Furaha ya kutoka jela: Nyerere alimpokelea Nelson Mandela Ikulu wakati akiwa ameshastaafu na Rais Mwinyi akiwa safarini

Furaha ya kutoka jela: Nyerere alimpokelea Nelson Mandela Ikulu wakati akiwa ameshastaafu na Rais Mwinyi akiwa safarini

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Najikumbusha tu namna watu mbalimbali wanavyowapokea wapendwa wao wanapotoka jela.

Nelson Mandela alipotoka jela alipozuru Tanzania alipokelewa kwa furaha na Rais mstaafu mwalimu Nyerere pale Ikulu ya Magogoni. Na ninakumbuka Rais wa wakati huo mzee wetu Mwinyi alikuwa safarini.

Furaha ya kumpokea mtu atokaye jela inaweza kufanya protokali fulani fulani zisahaulike au zirukwe kwa nia njema.

Bado natafakari.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wakati Mandela anaachiwa huru wapigania uhuru wa afrika kina mzee Mugabe, Nyerere, Ramaphosa na wengineo walikuwa na uwezo wa kujikusanya na kwenda kumpokea hapo hapo gerezani. Lakini walijua sheria na kanuni wakasubiria mtaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kubwa linatokea pale akili ndogo zipokuwa na mamlaka juu ya akili kubwa, hapo ndio mwanzo wa mgogoro, kwa kadiri akili kubwa inapojaribu kutumia ubunifu, maarifa na hekima katika kujipambanua ili izidi kueleweka, ndivyo ambavyo akili ndogo inazidi kuchanganyikiwa na kupumbazika, na hata kutumia mabavu zaidi ili izidi kuonyesha mamlaka yake juu ya akili kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kubwa linatokea pale akili ndogo zipokuwa na mamlaka juu ya akili kubwa, hapo ndio mwanzo wa mgogoro, kwa kadiri akili kubwa inapojaribu kutumia ubunifu, maarifa na hekima katika kujipambanua ili izidi kueleweka, ndivyo ambavyo akili ndogo inazidi kuchanganyikiwa na kupumbazika, na hata kutumia mabavu zaidi ili izidi kuonyesha mamlaka yake juu ya akili kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

So wewe unadhani akili Kubwa Hapo Ni Nani. Kwanza kuwatoa wengine then Mbowe ili mkafanye fujo. Unadhani mpumbavu gani hataelewa kuwa imepangwa na matokeo mliyajua. You are so cheap ni wajinga tu kama wewe unayejihisi ndo Una akili watakusikiliza.

Polisi wamedili na wajinga waliodhani Ni werevu. Na sasa na Corona Hii tafuteni sympathy toka wake zenu. Kila mtu anapambana na hali yake.

Watu kama nyie Ni hatari sana kwa Amani ya Tansania. Mnajifikria zaidi wenyewe kuliko Taifa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati Mandela anaachiwa huru wapigania uhuru wa afrika kina mzee Mugabe, Nyerere, Ramaphosa na wengineo walikuwa na uwezo wa kujikusanya na kwenda kumpokea hapo hapo gerezani. Lakini walijua sheria na kanuni wakasubiria mtaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado tumbo halijakata bwashee?

Hali hii ikizidi wahi hospitali, wana kitengo cha kutibu maradhi ya kichwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom