Furaha ya Nchi hii imeshikiliwa na Mpira. Leo nchi haina furaha baada ya kufanyiwa uonezi Timu ya Wananchi

Furaha ya Nchi hii imeshikiliwa na Mpira. Leo nchi haina furaha baada ya kufanyiwa uonezi Timu ya Wananchi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Nchi ina maumivu makubwa sana siku ya leo,nchi ina hasira kali sana siku ya leo nikiwepo mimi mwenyewe, maumivu ni makubwa sana kuliko unavyoweza elezea,Ni aibu kubwa sana kwa Rais wa CAF, nimejikuta namchukia kupita kiasi na kamwe siwezi kumpenda wala kuja kuiombea mema club yake ya Mamelodi kwa uhuni walioifanyia timu yetu ya wananchi kwa kuwapanga marefa watakao wabeba kwa mbeleko ya chuma.

Kwa hakika Afrika nzima imechukia na kulaani sanaa uharamia na unyang'anyi uliofanywa waziwazi na refa kwa kushirikiana na wahuni wenzake waliokuwa wamejipanga kuihujumu yanga yetu.kwa hakika maumivu ni makali sana ,ni hasira kila kona.hata wasauzi wenyewe wamechukizwa sana na uhuni uliofanywa na mipumbavu michache iliyokula pesa kwa ajili ya kuihujumu Yanga.

Li motsepe linaharibu mpira wa Afrika kwa kuipendelea na kuibeba kijinga timu yake linaloimiliki. Ni lazima jumuiya ya wanamichezo Afrika nzima waamke kwa pamoja kumshinikiza ajiuzulu kama ilivyokuwa kwa sefu Blata.motisepe ni li huni tu na lipumbavu linalopanga matokeo jinga hili. Lazima lishinikizwe kujiuzuru Urais wa CAF .jitu zima hovyo . akiendelea kusalia katika nafasi hiyo ataharibu sana mpira wa Afrika na kuvikatisha tamaa vilabu vingi sana.haiwezekani watu wawekeze halafu lenyewe linaleta uhuni wake na janja janja kwa kucheza na kuumiza hisia za watu kwa kupanga matokeo. ikiwezekana club ziweke msimamo wa kususia mashindano mpaka atakapojiuzuru nafasi yake.

Kumfungia na kumchukulia hatua refa haitasaidia kitu ikiwa huyu muhuni na mpumbavu ataendelea kusalia katika nafasi ya Urais.maana mwaka unaofuata atawaweka sawa marefa wengine ili kuibeba timu yake. hivyo mchezo wa kunyonga timu pinzani utaendelea kuwa huo huo na kilio mwaka hadi mwaka pale litimu lake linapokuwa limebanwa mbavu na kushindwa kupata ushindi wa halali uwanjani.

Nitaichukia Mamelodi siku zote na Rais Wake wakati wote mjinga mjinga huyu. Nimeumia na kuumizwa sana kwa namna tulivyoonewa yanga na kutokana na mipumbavu michache iliyoamua kuangalia mitumbo yao kwa vijisenti vya kulisha matumbo yao.

Club zisipoungana na kusimama pamoja zitaendelea kunyongwa na kuonewa mwaka hadi mwaka na huyu mpumbavu mmoja .ni lazima timu zote zisimame kwa pamoja kumkataa kuendelea kuongoza soka la Afrika. Leo kwa Yanga hatujui kesho kwa nani.
 
anyway, hii mada ya mpira na jukwaa la siasa kulikoni?

Sera za Samia katika michezo zimeifamya Tanzania iingize timu mbili robo fainali, akiendelea na uraisi 2025/2030 naliona kombe la afrika hapa, na la klabubbingwa afrika.

Viva Samia vivaaaa
 
Na walioingia madarakani Tanzania kwa kuiba kura washinikizwe kujiuzuru .
 
Mpira unatumika kupumbaza watanzania kuacha kudeal na issues za msingi mfano juzi tu imetolewa ripoti ya CAG ni madudu tu, umeme umekatika huko masaa zaidi ya 10 watu wanapewa sababu za uwongo tu.

Namshukuru Mama Samia kwa kuwezesha Simba na Yanga kufungwa jana.
 
Nimeumia sana Yanga yangu kuonewa🥺💚💛
Tokea jana siwezi hata kula...😑
 
Leo niko pamoja na wewe Luca, haya maumivu ni makubwa sana.

Lakini, ndio maana serikali haitokaa iviache hivi vilabu vijiendeshe vyenyewe bila mkono wao. Hii nchi hakuna kitu kinachowaweka watu pamoja kama mpira wa hivi vilabu vyetu vikubwa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nchi ina maumivu makubwa sana siku ya leo,nchi ina hasira kali sana siku ya leo nikiwepo mimi mwenyewe, maumivu ni makubwa sana kuliko unavyoweza elezea,Ni aibu kubwa sana kwa Rais wa CAF ,nimejikuta namchukia kupita kiasi na kamwe siwezi kumpenda wala kuja kuiombea mema club yake ya Mamelodi kwa uhuni walioifanyia timu yetu ya wananchi kwa kuwapanga marefa watakao wabeba kwa mbeleko ya chuma.

Kwa hakika Afrika nzima imechukia na kulaani sanaa uharamia na unyang'anyi uliofanywa waziwazi na refa kwa kushirikiana na wahuni wenzake waliokuwa wamejipanga kuihujumu yanga yetu.kwa hakika maumivu ni makali sana ,ni hasira kila kona.hata wasauzi wenyewe wamechukizwa sana na uhuni uliofanywa na mipumbavu michache iliyokula pesa kwa ajili ya kuihujumu yanga.

Li motsepe linaharibu mpira wa Afrika kwa kuipendelea na kuibeba kijinga timu yake linaloimiliki. Ni lazima jumuiya ya wanamichezo Afrika nzima waamke kwa pamoja kumshinikiza ajiuzulu kama ilivyokuwa kwa sefu Blata.motisepe ni li huni tu na lipumbavu linalopanga matokeo jinga hili. Lazima lishinikizwe kujiuzuru Urais wa CAF .jitu zima hovyo . akiendelea kusalia katika nafasi hiyo ataharibu sana mpira wa Afrika na kuvikatisha tamaa vilabu vingi sana.haiwezekani watu wawekeze halafu lenyewe linaleta uhuni wake na janja janja kwa kucheza na kuumiza hisia za watu kwa kupanga matokeo. ikiwezekana club ziweke msimamo wa kususia mashindano mpaka atakapojiuzuru nafasi yake.

Kumfungia na kumchukulia hatua refa haitasaidia kitu ikiwa huyu muhuni na mpumbavu ataendelea kusalia katika nafasi ya Urais.maana mwaka unaofuata atawaweka sawa marefa wengine ili kuibeba timu yake. hivyo mchezo wa kunyonga timu pinzani utaendelea kuwa huo huo na kilio mwaka hadi mwaka pale litimu lake linapokuwa limebanwa mbavu na kushindwa kupata ushindi wa halali uwanjani.

Nitaichukia Mamelodi siku zote na Rais Wake wakati wote mjinga mjinga huyu. Nimeumia na kuumizwa sana kwa namna tulivyoonewa yanga na kutokana na mipumbavu michache iliyoamua kuangalia mitumbo yao kwa vijisenti vya kulisha matumbo yao.

Club zisipoungana na kusimama pamoja zitaendelea kunyongwa na kuonewa mwaka hadi mwaka na huyu mpumbavu mmoja .ni lazima timu zote zisimame kwa pamoja kumkataa kuendelea kuongoza soka la Afrika. Leo kwa Yanga hatujui kesho kwa nani.
Laana ya Kuiba Kura.....dhulumati masisiemu
 
Nimeumia sana Yanga yangu kuonewa🥺💚💛
Tokea jana siwezi hata kula...😑
Mimi nina hasira na maumivu makali sana ndani ya moyo wangu ephen.lakini ikibidi nipe maumivu yako nikubebee ili wewe ubaki na furaha halafu mimi nilichukie zaidi hili li Rais la CAF linalopanga marefa wa mchango kuibeba timu lake.
 
Leo niko pamoja na wewe Luca, haya maumivu ni makubwa sana.

Lakini, ndio maana serikali haitokaa iviache hivi vilabu vijiendeshe vyenyewe bila mkono wao. Hii nchi hakuna kitu kinachowaweka watu pamoja kama mpira wa hivi vilabu vyetu vikubwa.
Mimi Leo Nifah naona kila kitu ni kichungu kwangu na habari zote ni chungu kwangu.sina furaha wala amani zaidi ya uchungu,maumivu na hasira kali sana. Tumeonewa sana ,.Afrika nzima wakiwepo wasauzi wenyewe wamelaani sana uhuni tuliofanyiwa.Kocha wetu mwenyewe amesema inaumiza sana tena sana.na akasema sijuwi kama wao washabiki wa Mamelodi wanakubaliana na maamuzi na kilichotokea.
 
Sawa mmeonewa na kwenye kupiga penat alikuwepo Rais wa CAF
Tunachotaka ni haki itendeke na siyo habari za penati.kwani nani alikwambia kuwa tulikwenda kupiga penati saizi? Sisi tulikwenda kushinda ndani ya dakika za kawaida na siyo kwenda mpaka hatua za penati.
 
Back
Top Bottom