Furaha ya kumaliza malipo ya mkopo wa elimu ya juu

Yaani hii pesa sijawahi kupata wazo la kulipa hata siku moja.
Kwanza huwa inanipa faraja Kama ni sehemu ya gawio langu kwenye keki ya taifa, maana wanasiasa wanaziiba zaidi ya hizo.
Ni Kiasi Gani Mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…