Fupa la umeme kumchafua Dotto Biteko?

Fupa la umeme kumchafua Dotto Biteko?

Dotto Biteko aliteuliwa 30 August, 2023 na kuapishwa 1 September, 2023. Siku ya kuapishwa mhe rais alitoa miezi 6 kero za umeme ziwe zimemalizika.

Kimahesabu kutoka 1 September 20223 mpk leo 15 December 2023 bado miezi 2 na nusu muda uwe umeisha. Lkn sioni mipango, mikakati wala mbinu za Biteko kuondoa kadhia na kashda za umeme hapa nchini.

January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.

Lkn maadui na mahasimu wa Makamba (ambao kwa sehemu kubwa ni sukuma gang) walikuwa wakipiga kelele kana kwamba matatizo ya umeme kayaleta Makamba. Mama akaona isiwe shida kamteua Dotto Biteko Siwasikii tena kusema ingawa matatizo yanaongezeka lkn kwa kuwa ni sukuma gang mwenzao wameufyata.

Sasa hili fupa la umeme halitamwacha salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.

Biteko amewekwa kwenye mtego wa umeme.
Kikubwa wananchi wanajua matatizo yalianza alipokalia mtu fulani kiti,,,, maana kabla wananchi walishasahau hizo shida,,, hii kitu haiwezi mchafua Biteko maana walioianzisha hii shida wanajulikana
 
Nyuso zimewashuka hawana cha kusema, maana mvua zinanyesha mpk milima inaporomoka lkn mgawo unaendelea. Dotto Biteko bure kabisa huyu.

Eti mwalimu wa primary anakuwa naibu waziri mkuu. Puaaa!



Kumbe ni Mwalimu ?

[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kitu chochote kinachosimamiwa na Serikali hakiwezi kuwa na mafanikio kutokana na aina ya watu waliopo huko Serikalini. Ni kama serikali inawatafuta watu wenye uwezo duni kabisa kuwa viongozi.



Ni kweli sababu kuwa watu wanafaidika na udhaifu wao?!
 
Dotto Biteko aliteuliwa 30 August, 2023 na kuapishwa 1 September, 2023. Siku ya kuapishwa mhe rais alitoa miezi 6 kero za umeme ziwe zimemalizika.

Kimahesabu kutoka 1 September 20223 mpk leo 15 December 2023 bado miezi 2 na nusu muda uwe umeisha. Lkn sioni mipango, mikakati wala mbinu za Biteko kuondoa kadhia na kashda za umeme hapa nchini.

January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.

Lkn maadui na mahasimu wa Makamba (ambao kwa sehemu kubwa ni sukuma gang) walikuwa wakipiga kelele kana kwamba matatizo ya umeme kayaleta Makamba. Mama akaona isiwe shida kamteua Dotto Biteko Siwasikii tena kusema ingawa matatizo yanaongezeka lkn kwa kuwa ni sukuma gang mwenzao wameufyata.

Sasa hili fupa la umeme halitamwacha salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.

Biteko amewekwa kwenye mtego wa umeme.
Mwambie Kamba alete lile Crane la 26 tonnes, maana ndo linamkwamisha Biteko kufikia malengo,

Na mbaya zaidi, pesa ilishalipwa.

Siku ingine usimtaje huyo mhujumu Uchumi tena.
 
Hao wanaoungaunga ni shida pia.

Kupata ile mind transformation ya kutosha ni shida.

Tusidanganyane.
Hata vyeti vyenyewe kavipata kwa nguvu ya madaraka siyo nguvu ya akili. Hana kitu kichwani huyu Biteko
 
Dotto Biteko aliteuliwa 30 August, 2023 na kuapishwa 1 September, 2023. Siku ya kuapishwa mhe rais alitoa miezi 6 kero za umeme ziwe zimemalizika.

Kimahesabu kutoka 1 September 20223 mpk leo 15 December 2023 bado miezi 2 na nusu muda uwe umeisha. Lkn sioni mipango, mikakati wala mbinu za Biteko kuondoa kadhia na kashda za umeme hapa nchini.

January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.

Lkn maadui na mahasimu wa Makamba (ambao kwa sehemu kubwa ni sukuma gang) walikuwa wakipiga kelele kana kwamba matatizo ya umeme kayaleta Makamba. Mama akaona isiwe shida kamteua Dotto Biteko Siwasikii tena kusema ingawa matatizo yanaongezeka lkn kwa kuwa ni sukuma gang mwenzao wameufyata.

Sasa hili fupa la umeme halitamwacha salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.

Biteko amewekwa kwenye mtego wa umeme.
Kwa kalemani umehara
 
Ukiona unasoma threads na comments za mpumbavu kiasi hicho basi na wewe ni mpumbavu. Tumekustahi tu.

Jiwe alikuwa siyo kiongozi. Na siku za usoni tutakuja kuzifuta kumbukumbu za serikali zisimtambue kama aliwahi kuwa rais.

Ndiyo maana watanzania wengi walifurahia kifo chake.
1. Nape Nnauye.......Mungu ameamulia ugomvi.
2. Mzee Makamba......Wema hawafi.
3. Mzee Wasira......nchi imepumua.
4. Askofu Mwingira.......ikulu ilikaliwa na shetani.
5. Mbowe......never and never again.
6. N.k, n.k

Jiwe ndiye mwanzilishi wa sukuma gang. Kama unaipenda sana hii nchi basi ungemkataza Mungu wenu kueneza ubaguzi huu
Hao wote uliowataja sio watanzania ni watoto wa mimba za nje ya Tanzania walipatikana kipindi cha kupigania sherehe za uhuru...Tuanze na Huyo Nape juzi jina limekatwa kwenye Majina ya watoto wa Mzee Nauye waliotakiwa kupata Miradhi......Hapo ushanipata.
 
January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.
Matakle.
 
Dotto Biteko aliteuliwa 30 August, 2023 na kuapishwa 1 September, 2023. Siku ya kuapishwa mhe rais alitoa miezi 6 kero za umeme ziwe zimemalizika.

Kimahesabu kutoka 1 September 20223 mpk leo 15 December 2023 bado miezi 2 na nusu muda uwe umeisha. Lkn sioni mipango, mikakati wala mbinu za Biteko kuondoa kadhia na kashda za umeme hapa nchini.

January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.

Lkn maadui na mahasimu wa Makamba (ambao kwa sehemu kubwa ni sukuma gang) walikuwa wakipiga kelele kana kwamba matatizo ya umeme kayaleta Makamba. Mama akaona isiwe shida kamteua Dotto Biteko Siwasikii tena kusema ingawa matatizo yanaongezeka lkn kwa kuwa ni sukuma gang mwenzao wameufyata.

Sasa hili fupa la umeme halitamwacha salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.

Biteko amewekwa kwenye mtego wa umeme.
KUMBE ALIPEWA UNAIBU WAZIRI MKUU ILI KUONDOA TATIZO LA UMEME?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Dotto Biteko aliteuliwa 30 August, 2023 na kuapishwa 1 September, 2023. Siku ya kuapishwa mhe rais alitoa miezi 6 kero za umeme ziwe zimemalizika.

Kimahesabu kutoka 1 September 20223 mpk leo 15 December 2023 bado miezi 2 na nusu muda uwe umeisha. Lkn sioni mipango, mikakati wala mbinu za Biteko kuondoa kadhia na kashda za umeme hapa nchini.

January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.

Lkn maadui na mahasimu wa Makamba (ambao kwa sehemu kubwa ni sukuma gang) walikuwa wakipiga kelele kana kwamba matatizo ya umeme kayaleta Makamba. Mama akaona isiwe shida kamteua Dotto Biteko Siwasikii tena kusema ingawa matatizo yanaongezeka lkn kwa kuwa ni sukuma gang mwenzao wameufyata.

Sasa hili fupa la umeme halitamwacha salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.

Biteko amewekwa kwenye mtego wa umeme.
Anaweza kuchafuka sawa, lakini Makamba ndio chanzo cha matatizo ya umeme nchini. Baada ya kuonekana HAWEZI kulimaliza tatizo ndio akaondolewa. Mh. Dotto Biteko atakuwa "bangusilo"!
 
Mwalimu wa primary siyo bogus. Lkn hastahili hata kuwa waziri achilia mbali naibu waziri mkuu.

Kiingereza cha sheria za mikataba atakiweza kweli?
Sasa hapo ndio nimeamini kwamba kumbe ww ndio bogus na hakuna sababu yoyote ile ya kuendelea kuargue na ww maana tatizo limeshaonekana kwako tayari.Naamin na wengine wameshaliona
 
Dotto Biteko aliteuliwa 30 August, 2023 na kuapishwa 1 September, 2023. Siku ya kuapishwa mhe rais alitoa miezi 6 kero za umeme ziwe zimemalizika.

Kimahesabu kutoka 1 September 20223 mpk leo 15 December 2023 bado miezi 2 na nusu muda uwe umeisha. Lkn sioni mipango, mikakati wala mbinu za Biteko kuondoa kadhia na kashda za umeme hapa nchini.

January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.

Lkn maadui na mahasimu wa Makamba (ambao kwa sehemu kubwa ni sukuma gang) walikuwa wakipiga kelele kana kwamba matatizo ya umeme kayaleta Makamba. Mama akaona isiwe shida kamteua Dotto Biteko Siwasikii tena kusema ingawa matatizo yanaongezeka lkn kwa kuwa ni sukuma gang mwenzao wameufyata.

Sasa hili fupa la umeme halitamwacha salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.

Biteko amewekwa kwenye mtego wa umeme.
Kweli kabisa
 
Dotto Biteko aliteuliwa 30 August, 2023 na kuapishwa 1 September, 2023. Siku ya kuapishwa mhe rais alitoa miezi 6 kero za umeme ziwe zimemalizika.

Kimahesabu kutoka 1 September 20223 mpk leo 15 December 2023 bado miezi 2 na nusu muda uwe umeisha. Lkn sioni mipango, mikakati wala mbinu za Biteko kuondoa kadhia na kashda za umeme hapa nchini.

January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.

Lkn maadui na mahasimu wa Makamba (ambao kwa sehemu kubwa ni sukuma gang) walikuwa wakipiga kelele kana kwamba matatizo ya umeme kayaleta Makamba. Mama akaona isiwe shida kamteua Dotto Biteko Siwasikii tena kusema ingawa matatizo yanaongezeka lkn kwa kuwa ni sukuma gang mwenzao wameufyata.

Sasa hili fupa la umeme halitamwacha salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.

Biteko amewekwa kwenye mtego wa umeme.
Mkuu wacheza draft waliamua mchawi mpe mwana akuletee!
 
Tatizo lako huwa ni moja, una hoja za msingi humu jukwaani, ila bila kuondoa ukabila na neno SUKUMA GANG kwenye thread zako basi nyuzi zako zitaendelea kuishia page ya pili. Tatizo la umeme ni tatizo la nchi nzima bila kujali kabila, maswala ya SUKUMA GANG yanakujaje!?,ukiambiwa upewe daftari uandike members ni akina nani utaweza!?.., siku ukijua wanaokwamisha umeme ni akina nani utajisikiaje!?.., Unaonekana mweupe kichwani, hujui chochote kinachoendelea nchini ila umejaa chuki tu. Na siasa zako ni za KIPUMBAVU sana. Bahati yako umejificha nyuma ya Jina fake Jamii Forums.
Mkuu tulia, uhuru na zamu ya kukandia ipo upande wao! Tulia kama hujikuni!

Maana mkuu kipindi Januari akiwa waziri na Chande akiwa mkurugenzi wa Tanesco walipopolewa sana hapa sogosoni sana na hukupinga wala kushauri jinsi unavyo shauri sasa.

Tulia wenzio nao wapumue!
 
Mkuu bado nasisitiza usipoacha kila THREAD badala ya kujadili hoja unakimbilia maneno ya SUKUMA GANG utaendelea kuonekana UPUMBAVU wako. Wengine wanakuonea aibu ila Mimi huwa sipepesi macho huna akili. Hivi unajua nchi inaendeshwa na nani!?,unajua chochote kinachoendelea nchini kwasasa!?.., wewe ni mjinga mmoja uliyejaza chuki kichwani dhidi ya wasukuma. By the way, Magufuli aliku.fir.a nini mkuu!?,maana naona kaacha kidonda kikubwa huko NY.uma yako mpaka unajadili ujinga tu. Hata ukisikia inatajwa mikoa ya Kanda ya Ziwa mwili unakusisimka.
Mkuu kumbe JPM alikuwa na tabia hiyo chafu??? Ama kweli bado tusubiri mtori uishe nyama ziko chini!!!
 
Biteko amelewa Cheo cha Naibu Waziri Mkuu. Huku Nishati Kapwaya sana.
 
Back
Top Bottom