Chumas hakupenda kuwaweka jamaa zake wa karibu front,,,Furaha sio mpwa wa magufuli. Mama yake anaitwa asteria sugwa.
Itoshe tu kusema mjombawa furaha ni deus sugwa, msimamiz wa miradi ya john, conekt
UONGO ni hapo ulipomalizia UDINIMagufuli amefanya mambo makubwa sana nchi hii.
Ni kikundi cha wahuni tu kilichokua hakimpendi ndio kinapiga kelele kwamba Magufuli hakufanya kitu ama sijui alikua dikteta na mambo kama hayo.
Magufuli aliteua mawaziri 2 kutoka Geita, Kalemani na Biteko watu wakasema amejaza ndugu zake wote baraza la mawaziri.
Leo Samia amejaza mawaziri 5 kutoka Pwani mkoa masikini Tanzania nzima sisikii kelele, kujaza mawaziri 3 kutoka Tanga sisikii, kufukuza wakristo karibu wote baraza la Mawaziri na kuteua ndugu zake waislamu huwei kusikia malalamiko.
Magufuli endelea kupumzika kwa amani mzee wetu.
Hahahaaaa....... Safi sana!Maghufuli mwenyewe alikubali Kua Furaha ni mtoto wa dada yake na amemkata Kawe
Wewe nani unabisha
Huyu kijana alikuwa/ yupo bado JFHuyu si aliwania ubunge kimagumashi kama kuwaenjoy tu wananzengo, akawa anaongea kimapozi ya ki bill gate, yaani anaomba kura kama kwamba anawafanyia favour watu,,,
Kijana alikuwa juu mawinguni kama break za ndege yaani[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mkuu Ukwaju nimemiss sana msaada wako wa kuweka video sawa haswa kule jukwaa letu la chini kabisa [emoji1787][emoji1787]Huyu kijana alikuwa/ yupo bado JF
alitusumbua na kututisha Sana tulipokuwa tofauti na utawala wa mjomba wake mpaka inbox ipo siku nitamuanika ID yake
kila masika na mvua zake
You are so despicableMagufuli amefanya mambo makubwa sana nchi hii.
Ni kikundi cha wahuni tu kilichokua hakimpendi ndio kinapiga kelele kwamba Magufuli hakufanya kitu ama sijui alikua dikteta na mambo kama hayo.
Magufuli aliteua mawaziri 2 kutoka Geita, Kalemani na Biteko watu wakasema amejaza ndugu zake wote baraza la mawaziri.
Leo Samia amejaza mawaziri 5 kutoka Pwani mkoa masikini Tanzania nzima sisikii kelele, kujaza mawaziri 3 kutoka Tanga sisikii, kufukuza wakristo karibu wote baraza la Mawaziri na kuteua ndugu zake waislamu huwei kusikia malalamiko.
Magufuli endelea kupumzika kwa amani mzee wetu.
Kila zama na kitabu chake!Huyu kijana alikuwa/ yupo bado JF
alitusumbua na kututisha Sana tulipokuwa tofauti na utawala wa mjomba wake mpaka inbox ipo siku nitamuanika ID yake
kila masika na mvua zake
NdiyNdiyo HUYO HuyoHuyu si aliwania ubunge kimagumashi kama kuwaenjoy tu wananzengo, akawa anaongea kimapozi ya ki bill gate, yaani anaomba kura kama kwamba anawafanyia favour watu,,,
Kijana alikuwa juu mawinguni kama break za ndege yaani[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Marehem alikuwa anawapga kamba watanzaniaMaghufuli mwenyewe alikubali Kua Furaha ni mtoto wa dada yake na amemkata Kawe
Wewe nani unabisha
Makubwa kama yapi?Magufuli amefanya mambo makubwa sana nchi hii.
Ni kikundi cha wahuni tu kilichokua hakimpendi ndio kinapiga kelele kwamba Magufuli hakufanya kitu ama sijui alikua dikteta na mambo kama hayo.
Magufuli aliteua mawaziri 2 kutoka Geita, Kalemani na Biteko watu wakasema amejaza ndugu zake wote baraza la mawaziri.
Leo Samia amejaza mawaziri 5 kutoka Pwani mkoa masikini Tanzania nzima sisikii kelele, kujaza mawaziri 3 kutoka Tanga sisikii, kufukuza wakristo karibu wote baraza la Mawaziri na kuteua ndugu zake waislamu huwei kusikia malalamiko.
Magufuli endelea kupumzika kwa amani mzee wetu.
gwajima anajulukana ni tapeli la kiroho na kimwiliDominic ambaye aligombea ubunge Kawe amesema hajawahi kumuona mtu mwongo hapa duniani kama askofu Gwajima.
Hahahaaaa........!gwajima anajulukana ni tapeli la kiroho na kimwili
Kwa kuwalinganisha viongozi kwa vigezo cya 'NEPOTISM' hakuna tena wa kumlinganisha na Jiwe!Mpwa tena? Kweli jamaa aliendekeza sana undugunaization, na ulabilazation
Umeandika malalamiko halafu unasema hakuna anaelalamika!Magufuli amefanya mambo makubwa sana nchi hii.
Ni kikundi cha wahuni tu kilichokua hakimpendi ndio kinapiga kelele kwamba Magufuli hakufanya kitu ama sijui alikua dikteta na mambo kama hayo.
Magufuli aliteua mawaziri 2 kutoka Geita, Kalemani na Biteko watu wakasema amejaza ndugu zake wote baraza la mawaziri.
Leo Samia amejaza mawaziri 5 kutoka Pwani mkoa masikini Tanzania nzima sisikii kelele, kujaza mawaziri 3 kutoka Tanga sisikii, kufukuza wakristo karibu wote baraza la Mawaziri na kuteua ndugu zake waislamu huwei kusikia malalamiko.
Magufuli endelea kupumzika kwa amani mzee wetu.
Anamaanisha ukihoji matendo ya Chifu Hangaya uta perish kama alivyo perish Ben Saanane. Mafanikio wa kwanza ni salamu alizopata Ayubu.Je, anamaanisha kupotea kwa 1.5 kuko pale pale?
Jamaa ana moyo wa chuma kabisa badala ya kutoa ombi wanyamwezi wamsamehe mjomba wake kwa lawama wanazomtupia hapa duniani yeye anasaka uteuzi wa bure!
..."Kufukuza Wakristo karibu wote!" Mbaya sana. Acha kueneza chuki ya udini ndugu yangu. Hatuna Tanzania nyingine ni hii ya mababu zetu.🙏🙏Magufuli amefanya mambo makubwa sana nchi hii.
Ni kikundi cha wahuni tu kilichokua hakimpendi ndio kinapiga kelele kwamba Magufuli hakufanya kitu ama sijui alikua dikteta na mambo kama hayo.
Magufuli aliteua mawaziri 2 kutoka Geita, Kalemani na Biteko watu wakasema amejaza ndugu zake wote baraza la mawaziri.
Leo Samia amejaza mawaziri 5 kutoka Pwani mkoa masikini Tanzania nzima sisikii kelele, kujaza mawaziri 3 kutoka Tanga sisikii, kufukuza wakristo karibu wote baraza la Mawaziri na kuteua ndugu zake waislamu huwei kusikia malalamiko.
Magufuli endelea kupumzika kwa amani mzee wetu.
Umesoma na kuielewa mada?Mpwa tena? Kweli jamaa aliendekeza sana undugunaization, na ulabilazation
Ushauri wangu tu tena wa bure kabisa Kwake ni kwamba atulie, awe mkimya na ajipambanie hasa Kimaisha na kwa Familia yake kwani Kisaikolojia naona anakotaka kuelekea ni kubaya kuliko awazavyo.Furaha Dominic ambaye ni mtoto wa dada wa hayati Magufuli amesema haoni tofauti yoyote kati ya utawala wa mjomba wake na Rais wa sasa mh Samia.
Dominic ambaye aligombea ubunge Kawe amesema hajawahi kumuona mtu mwongo hapa duniani kama askofu Gwajima.
Kipindi kiko mubashara Star tv, karibu
Updates;
Huyo dogo alihonga hela nyingi sana kiboya , anakaa Masaki, na hizo hela alipewa na mwendazake.Umesoma na kuielewa mada?
Au unasoma ukiwa chooni?
Unaambiwa ni mkwe wa magufuli, ndio.
Lakini kaalikwa katika kipindi cha the Big Agenda...Star TV na muendesha kipindi ni Ntozi Aloyce Nyanda.
Huyu Furaha Dominic pamoja na kuwa mpwa wa JPM, lakini ni huyohuyo JPM aliyeamuru kukatwa kwa jina lake kutoka ugombea wa kiti cha ubunge jimbo la Kawe kupitia CCM.
Ingawa alikuwa ameshinda kura za maoni katika nafasi ya kwanza mbali na mbele kabisa ya Gwajima.
Muwe mnafuatilia habari au kusoma topic kwa ufasaha kabla ya kurukia ku comment jambo usilolijua wala kulielewa vizuri.