Furaha ni nini? Nitaipataje furaha?

Furaha ni nini? Nitaipataje furaha?

Kuipata furaha ni changamoto kubwa sana kwa binaadam wa kileo, Kukosa furaja kunahusisha mlolongo mrefu sana.

Jifunze kusahau mambo yaliyopita yaache kama yalivyo huwezi kuyabadili yaache angalia mbele.

Jisamehe wewe mwenyewe wasamehe wengine waliokukosea kwa kujua au kutokujua.

Usishikilie vitu moyoni kama hasira,wivu,kibri,uchoyo,unafiq,kusengenya nk..
Toa shukrani.

Kila siku shukuru kwa ajili ya familia ,Afya,Kazi,nk..taratibu hali itabadilika..tilia mkazo katika msamaha na usahau.
Mawazo mazuri 100%
 
Furaha ni tunda la Roho Mtakatifu. WAGALATIA 5:22-23. Ukimpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako, Roho Mtakatifu huingia ndani ya moyo na kisha huanza kuzaa matunda. Mojawapo wa hayo matunda ni FURAHA.


hakika YESU ndiye KRISTO
 
Kwa miaka hii ni lazima uilazimishe furaha.

Hakuna wa kukupa furaha hata mkeo sometimes hawezi kukupa furaha.

Fanya mazingira yakufurahishe. Panda mimea, maua, fuga hata mifugo midogo midogo.

Hapa nimepanda maua, yamechanua yana good smell hata usiku naangalia dirishani nafurahi nacheke. Ilazimishe furaha.
 
Una maana gani?
Ollachuga Oc ,



Ni namna nyingine ya kusema "ignorance is bliss". Kadiri mtu anavyoongezeka umri, hutegemewa kuwa "older and wiser". Udanganyifu wa dunia hii haumuwezi. Umri unavyoenda ndivyo anavyozidi kuubaini. Wengine huubaini udanganyifu wa maisha pale wawapo karibu na mauti. Wengine huwa na furaha wanapodanganyika. Maisha yao bila kudanganyika, hugeuka huzuni.

Mtu anayetajwa kuwa na hekima kuliko wote, alisema:
.

Msikilize katika audio hizi zifuatazo:


1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
(Mwisho kabisa anatoa ufumbuzi: )



Wimbo huu umeweka maneno hayo kwa muhtasari:

 
Ulipokuwa chuo ulikuwa huna kitu lakini ulikuwa na furaha NI UWONGO MKUBWA... Ambao walikuwa hawana kitu hata chuo wameshindwa ku-Afford.
Huyu nimnufaika wa heslb.anadaiwa na heslb million 15+ ,ukiunganisha na changamoto za maisha ,lazma frustration iwe kiwango Cha SGR.
 
Nashukuru kwa maelezo mazuri, nadhani wengi hatuijui hio nadharia ya furaha hutoka ndani...pengine chnagamoto ni kipi ufanye ili furaha itoke ndani?
Cha kufanya mkuu kwanza ni gratitude(shukurani)

Bila hiyo mkuu hutokuwa na fufaha ya kudumu.
Kushukuru ndio kunamfanya mtu awe na furaha katika mazingita ambayo wengine yanawatia huzuni.

Watu wengi hatuna gratitude utakuta mkeo kakupa kifo cha mende mwanaume kwa kukosa shukurana anasema mbona hajanokatia kiuno,mbona hajanipa doggy style,matokeo yake mtu anaanza kuona mkewe hajui mapenzi anatafuta michepuko.

Mkuu ni kushukuru kwa kila zuri hata kama ni dogo.
 
Mfanye mke wako awe your best friend
Wafanye watoto wako your angels
Make a paradise in your own home
Enjoy
yolo
 
Mkuu furaha inawajia watoto tu, mtu mzima lazima uitafute. Usione watu wanaranda usiku kwenye ma club, ma casino, na madanguro ukafikiri hawana utimamu wa akili au wengine wakikesha kwenye majumba ya ibada ukafikiri wamepoteza muelekeo, la khasha wako katika harakati za kutafuta furaha. Ukikaa tu nyumbani kwako ukadhani furaha itakuja yenyewe, utasubiri sana mkuu.
 
Angalieni na hizo hela mnazojengea hizo nyumba mlizipata wapi.
 
Back
Top Bottom