Furaha ya kujiunga nanyi

Furaha ya kujiunga nanyi

Huko sisi wengine tunapitaga kimyakimya

Aiseee! Kweli lile jukwaa letu la umbea hakuna asiyepita! Tena mods hua wanatuangalia sana basi tu mwaka huu tunapumua sababu ya uchaguzi wamehamia siasasi kule sio sana.
Kipindi kile ban zilikua hazihesabiki!
 
Aiseee! Kweli lile jukwaa letu la umbea hakuna asiyepita! Tena mods hua wanatuangalia sana basi tu mwaka huu tunapumua sababu ya uchaguzi wamehamia siasasi kule sio sana.
Kipindi kile ban zilikua hazihesabiki!
Ngoja na mimi mwezi ujao niweke kambi huko.
 
Ngoja na mimi mwezi ujao niweke kambi huko.

Hahhahaaa baada ya ule muda kuisha eeh? Ile sheria ni msumeno utakata kotekote.
Na tukiona mambo magumu tutahamishia majeshi instagram.
 
Hahhahaaa baada ya ule muda kuisha eeh? Ile sheria ni msumeno utakata kotekote.
Na tukiona mambo magumu tutahamishia majeshi instagram.

Hahahaah. Kote watabana
 
Huko safi basi ngoja nifanye mpango nami nijiunge huko ili niwe gwiji

Hahahahaaa ila ndugu ukitaka kujiunga jiunge kwa email address fake na hata jina (id) iwe fake pia ndio utakua na amani kidogo.
 
Hahahahaaa ila ndugu ukitaka kujiunga jiunge kwa email address fake na hata jina (id) iwe fake pia ndio utakua na amani kidogo.

Hahahaah......kila kitu lazima kiwe feki
 
Hahahaah......kila kitu lazima kiwe feki

Yeah, ndio utakua na amani in case unataka kupiga umbea.Ila kama ni kawaida tu fungua ya jina lako uungane na ndugu zako kushare moments zenu na mapichaz.
 
Hahahahaaa ila ndugu ukitaka kujiunga jiunge kwa email address fake na hata jina (id) iwe fake pia ndio utakua na amani kidogo.

Ama kweli s.i.ri k.al.i imeumiza wengi.Tatizo mnawasema sana.Ila msijali,ilimradi usiguse maslah yao
 
Back
Top Bottom