Furaha iliyoje

Furaha iliyoje

Ramsy Dalai Lama

Senior Member
Joined
Apr 5, 2021
Posts
156
Reaction score
554
Furaha iliyoje baada ya juzi juzi hapa kama siku chache zilizopita, nilimpigia simu mpenzi wangu kwa kutumia simu ya rafiki yangu. Alipokea simu tu na kusema "Mambo baby wangu" tena kwa sauti laini na ya mahaba.

Bila hata kusikia sauti yangu lakin alijua ni mimi. Kwa kweli nilijisikia furaha kuona mpenzi wangu kunitambua wakati sikuzungumza neno lolote. True Love ipo jamani. ❤️
 
Lisu naomba urudi , vijana huku siku wanafuatilia mapenzi zaidi, maana kuna kipindi walianza kuelewa masomo ya kanuni za maisha kupitia hoja zako tata🤣🤣🤣
 
mleta mada nasikitika kwamba una wakati mgumu sana wa kujifariji.

Utumie simu ya mtu mwingine usiongee chochote yeye akutambue kawa mfalme njozi au unaona sisi wenzako wa dozi nene nn
 
Furaha iliyoje baada ya juzi juzi hapa kama siku chache zilizopita, nilimpigia simu mpenzi wangu kwa kutumia simu ya rafiki yangu. Alipokea simu tu na kusema "Mambo baby wangu" tena kwa sauti laini na ya mahaba.

Bila hata kusikia sauti yangu lakin alijua ni mimi. Kwa kweli nilijisikia furaha kuona mpenzi wangu kunitambua wakati sikuzungumza neno lolote. True Love ipo jamani. ❤️
Uko kwenu maji yanatoka
 
Furaha iliyoje baada ya juzi juzi hapa kama siku chache zilizopita, nilimpigia simu mpenzi wangu kwa kutumia simu ya rafiki yangu. Alipokea simu tu na kusema "Mambo baby wangu" tena kwa sauti laini na ya mahaba.

Bila hata kusikia sauti yangu lakin alijua ni mimi. Kwa kweli nilijisikia furaha kuona mpenzi wangu kunitambua wakati sikuzungumza neno lolote. True Love ipo jamani. ❤️
katila kila watu 10,3 ni wehu
 
Furaha iliyoje baada ya juzi juzi hapa kama siku chache zilizopita, nilimpigia simu mpenzi wangu kwa kutumia simu ya rafiki yangu. Alipokea simu tu na kusema "Mambo baby wangu" tena kwa sauti laini na ya mahaba.

Bila hata kusikia sauti yangu lakin alijua ni mimi. Kwa kweli nilijisikia furaha kuona mpenzi wangu kunitambua wakati sikuzungumza neno lolote. True Love ipo jamani. ❤️
Hahah hahahh hahahah umepigwa ngumi ndoige
 
Furaha iliyoje baada ya juzi juzi hapa kama siku chache zilizopita, nilimpigia simu mpenzi wangu kwa kutumia simu ya rafiki yangu. Alipokea simu tu na kusema "Mambo baby wangu" tena kwa sauti laini na ya mahaba.

Bila hata kusikia sauti yangu lakin alijua ni mimi. Kwa kweli nilijisikia furaha kuona mpenzi wangu kunitambua wakati sikuzungumza neno lolote. True Love ipo jamani. ❤️
Leo tutakupopoa 😂 😂
 
Back
Top Bottom