Furaha Dominic: Hakuna tofauti ya Uongozi kati ya Hayati Magufuli na Rais Samia

UONGO ni hapo ulipomalizia UDINI
Dodoma Waziri na manaibu ni Wakristo Simbachawene, Deo Ndejembi, Mavunde. Kilimanjaro wa2 Wakristosioni ubaya Mkumbo na Waitara kutolewa iwe sababu
sasa Geita ya juzi mkataka na Chato iwe Mkoa leo mnashindana eti na Pwani
Magufuli apumzike tu hana tofauti na Mobutu seseko na Globetore
 
Huyu kijana alikuwa/ yupo bado JF
alitusumbua na kututisha Sana tulipokuwa tofauti na utawala wa mjomba wake mpaka inbox ipo siku nitamuanika ID yake
kila masika na mvua zake
 
Huyu kijana alikuwa/ yupo bado JF
alitusumbua na kututisha Sana tulipokuwa tofauti na utawala wa mjomba wake mpaka inbox ipo siku nitamuanika ID yake
kila masika na mvua zake
Mkuu Ukwaju nimemiss sana msaada wako wa kuweka video sawa haswa kule jukwaa letu la chini kabisa [emoji1787][emoji1787]
 
You are so despicable
 
Huyu kijana alikuwa/ yupo bado JF
alitusumbua na kututisha Sana tulipokuwa tofauti na utawala wa mjomba wake mpaka inbox ipo siku nitamuanika ID yake
kila masika na mvua zake
Kila zama na kitabu chake!
 
NdiyNdiyo HUYO Huyo
 
Makubwa kama yapi?
 
Umeandika malalamiko halafu unasema hakuna anaelalamika!
 
Je, anamaanisha kupotea kwa 1.5 kuko pale pale?
Jamaa ana moyo wa chuma kabisa badala ya kutoa ombi wanyamwezi wamsamehe mjomba wake kwa lawama wanazomtupia hapa duniani yeye anasaka uteuzi wa bure!
Anamaanisha ukihoji matendo ya Chifu Hangaya uta perish kama alivyo perish Ben Saanane. Mafanikio wa kwanza ni salamu alizopata Ayubu.
 
Mpwa umeliamsha dude, Hakuna aliyewahi gombana na Gwajima akabaki salama wote walipotea kabisa check bashite,ndugai,pengo,nk
 
..."Kufukuza Wakristo karibu wote!" Mbaya sana. Acha kueneza chuki ya udini ndugu yangu. Hatuna Tanzania nyingine ni hii ya mababu zetu.🙏🙏
 
Mpwa tena? Kweli jamaa aliendekeza sana undugunaization, na ulabilazation
Umesoma na kuielewa mada?

Au unasoma ukiwa chooni?

Unaambiwa ni mkwe wa magufuli, ndio.

Lakini kaalikwa katika kipindi cha the Big Agenda...Star TV na muendesha kipindi ni Ntozi Aloyce Nyanda.

Huyu Furaha Dominic pamoja na kuwa mpwa wa JPM, lakini ni huyohuyo JPM aliyeamuru kukatwa kwa jina lake kutoka ugombea wa kiti cha ubunge jimbo la Kawe kupitia CCM.

Ingawa alikuwa ameshinda kura za maoni katika nafasi ya kwanza mbali na mbele kabisa ya Gwajima.

Muwe mnafuatilia habari au kusoma topic kwa ufasaha kabla ya kurukia ku comment jambo usilolijua wala kulielewa vizuri.
 
Ushauri wangu tu tena wa bure kabisa Kwake ni kwamba atulie, awe mkimya na ajipambanie hasa Kimaisha na kwa Familia yake kwani Kisaikolojia naona anakotaka kuelekea ni kubaya kuliko awazavyo.
 
Huyo dogo alihonga hela nyingi sana kiboya , anakaa Masaki, na hizo hela alipewa na mwendazake.

Kwa aibu mwendazake akaona bora am chukua mshindi wa tatu ambaye pia ni msukuma mwenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…