Furaha ya Mwanamke inakutegemea wewe Mwanaume!

Furaha ya Mwanamke inakutegemea wewe Mwanaume!

Wanaume wengi tunafeli hapa, kucheza na hisia za mwanamke.

Kujua kucheza na hisia za mwanamke hakukufanyi mwanamke awe wako peke yako, wanawake ni mashetani, wanataka mwanaume uwe mkamilifu nyanja zote ili asibabaike na wanaume wengine. Ukikosa kitu kimoja au viwili na kuendelea, ataona kuna pengo/kitu anakosa, atavutika na mwanaume mwingine bila kujijua mwenye kitu ambacho huna kufidia ukamilifu wa furaha yake ya kike. Ukikosa ucheshi atavutika na wanaochekesha, ukikosa pesa atavutika na wenye pesa kwenye kipengele cha pesa, ukikosa ukatili atavutika kwa makatili kuziba pengo la ukatili ulilokosa, ukikosa show ya kibabe, atanasa kwa wenye show za kibabe, ukikosa bashasha atavutika kwa wenye bashasha n.k.

Wanawake ni viumbe visivyotosheka
Ukitosheka ujue uu mfu
 
Wanaume wengi tunafeli hapa, kucheza na hisia za mwanamke.

Kujua kucheza na hisia za mwanamke hakukufanyi mwanamke awe wako peke yako, wanawake ni mashetani, wanataka mwanaume uwe mkamilifu nyanja zote ili asibabaike na wanaume wengine. Ukikosa kitu kimoja au viwili na kuendelea, ataona kuna pengo/kitu anakosa, atavutika na mwanaume mwingine bila kujijua mwenye kitu ambacho huna kufidia ukamilifu wa furaha yake ya kike. Ukikosa ucheshi atavutika na wanaochekesha, ukikosa pesa atavutika na wenye pesa kwenye kipengele cha pesa, ukikosa ukatili atavutika kwa makatili kuziba pengo la ukatili ulilokosa, ukikosa show ya kibabe, atanasa kwa wenye show za kibabe, ukikosa bashasha atavutika kwa wenye bashasha n.k.

Wanawake ni viumbe visivyotosheka
[emoji122][emoji122]
 
Unaweza ukashangaa hili, ila uhalisia nikwamba Ili Mwanamke Akupende kwa dhati Daima ni lazima huko mwanzo uhakikishe kwamba Ulimpitisha kwenye Mateso ya Kihisia.

Mtu anaweza niuliza, kwahiyo mwanamke havutiwi na wanaume wanaompa Starehe na mitoko ya kila aina ?
Lkn , Ukielewa jinsi "Ubongo wa mwanamke unavyofanya kazi" , utapata jibu.

Ubongo wa mwanamke , Uliumbwa kwa uwezo wa " Kutohoa Furaha kutoka katika Hisia "
Ndio sababu mwanamke anaweza Kuangalia tamthiliya za majonzi na kweli nayeye akaanza kulia weeeeee kama vile nikweli.

Ataangalia Tamthiliya fulani labda inayohusu mwanamke fulan anayepitia jambo fulani " ila yeye ataishia kusema ningekua mimi ningefanya moja, mbili, tatu "
Kwann haya ??? Jibu ni Hisia.

Mtunzi mzuri wa Riwaya, Tamthiliya n.k, Lazima atumie mbinu ya kuteka hisia ..ndio maana kuna Movies huwa zinawaliza watu lkn hawachoki kuzitazama !!!

Kwann?? Kwa sababu ya HISIA ... Unapokua chanzo cha Hisia za Furaha na hisia za Huzuni kwa Mwanamke... Ubongo wake utakutafasiri kama mwanaume pekee unayemuwezea na hapo MAISHA YAKE YA KIHISIA YATAKUTEGEMEA WEWE.( Kwenye hii hatua unakua umefaulu kumfanya mtumwa wa kihisia kwako).

Simaanishi Vipigo na matusi au nn [emoji23][emoji23].... Panapohitajika KARIPIO MPE KARIPIO. panapohitajika MAKOFI MAWILI MATATU MPEE .panapohitaj Kuelekezwa MUELEKEZE ,panapohitajika Kumtesa Kihisia ( mfano kumwonyesha unaweza ishi bila yeye, MWONYESHE ) panapohitajika KUMBEBISHA, MBEBISHE SANAA TU AJIONE MALAIKA.......HATOKAA KUKUACHA ET KWA SABABU YA HAYO.

kumbukeni, kuna wakat huwa mpaka wanaanzisha vidrama drama ili mradi mkwaruzane kwaruzane, ajihisi MPYA.......

[emoji109]HIYO NI ASILI HATUWEZI KAMWE KUPINGANA NAYO

[emoji117]TUYAACHE HAYO...... TUJE KWENYE LENGO LA UZI

Hivi unajua Furaha ya Mpenzi/ mkeo imeegemea kwako??

sikilizeni niwambie, Furaha ya mwanamke kwenye uhusiano nawewe inafuata haya

[emoji818]UONGOZI .... Fanya unavyoweza ,fanya ujuayo ,wewee sijui kua bize sanaa, HAKIKISHA umemfanya mkeo/mpenzi wako aamini kua wee ni KIONGOZI WAKE UNAYEMUONGOZA.

[emoji818]MAMLAKA ... yaan hata aweje ,awe kasoma sana zaidi yako. Awe uwezo mkubwa kiuchumi, hakikisha umefanya ajue , WEWE NDIO MWENYE MAMLAKA NAYE

[emoji818]KUTAWALA..... Kwa sababu ni wako. Mfanye ajue wee ndio unayemtawala.

Haraka haraka katika Dunia yetu, utasikia mwanamke anakuambia,

--sipendi mwanaume mwenye kunitawala.
--napenda mwanaume anayenisikiliza kila nachomwambia

Lkn ndugu zangu ukweli nikua huyu mwanamke hata kutoka ndani ya moyo wake, anakua anataka uwe dominant wake ,anakua anataka uwe mamlaka juu yake, anakua anataka uwe kiongozi wa maisha yake.. NA KWA WEWE KUFANYA HIVO NDIVYO YEYE ANAJIHISI MWENYE FURAHA[emoji23]

Wanawake walio wengi hawapendi kua kama "Mama yako aliyekuzaa" yaan akuleee ,yeye ndio akuoshe, akuvishe nguo. Akutawaze ,akunywenye uji. Ulale ....hawapendi.

Mwanamke hata kama Amekuzidi umri, ili mradi ni mpenzi wako. HAKIKISHA UNAKUA MWANAUME. MWANAUME KTK NYANJA ZA KUMTAWALA, KUMUONGOZA NA KUA NA MAMLAKA JUU YAKE .

HATA KAMA KAKUZIDI ELIMU. AU AMEKUZIDI UCHUMI, AU VYOVYOTE VILE, HAYO MAMBO MATATU. YASIKUTOKE MAISHANI MWAKO.

Usipokua nayo, Hata, uletewe mwanamke asiye na kila kitu yaan kuishi kwake kunakutegemea Pesa yako, ATAKUSUMBUA SANA TU.

Kwan mnadhan , Madem huwa wanafata nn kwa Bad boys???.

Na kwann mahusiano mengi au ndoa zile ambazo Mwanaume ni Mlokole , bebi bebi nyingiiii weee, mara nn, ndizo zinaongoza kuvunjika ????.

Kua na hayo, alafu mpende. Mjali. Mthamini kama mkeo ,mpenzi wako.

Maneno yangu sio sheria!!
nondo kama hizi uwe unatushushia kila weekend
 
Nice guy hamvutii mwanamke
Screenshot_20211003-201358.png
 
Mwanaume mwenye Furaha ni yule anayeishi kwenye

1: Moyo wa Mwanamke
2: Sala ya Mwanamke
3: Kumbukumbu ya Mwanamke

Ni ngumu kwa Mwanaume kuwa na amani kama kuna huzuni ndani ya moyo wa Mwanamke wake

Ni ngumu kwa Mwanaume kuwa mwenye baraka kama amesahaulika kwenye sala ya Mwanamke wake

Ni ngumu kwa Mwanaume kuwa na kesho nzuri kama kuna jeraha ameliacha kwenye kumbukumbu ya Mwanamke wake

Je, umeshawahi kujiuliza Furaha ya Mwanamke iko wapi?

Kwenye mioyo ya Wanaume? Hapana, wanaume hawajaumbwa na hisia za kudumu. Ni rahisi sana kubadilika. Mioyo yao ni rahisi kuingia kwenye matamanio

Kwenye sala ya mwanaume? Hapana. Tafiti zinaonyesha, kwa asilimia kubwa Wanaume hulalamika wanapozungumza na Mungu, hawaombi

Kwenye kumbukumbu? Si kweli, wanaume huwa na Moments sio Memories

Ni wapi Wanawake hupata Furaha zao? jibu ni KWENYE FURAHA ZA WANAUME

ONCE A MAN IS HAPPY, HIS WOMAN IS ALSO HAPPY

Wanawake hutengeneza furaha za Wanaume ili wapate furaha zao

Nini nataka tujifunze kutoka sasa? Tusiwape wakati mgumu Wanawake. They are struggling enough kwa ajili ya kutafuta Furaha zao....
 
Kitabu kizuri ...

Kuna mambo. Nmekua nayaandika hum, ila wajuba wanaona kawaida kwasababu mimi ni mbongo[emoji23][emoji23]




Ukiwa Bad Boy, kula tunda kimasihara nijambo la kawaida.[emoji23][emoji23]

Ukiwa Bad Boy, wanawake kukutaka au kukutongoza, au kujilengesha, ni kawaidaaaaa[emoji23][emoji23]


Bad Boy, haongi ila analiliwa na mademu [emoji23][emoji23]
Hakika mkuu
 
Unaweza ukashangaa hili, ila uhalisia nikwamba Ili Mwanamke Akupende kwa dhati Daima ni lazima huko mwanzo uhakikishe kwamba Ulimpitisha kwenye Mateso ya Kihisia.

Mtu anaweza niuliza, kwahiyo mwanamke havutiwi na wanaume wanaompa Starehe na mitoko ya kila aina ?
Lkn , Ukielewa jinsi "Ubongo wa mwanamke unavyofanya kazi" , utapata jibu.

Ubongo wa mwanamke , Uliumbwa kwa uwezo wa " Kutohoa Furaha kutoka katika Hisia "
Ndio sababu mwanamke anaweza Kuangalia tamthiliya za majonzi na kweli nayeye akaanza kulia weeeeee kama vile nikweli.

Ataangalia Tamthiliya fulani labda inayohusu mwanamke fulan anayepitia jambo fulani " ila yeye ataishia kusema ningekua mimi ningefanya moja, mbili, tatu "
Kwann haya ??? Jibu ni Hisia.

Mtunzi mzuri wa Riwaya, Tamthiliya n.k, Lazima atumie mbinu ya kuteka hisia ..ndio maana kuna Movies huwa zinawaliza watu lkn hawachoki kuzitazama !!!

Kwann?? Kwa sababu ya HISIA ... Unapokua chanzo cha Hisia za Furaha na hisia za Huzuni kwa Mwanamke... Ubongo wake utakutafasiri kama mwanaume pekee unayemuwezea na hapo MAISHA YAKE YA KIHISIA YATAKUTEGEMEA WEWE.( Kwenye hii hatua unakua umefaulu kumfanya mtumwa wa kihisia kwako).

Simaanishi Vipigo na matusi au nn [emoji23][emoji23].... Panapohitajika KARIPIO MPE KARIPIO. panapohitajika MAKOFI MAWILI MATATU MPEE .panapohitaj Kuelekezwa MUELEKEZE ,panapohitajika Kumtesa Kihisia ( mfano kumwonyesha unaweza ishi bila yeye, MWONYESHE ) panapohitajika KUMBEBISHA, MBEBISHE SANAA TU AJIONE MALAIKA.......HATOKAA KUKUACHA ET KWA SABABU YA HAYO.

kumbukeni, kuna wakat huwa mpaka wanaanzisha vidrama drama ili mradi mkwaruzane kwaruzane, ajihisi MPYA.......

[emoji109]HIYO NI ASILI HATUWEZI KAMWE KUPINGANA NAYO

[emoji117]TUYAACHE HAYO...... TUJE KWENYE LENGO LA UZI

Hivi unajua Furaha ya Mpenzi/ mkeo imeegemea kwako??

sikilizeni niwambie, Furaha ya mwanamke kwenye uhusiano nawewe inafuata haya

[emoji818]UONGOZI .... Fanya unavyoweza ,fanya ujuayo ,wewee sijui kua bize sanaa, HAKIKISHA umemfanya mkeo/mpenzi wako aamini kua wee ni KIONGOZI WAKE UNAYEMUONGOZA.

[emoji818]MAMLAKA ... yaan hata aweje ,awe kasoma sana zaidi yako. Awe uwezo mkubwa kiuchumi, hakikisha umefanya ajue , WEWE NDIO MWENYE MAMLAKA NAYE

[emoji818]KUTAWALA..... Kwa sababu ni wako. Mfanye ajue wee ndio unayemtawala.

Haraka haraka katika Dunia yetu, utasikia mwanamke anakuambia,

--sipendi mwanaume mwenye kunitawala.
--napenda mwanaume anayenisikiliza kila nachomwambia

Lkn ndugu zangu ukweli nikua huyu mwanamke hata kutoka ndani ya moyo wake, anakua anataka uwe dominant wake ,anakua anataka uwe mamlaka juu yake, anakua anataka uwe kiongozi wa maisha yake.. NA KWA WEWE KUFANYA HIVO NDIVYO YEYE ANAJIHISI MWENYE FURAHA[emoji23]

Wanawake walio wengi hawapendi kua kama "Mama yako aliyekuzaa" yaan akuleee ,yeye ndio akuoshe, akuvishe nguo. Akutawaze ,akunywenye uji. Ulale ....hawapendi.

Mwanamke hata kama Amekuzidi umri, ili mradi ni mpenzi wako. HAKIKISHA UNAKUA MWANAUME. MWANAUME KTK NYANJA ZA KUMTAWALA, KUMUONGOZA NA KUA NA MAMLAKA JUU YAKE .

HATA KAMA KAKUZIDI ELIMU. AU AMEKUZIDI UCHUMI, AU VYOVYOTE VILE, HAYO MAMBO MATATU. YASIKUTOKE MAISHANI MWAKO.

Usipokua nayo, Hata, uletewe mwanamke asiye na kila kitu yaan kuishi kwake kunakutegemea Pesa yako, ATAKUSUMBUA SANA TU.

Kwan mnadhan , Madem huwa wanafata nn kwa Bad boys???.

Na kwann mahusiano mengi au ndoa zile ambazo Mwanaume ni Mlokole , bebi bebi nyingiiii weee, mara nn, ndizo zinaongoza kuvunjika ????.

Kua na hayo, alafu mpende. Mjali. Mthamini kama mkeo ,mpenzi wako.

Maneno yangu sio sheria!!


Nakubaliana na wewe 99%

1% ninayoikataa ni ya kipigo. Yaani nitafanya lolote kuhakikisha simfikishi mwanaume kwenye hatua ya kunipiga😥😥 Naogopa kipigo zaidi ya kitu chochote mimi

Na naamini wanaume wengi huwa wanaishia kupiga wanawake sababu ya wanawake kuongea sana na kuwapa majibu mabaya/dharau. Heri kunyamaza shetani apite tuyajenge tukiwa na utulivu kuliko kipigo 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Unaweza ukashangaa hili, ila uhalisia nikwamba Ili Mwanamke Akupende kwa dhati Daima ni lazima huko mwanzo uhakikishe kwamba Ulimpitisha kwenye Mateso ya Kihisia.

Mtu anaweza niuliza, kwahiyo mwanamke havutiwi na wanaume wanaompa Starehe na mitoko ya kila aina ?
Lkn , Ukielewa jinsi "Ubongo wa mwanamke unavyofanya kazi" , utapata jibu.

Ubongo wa mwanamke , Uliumbwa kwa uwezo wa " Kutohoa Furaha kutoka katika Hisia "
Ndio sababu mwanamke anaweza Kuangalia tamthiliya za majonzi na kweli nayeye akaanza kulia weeeeee kama vile nikweli.

Ataangalia Tamthiliya fulani labda inayohusu mwanamke fulan anayepitia jambo fulani " ila yeye ataishia kusema ningekua mimi ningefanya moja, mbili, tatu "
Kwann haya ??? Jibu ni Hisia.

Mtunzi mzuri wa Riwaya, Tamthiliya n.k, Lazima atumie mbinu ya kuteka hisia ..ndio maana kuna Movies huwa zinawaliza watu lkn hawachoki kuzitazama !!!

Kwann?? Kwa sababu ya HISIA ... Unapokua chanzo cha Hisia za Furaha na hisia za Huzuni kwa Mwanamke... Ubongo wake utakutafasiri kama mwanaume pekee unayemuwezea na hapo MAISHA YAKE YA KIHISIA YATAKUTEGEMEA WEWE.( Kwenye hii hatua unakua umefaulu kumfanya mtumwa wa kihisia kwako).

Simaanishi Vipigo na matusi au nn [emoji23][emoji23].... Panapohitajika KARIPIO MPE KARIPIO. panapohitajika MAKOFI MAWILI MATATU MPEE .panapohitaj Kuelekezwa MUELEKEZE ,panapohitajika Kumtesa Kihisia ( mfano kumwonyesha unaweza ishi bila yeye, MWONYESHE ) panapohitajika KUMBEBISHA, MBEBISHE SANAA TU AJIONE MALAIKA.......HATOKAA KUKUACHA ET KWA SABABU YA HAYO.

kumbukeni, kuna wakat huwa mpaka wanaanzisha vidrama drama ili mradi mkwaruzane kwaruzane, ajihisi MPYA.......

[emoji109]HIYO NI ASILI HATUWEZI KAMWE KUPINGANA NAYO

[emoji117]TUYAACHE HAYO...... TUJE KWENYE LENGO LA UZI

Hivi unajua Furaha ya Mpenzi/ mkeo imeegemea kwako??

sikilizeni niwambie, Furaha ya mwanamke kwenye uhusiano nawewe inafuata haya

[emoji818]UONGOZI .... Fanya unavyoweza ,fanya ujuayo ,wewee sijui kua bize sanaa, HAKIKISHA umemfanya mkeo/mpenzi wako aamini kua wee ni KIONGOZI WAKE UNAYEMUONGOZA.

[emoji818]MAMLAKA ... yaan hata aweje ,awe kasoma sana zaidi yako. Awe uwezo mkubwa kiuchumi, hakikisha umefanya ajue , WEWE NDIO MWENYE MAMLAKA NAYE

[emoji818]KUTAWALA..... Kwa sababu ni wako. Mfanye ajue wee ndio unayemtawala.

Haraka haraka katika Dunia yetu, utasikia mwanamke anakuambia,

--sipendi mwanaume mwenye kunitawala.
--napenda mwanaume anayenisikiliza kila nachomwambia

Lkn ndugu zangu ukweli nikua huyu mwanamke hata kutoka ndani ya moyo wake, anakua anataka uwe dominant wake ,anakua anataka uwe mamlaka juu yake, anakua anataka uwe kiongozi wa maisha yake.. NA KWA WEWE KUFANYA HIVO NDIVYO YEYE ANAJIHISI MWENYE FURAHA[emoji23]

Wanawake walio wengi hawapendi kua kama "Mama yako aliyekuzaa" yaan akuleee ,yeye ndio akuoshe, akuvishe nguo. Akutawaze ,akunywenye uji. Ulale ....hawapendi.

Mwanamke hata kama Amekuzidi umri, ili mradi ni mpenzi wako. HAKIKISHA UNAKUA MWANAUME. MWANAUME KTK NYANJA ZA KUMTAWALA, KUMUONGOZA NA KUA NA MAMLAKA JUU YAKE .

HATA KAMA KAKUZIDI ELIMU. AU AMEKUZIDI UCHUMI, AU VYOVYOTE VILE, HAYO MAMBO MATATU. YASIKUTOKE MAISHANI MWAKO.

Usipokua nayo, Hata, uletewe mwanamke asiye na kila kitu yaan kuishi kwake kunakutegemea Pesa yako, ATAKUSUMBUA SANA TU.

Kwan mnadhan , Madem huwa wanafata nn kwa Bad boys???.

Na kwann mahusiano mengi au ndoa zile ambazo Mwanaume ni Mlokole , bebi bebi nyingiiii weee, mara nn, ndizo zinaongoza kuvunjika ????.

Kua na hayo, alafu mpende. Mjali. Mthamini kama mkeo ,mpenzi wako.

Maneno yangu sio sheria!!
KUDOS
 
Back
Top Bottom