Haina haja, wanapin taarifa zako especially NIDA number, kwa hiyo ukinunua kiwanja au ukiajiriwa tu hawa hapa.Mimi labda waje wanikamate physically ndio nitaanza kulipa 😂😂, yaani wao enzi zao wasomeshwe bure, ila sisi ndio waseme ni mkopo, hahah, no way!
Yaani mimi nisome kwa tabu hivi halafu niende kuajiriwa, nimerogwa? Yaani niwe nimemtesekea mtu, aje anifaidi kiulaini tu?! Nimemaliza miaka zaidi 10 iliyopita, na sijawahi kuomba kazi, na viwanja nanunua kila siku, na sijawahi kuwaonaHaina haja, wanapin taarifa zako especially NIDA number, kwa hiyo ukinunua kiwanja au ukiajiriwa tu hawa hapa.
Watakuja tu when you least expectedYaani mimi nisome kwa tabu hivi halafu niende kuajiriwa, nimerogwa? Yaani niwe nimemtesekea mtu, aje anifaidi kiulaini tu?! Nimemaliza miaka zaidi 10 iliyopita, na sijawahi kuomba kazi, na viwanja nanunua kila siku, na sijawahi kuwaona
Hivi wakiwadaka ambao wanakwepa kulipa watawachukulia hatua gani?Watakuja tu when you least expected
Siyo Bongo hii mzee, nawajua watu toka 2006 wanadunda mpaka leo hii, wamejiajiri wamejenga na hawajarudisha hata senti moja (mie nikiwa mmoja wapo)Watakuja tu when you least expected
Hahahah, mkataba niliosaini ninao, na wakija wakili wangu anawasubiri, hawapati hata 100 😂😂😂, hata ile 6% retention fee kama ukienda mahakamani unawashinda asubuhi kabisa. Yaani jitu linaamka linatunga tu masharti ambayo hayapo kwenye mkatabaWatakuja tu when you least expected
Kibongo bongo naona hawapo serious ila politicians sio watu wa kuwaamini,Hivi wakiwadaka ambao wanakwepa kulipa watawachukulia hatua gani?
Ilitakiwa iwe hivyo ila wanasiasa sio relable hivyo.siyo Bongo hii mzee, nawajua watu toka 2006 wanadunda mpaka leo hii, wamejiajiri wamejenga na hawajarudisha hata senti moja ( mie nikiwa mmoja wapo )
pesa ya bodi ilitakiwa iwe bure, siyo mkopo, PUMBAV wao wasome bure mimi nilipe ?
Kuna nchi wanatoa mikopo ili wanafunzi wawe na wajibu kwani wengi wanaamini ukianza elimu ya juu unapewa hela ya kulia batasiyo Bongo hii mzee, nawajua watu toka 2006 wanadunda mpaka leo hii, wamejiajiri wamejenga na hawajarudisha hata senti moja ( mie nikiwa mmoja wapo )
pesa ya bodi ilitakiwa iwe bure, siyo mkopo, PUMBAV wao wasome bure mimi nilipe ?
What a commentYaani mimi nisome kwa tabu hivi halafu niende kuajiriwa, nimerogwa? Yaani niwe nimemtesekea mtu, aje anifaidi kiulaini tu?! Nimemaliza miaka zaidi 10 iliyopita, na sijawahi kuomba kazi, na viwanja nanunua kila siku, na sijawahi kuwaona
SafiHili ni moja ya deni ambalo haliniumizi kichwa kabisa
Hichi kimombo adimu sana huku itilimawhen you least expected