hata mimi napendaga mabinti ambao hawasomi kwa uangalifu.....................na kujifariji kuwa nimekubali kugeuka jiwe wakati sivyo...........ujumbe upo palepale bile kidume your life is incomplete..........................just like God has pre-ordained it...............ukitoka kwenye huo mstari utajifariji kuwa uko swafi lakini kumbe hakuna kitu.................'come and stay" is also a married life read ...................1 Corinthians 6: 16 "Or do you not know that he who is joined to a harlot is one body with her? For "the two" He says, shall become one flesh."
Lizzy tatizo lako huliamini Neno la Mungu na hudai limekithiri kwa makosa.........................na ndiyo maana "come and stay" huioni ni ndoa na ndiyo maana unamwuunga mkono kipipi kwenye kutoelewa ninasema nini...........