kalooo son of Kambarage
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 275
- 181
Fupisho la Kafia getto-Ni machozi,yaliyosheheni pumziko Zito lililofungwa katika kurudishwa nyuma kwa masiku,309 miaka coran At- Tawubat 40 katika ukomo kwa ishara ya giza Zito zaidi la usiku kuliko masiku ya nyuma na mchana wenye mawingu yanayometameta kwa ukaribu kuweza kujibu na kuweka wazi dunia iliyokuwa ndani ya ulimwengu katika Usiku huo wa mpampazuko wa tetemeko hilo,"The Cave" Quruan 18.
Ni tanzu katika fumbato lenye mekemeke ya kuuliza,Je Haikuwepo Asia na mambo hayo?,Hayakuwepo India mambo hayo?,na hayakuwepo Ulaya mambo hayo hapo kabla?where is Colon's family in today world?
History we get is real or we taught to maintain bourgeois system?Waswahili wana msemo wao "Kuzimu hakuna nyota" na kuiga ndo kujifia.Wana Pan africanism wanasema Elimu isiyoendana na nature ya mtu ni kumpanda Kichwani (education that doesn't
touch the sphere of imagination is indoctrination) na hii limeifanya Afrika iishi kwenye Matrix au kuishi kwenye ulimwengu wa bila BODMAS(Derivative, at time t) ,tusipate muda wa kuwaza na kuwazua, tuseme "CRISTOBAL COLON" ukoo huu haukuwa na mkono wa Kupiga katika ulimwengu? kumbe tumelijua jiji (Babylon/D.C) na toka muda tumejikuta katika msemo wa vijana wa mjini yaani kukijiJJ wenyewe,hauji ukumbusho ila pale ule mkono wa bwana unapofunuliwa na kupelekwa kote.
Matter is with in a substance,Second with in an Hour and sediment with in a rock,a void with in a space,through that we have a clan with in a nation and a nation with in a continent and a continent with in the World and the world with in the Universe.What wrong?Mtu kidole ndo hakuna matata kwa drafiti mpira ni pasi ndani ya Space and time na leo kwa Diarra ipo Tuzo ya rangi za GUSA ACHIA TWENDE KWAO , kurudisha nyota zilizoibiwa ndo habari ya mjini.
Kama asemavyo mguyana Walter Rodney kwenye kazi zake ikiwemo ile ya How Europe underdeveloped Africa akiitolea mifano hai mifumo ya Elimu zetu na namna ilivyoweza kuondoa uwajibikaji wa pamoja wa waafrika na kuleta uwajibikaji wa masilai binafsi kwenda kwa bwana yule,ama asemavyo Joseph Achille Mbembe kutoka kameruni, huyu kwake imekosa ubora wa kuwa sahihi na malengo kwa mwanaafrika kupiga hatua kubwa,akitolea mfano wa picha kuwa utaona kidogo kupitia dirishani,Ukiwa ndani upo ukuta mkubwa darasani [/B]mpaka sasa unakuzuia usione picha kamili kote kulivyo.
Na kwa Compound interest ya darasani mpaka sasa labda wenyewe huko lakini hakujawahi kuwa na mnufaika wa mkopo kwa Afrika[Amezungumza sana mambo haya Mtanzania Ali Mufuruki] na picha kamili ni ya Kausha damu tunayoyaona mitaani, vipaza vingi kwenye vichochoro na vimejaa masimango[kwa mzazi Pole mama na hicho ulichokizaa], japo kwao hatusikii kama Deni bado ni stahimilivu kwenye website.Ni mfano haswa wa kuongeza myororo wa msongo wa mawazo kila kukicha kama ile ya mtumwa,au iliyo kwa mtumishi wa umma wa leo ndani ya Afrika, na hawa ni wale tu walioambiwa na bwana Yesu kuwa watosheke na mishahara yao.Japo heri ya wale wanaotumia 2/3 ya muda wao kufikri wapi Afrika inakwama huenda hawa wakaona vizuri makosa yalipo ili tuanze kutatua wenyewe kwanza Kuliko Afrika nzima kupikwa ndani ya chungu kimoja na kumsifu bwana yule ambaye kwetu kukosa maandalizi ya kuwa na vile vidonge ,kukosekana kwenye uvungu ni hatari kuliko Atomic bomu zake,Na ukweli hiki sasa ni kilio Chetu enyi Medical Aid Foundation.
Latino Americans who is Mao Tse tung na Red banner,Africa who is Joseph Stalin(Marxism-Leninism)?Due to wrong system/Babylon system, this Capitalism right now,You think live in a heaven but reality in a hell[Dunia ina mambo ya Walawi madogo na yana wenyewe].
Hivyo ni Kama alivyoilluminate mwandishi na Ndugu yake Prof. Patrick Lumumba Otien(an African typically yaani aliapo hataki kunyamaza, kasimama kwa watu na bado analia tu huku husema kuna mtu kapita hapa na kumwibia Afrika yake,sisi tunambembelezaga anyamaze lakini bado hataki) kuwa huko nyuma Kulitokea Dismembering practice iliyofanywa by planting European memory in Africa,Na huyu si mimi tena ila ni Ngungi wa Thiong'o-Katika kazi ya "something torn and new African renaissance" ili kuifree masonly Afrika(ijengeke kwa miamba haswa).
Na uko wapi ewe mwamba Erenesto Che Guevara na Kauli yako ya kishujaa ""New Era will dawn in Africa, when the impoverished masses of nation will raise and rescue their decent life from the hands of oligarchies" Now I say, I have seen by the dawn early light and that so proudly they hailled at the twilight's last gleaming.
Ni antidogmatism now kwa Afrika, yaani naficha white wakati black is king na asikudanganye mtu kwetu ndo ma' destiny,Mmeshinda njaa(Coran2;155) kivipi leo msimudu Shibe,FREEDOM IS COMING TOMORROW "Luck dube-House of exile",Elimu bora ni ile ya Kwani kulikoni mpaka mkafikia huko(I'm risking rejection from my own people kwa mambo yangu, oh my African way Up to the laader I raise My voice high enough for you W.E.B Dubois this was your question "how does it feel to be a problem?)?hiyo ndo tunaitaka kuliko ya Kumsakizia mwenzako kesi ili kumuongezea msala.The way it is -Luck Dube.
Kupitia kumbato la uso wa dunia India ya Jawaharlal Nehru from Mahatma Gandhi[japo bado heshima] ilichukua technology tu kutoka kwa koloni lake ndo maana inaweza kujibu hilo swali juu kwa lafudhi ya kihindi na Dornard Trump asielewe muulizaji anamanisha nini katika dunia ya leo yenye kukataa ama kushindwa majukumu yake(ukubwa umeshakushinda!), Kama Babylon system/capitalism na falsafa zake Sisi kwanza na msingi wa mali za Afrika ni za Dunia iliyopo. You may think you live in a heaven but reality in a hell,Time will tell when ourJesus is our answer to the way katika Falsafa ya TAKADINI(Sisi tumekosa nini huuliza moyo wa Ben J. Hanson?).
"What is to be done "anauliza Nikolai Chernyshevsky katika heshima ya Uncle tom's Cabin kazi ya Harriet Stowe katika utunzi kwa kizazi ndani ya ulimwengu wa zion train coming our way-bob marley, vipo vita leo kama vile vya WW1,WW2 na kikubwa tunataka Amani katika nchi za Dunia ya Wasakatonge chini ya Taasisi ya Kiswahili katika moyo wa Muhammad S. Khatibu wa Tanzania.
Bado umenuna Dady master? Tanga miss you,Bongo miss you,Ni ile Nenda usije, nenda usije, nenda usije, sasa ndo nini kifanyike ewe Koba simba zee.Watakavyo watu Mungu huweza kukamilishia huko na ndiko liliko Kanisa, Mbinguni aliko Baba kutakuwepo mwana kwangu ni baba katika uwepo wa idealism(udhanifu) kwanza inayoletea materialism(uyakinifu) katika ukamilishaji wa hatua.
Usilolijua lipo kwenye usiku wa giza,Alinieleza kisha nikaelekea dukani kununua, kumbe No refuge can save the hiring and slave.Nani nikimwelezea ataniamini ewe mola, nimekosa mimi kwa kusema hapa ni home of brave and Thailand?Nimeona Timothy's liberty,The Liberty in Africa is that we need everywhere After long way of Belief, Justification and Truth.
Kombati ya gharama kwa mtanzania Issa Shivji ni Pan africanism or pragmatism to socialist and democratic revolution ya nguvu na mamlaka ya umma katika kutokoma kwanza seven times seventy kwa mazira ya umri mrefu wa Tai katika nyakati nne zilizowekwa na wengi ili kuwepo utimilifu na ukomavu wa midomo yake na hayo mabawa yake kuja kuyamudu mawindo,Kwa 9 hilo bado Kumi tu.Kikubwa Nendeni Kushindana na si amri katika Uwepo wa neno, Then Conqure we must, IN GOD IS OUR TRUST Na Mkuu Steve Wasira kwa matani ya nyumbani kuwa John Heche ni Chawa wa Tundu Lisu kikubwa ukakumbuke ipo faida kubwa kurudisha umeme na NO REFORM NO ELECTION ni feni dhidi uhaba wa maji kwenye joto hili,Haijalishi mtakaa lini ila tunawaomba kizingiti kiondoke isiwe tunaishi katika stori ya ndoto tu na Falsafa kuu ni ile Haki sawa kwa wote,Na kwa TONE TONE hapa tulipo[LUKA12] motto wetu wa bonde tupitalo ni huu, Kila tone lina thamani na haya maneno ni ya Mark Twain na Katika moja ya kazi yake ya adventures of Tom Sawyer Anasema kwenye mlima ule kuwa snergy is the bonus that is achieved when things work together harmoniously.
Basi ni bora Kazi Simba zee, kwa Darubini kali(Cheikh Anta Diop_Kazi sasa iendelee ya African renaissance ) ni muhimu kwenda na Kilimo kwanza kwa Maisha bora kwa kila mwanajamii,I Respect to rastafarian,Rastafarians are people of long way back to way black to disclose ari mpya nguvu mpya na kasi mpya kwa Afrika, After 50 years we go Kirimanjaro7,7Kirimanjaro is to sit together to All through the eye of the law.
Na wengi kwa hawa kwa Mabwana tumekufa tumeoza kabisa,kwa ushauri huu nawaomba tukaache tena Kuyapapalikia Ma' play dice ya ulimwengu haya, tukatulie majumbani mwetu tu tupambane na shida zetu siyo kila siku unayalamba miguu.Nasema hivyo maana dunia kwa sasa imechakaa kama muinavyo ni mbuzi wa bwana heri na shamba la bwana heri.
Na hili ndilo fupisho lile la mbingu-mathayo 24, Mungu awatangulie "Shida haziui ila tunapomaliza moja zingine zinazokuja zinatujenga tuwe imara zaidi kutatua"tukaanze kwanza kama tulivyo (54 vinchi Now with 33 currencies,wasomi wanasema all mickey mice in international Banking system) ili tukutane kwa federation Ya mtake mistake(Banner au Bendera Chuma mlingoti chuma si bendera kifuata upepo) ya mtanzania Zito Zuberi Kabwe.[/B]
Ni tanzu katika fumbato lenye mekemeke ya kuuliza,Je Haikuwepo Asia na mambo hayo?,Hayakuwepo India mambo hayo?,na hayakuwepo Ulaya mambo hayo hapo kabla?where is Colon's family in today world?
History we get is real or we taught to maintain bourgeois system?Waswahili wana msemo wao "Kuzimu hakuna nyota" na kuiga ndo kujifia.Wana Pan africanism wanasema Elimu isiyoendana na nature ya mtu ni kumpanda Kichwani (education that doesn't
touch the sphere of imagination is indoctrination) na hii limeifanya Afrika iishi kwenye Matrix au kuishi kwenye ulimwengu wa bila BODMAS(Derivative, at time t) ,tusipate muda wa kuwaza na kuwazua, tuseme "CRISTOBAL COLON" ukoo huu haukuwa na mkono wa Kupiga katika ulimwengu? kumbe tumelijua jiji (Babylon/D.C) na toka muda tumejikuta katika msemo wa vijana wa mjini yaani kukijiJJ wenyewe,hauji ukumbusho ila pale ule mkono wa bwana unapofunuliwa na kupelekwa kote.
Matter is with in a substance,Second with in an Hour and sediment with in a rock,a void with in a space,through that we have a clan with in a nation and a nation with in a continent and a continent with in the World and the world with in the Universe.What wrong?Mtu kidole ndo hakuna matata kwa drafiti mpira ni pasi ndani ya Space and time na leo kwa Diarra ipo Tuzo ya rangi za GUSA ACHIA TWENDE KWAO , kurudisha nyota zilizoibiwa ndo habari ya mjini.
Kama asemavyo mguyana Walter Rodney kwenye kazi zake ikiwemo ile ya How Europe underdeveloped Africa akiitolea mifano hai mifumo ya Elimu zetu na namna ilivyoweza kuondoa uwajibikaji wa pamoja wa waafrika na kuleta uwajibikaji wa masilai binafsi kwenda kwa bwana yule,ama asemavyo Joseph Achille Mbembe kutoka kameruni, huyu kwake imekosa ubora wa kuwa sahihi na malengo kwa mwanaafrika kupiga hatua kubwa,akitolea mfano wa picha kuwa utaona kidogo kupitia dirishani,Ukiwa ndani upo ukuta mkubwa darasani [/B]mpaka sasa unakuzuia usione picha kamili kote kulivyo.
Na kwa Compound interest ya darasani mpaka sasa labda wenyewe huko lakini hakujawahi kuwa na mnufaika wa mkopo kwa Afrika[Amezungumza sana mambo haya Mtanzania Ali Mufuruki] na picha kamili ni ya Kausha damu tunayoyaona mitaani, vipaza vingi kwenye vichochoro na vimejaa masimango[kwa mzazi Pole mama na hicho ulichokizaa], japo kwao hatusikii kama Deni bado ni stahimilivu kwenye website.Ni mfano haswa wa kuongeza myororo wa msongo wa mawazo kila kukicha kama ile ya mtumwa,au iliyo kwa mtumishi wa umma wa leo ndani ya Afrika, na hawa ni wale tu walioambiwa na bwana Yesu kuwa watosheke na mishahara yao.Japo heri ya wale wanaotumia 2/3 ya muda wao kufikri wapi Afrika inakwama huenda hawa wakaona vizuri makosa yalipo ili tuanze kutatua wenyewe kwanza Kuliko Afrika nzima kupikwa ndani ya chungu kimoja na kumsifu bwana yule ambaye kwetu kukosa maandalizi ya kuwa na vile vidonge ,kukosekana kwenye uvungu ni hatari kuliko Atomic bomu zake,Na ukweli hiki sasa ni kilio Chetu enyi Medical Aid Foundation.
Latino Americans who is Mao Tse tung na Red banner,Africa who is Joseph Stalin(Marxism-Leninism)?Due to wrong system/Babylon system, this Capitalism right now,You think live in a heaven but reality in a hell[Dunia ina mambo ya Walawi madogo na yana wenyewe].
Hivyo ni Kama alivyoilluminate mwandishi na Ndugu yake Prof. Patrick Lumumba Otien(an African typically yaani aliapo hataki kunyamaza, kasimama kwa watu na bado analia tu huku husema kuna mtu kapita hapa na kumwibia Afrika yake,sisi tunambembelezaga anyamaze lakini bado hataki) kuwa huko nyuma Kulitokea Dismembering practice iliyofanywa by planting European memory in Africa,Na huyu si mimi tena ila ni Ngungi wa Thiong'o-Katika kazi ya "something torn and new African renaissance" ili kuifree masonly Afrika(ijengeke kwa miamba haswa).
Na uko wapi ewe mwamba Erenesto Che Guevara na Kauli yako ya kishujaa ""New Era will dawn in Africa, when the impoverished masses of nation will raise and rescue their decent life from the hands of oligarchies" Now I say, I have seen by the dawn early light and that so proudly they hailled at the twilight's last gleaming.
Ni antidogmatism now kwa Afrika, yaani naficha white wakati black is king na asikudanganye mtu kwetu ndo ma' destiny,Mmeshinda njaa(Coran2;155) kivipi leo msimudu Shibe,FREEDOM IS COMING TOMORROW "Luck dube-House of exile",Elimu bora ni ile ya Kwani kulikoni mpaka mkafikia huko(I'm risking rejection from my own people kwa mambo yangu, oh my African way Up to the laader I raise My voice high enough for you W.E.B Dubois this was your question "how does it feel to be a problem?)?hiyo ndo tunaitaka kuliko ya Kumsakizia mwenzako kesi ili kumuongezea msala.The way it is -Luck Dube.
Kupitia kumbato la uso wa dunia India ya Jawaharlal Nehru from Mahatma Gandhi[japo bado heshima] ilichukua technology tu kutoka kwa koloni lake ndo maana inaweza kujibu hilo swali juu kwa lafudhi ya kihindi na Dornard Trump asielewe muulizaji anamanisha nini katika dunia ya leo yenye kukataa ama kushindwa majukumu yake(ukubwa umeshakushinda!), Kama Babylon system/capitalism na falsafa zake Sisi kwanza na msingi wa mali za Afrika ni za Dunia iliyopo. You may think you live in a heaven but reality in a hell,Time will tell when ourJesus is our answer to the way katika Falsafa ya TAKADINI(Sisi tumekosa nini huuliza moyo wa Ben J. Hanson?).
"What is to be done "anauliza Nikolai Chernyshevsky katika heshima ya Uncle tom's Cabin kazi ya Harriet Stowe katika utunzi kwa kizazi ndani ya ulimwengu wa zion train coming our way-bob marley, vipo vita leo kama vile vya WW1,WW2 na kikubwa tunataka Amani katika nchi za Dunia ya Wasakatonge chini ya Taasisi ya Kiswahili katika moyo wa Muhammad S. Khatibu wa Tanzania.
Bado umenuna Dady master? Tanga miss you,Bongo miss you,Ni ile Nenda usije, nenda usije, nenda usije, sasa ndo nini kifanyike ewe Koba simba zee.Watakavyo watu Mungu huweza kukamilishia huko na ndiko liliko Kanisa, Mbinguni aliko Baba kutakuwepo mwana kwangu ni baba katika uwepo wa idealism(udhanifu) kwanza inayoletea materialism(uyakinifu) katika ukamilishaji wa hatua.
Usilolijua lipo kwenye usiku wa giza,Alinieleza kisha nikaelekea dukani kununua, kumbe No refuge can save the hiring and slave.Nani nikimwelezea ataniamini ewe mola, nimekosa mimi kwa kusema hapa ni home of brave and Thailand?Nimeona Timothy's liberty,The Liberty in Africa is that we need everywhere After long way of Belief, Justification and Truth.
Kombati ya gharama kwa mtanzania Issa Shivji ni Pan africanism or pragmatism to socialist and democratic revolution ya nguvu na mamlaka ya umma katika kutokoma kwanza seven times seventy kwa mazira ya umri mrefu wa Tai katika nyakati nne zilizowekwa na wengi ili kuwepo utimilifu na ukomavu wa midomo yake na hayo mabawa yake kuja kuyamudu mawindo,Kwa 9 hilo bado Kumi tu.Kikubwa Nendeni Kushindana na si amri katika Uwepo wa neno, Then Conqure we must, IN GOD IS OUR TRUST Na Mkuu Steve Wasira kwa matani ya nyumbani kuwa John Heche ni Chawa wa Tundu Lisu kikubwa ukakumbuke ipo faida kubwa kurudisha umeme na NO REFORM NO ELECTION ni feni dhidi uhaba wa maji kwenye joto hili,Haijalishi mtakaa lini ila tunawaomba kizingiti kiondoke isiwe tunaishi katika stori ya ndoto tu na Falsafa kuu ni ile Haki sawa kwa wote,Na kwa TONE TONE hapa tulipo[LUKA12] motto wetu wa bonde tupitalo ni huu, Kila tone lina thamani na haya maneno ni ya Mark Twain na Katika moja ya kazi yake ya adventures of Tom Sawyer Anasema kwenye mlima ule kuwa snergy is the bonus that is achieved when things work together harmoniously.
Basi ni bora Kazi Simba zee, kwa Darubini kali(Cheikh Anta Diop_Kazi sasa iendelee ya African renaissance ) ni muhimu kwenda na Kilimo kwanza kwa Maisha bora kwa kila mwanajamii,I Respect to rastafarian,Rastafarians are people of long way back to way black to disclose ari mpya nguvu mpya na kasi mpya kwa Afrika, After 50 years we go Kirimanjaro7,7Kirimanjaro is to sit together to All through the eye of the law.
Na wengi kwa hawa kwa Mabwana tumekufa tumeoza kabisa,kwa ushauri huu nawaomba tukaache tena Kuyapapalikia Ma' play dice ya ulimwengu haya, tukatulie majumbani mwetu tu tupambane na shida zetu siyo kila siku unayalamba miguu.Nasema hivyo maana dunia kwa sasa imechakaa kama muinavyo ni mbuzi wa bwana heri na shamba la bwana heri.
Na hili ndilo fupisho lile la mbingu-mathayo 24, Mungu awatangulie "Shida haziui ila tunapomaliza moja zingine zinazokuja zinatujenga tuwe imara zaidi kutatua"tukaanze kwanza kama tulivyo (54 vinchi Now with 33 currencies,wasomi wanasema all mickey mice in international Banking system) ili tukutane kwa federation Ya mtake mistake(Banner au Bendera Chuma mlingoti chuma si bendera kifuata upepo) ya mtanzania Zito Zuberi Kabwe.[/B]