo nikaamua kwenda kulewa kabisa na washikaji ili kusherehekea penzi langu jipya sababu binti yule nilimpenda sana.

Nilimkaribisha nyumbani kwangu kwa mara ya kwanza, nikamuandalia na chakula, sasa wakati tunapata chakula huku tukiwa zero distance "" ghafla dem akasema anajisikia kutapika, nikamruhusu akaenda kutapika,, aliporudi amekaa kidogo akasema tena anajisikia kutapika nikamruhusu, nikaanza kupata mashaka nikamchungulia kupitia dirishani

Ghafla kwa mbali nikasikia sauti akizungumza na mwanaume akigombezana nae kwamba kwanini amemuacha katika hali ile ya ujauzito.

Nikagundua Bwana kumbe yule jamaa mwingine alimkubaliwa ombi na walianzisha uhusiano wakati ambao mimi nina subiri ombi langu na alifanikiwa kumpa ujauzito na baadae migogoro ikatokea miongoni mwao..hivyo akaamua akimbilie kwangu mimba ikiwa bado changa ili apate mtu wa kulea mimba yake.... Nashukuru Mungu niliaanuka mapema kweli wanawake tuishi nao kwa akili.. unaweza kuzani mwanamke amekukubali kumbe ana lengo lake🙏🙏
Bro mfukuze hapo chap na usimtafute tena.

Kakudharau sana.
 
Back
Top Bottom