Furaha ya Nchi hii imeshikiliwa na Mpira. Leo nchi haina furaha baada ya kufanyiwa uonezi Timu ya Wananchi

Furaha ya Nchi hii imeshikiliwa na Mpira. Leo nchi haina furaha baada ya kufanyiwa uonezi Timu ya Wananchi

Hakuna goli pale. Wataalamu wa kutumia na kuchambua magoli kwa VAR wamekata kuwa lile siyo goli. Halafu wewe mla mihogo wa Tandale unasema ni goli, huu si ni ukichaa?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nchi ina maumivu makubwa sana siku ya leo,nchi ina hasira kali sana siku ya leo nikiwepo mimi mwenyewe, maumivu ni makubwa sana kuliko unavyoweza elezea,Ni aibu kubwa sana kwa Rais wa CAF ,nimejikuta namchukia kupita kiasi na kamwe siwezi kumpenda wala kuja kuiombea mema club yake ya Mamelodi kwa uhuni walioifanyia timu yetu ya wananchi kwa kuwapanga marefa watakao wabeba kwa mbeleko ya chuma.

Kwa hakika Afrika nzima imechukia na kulaani sanaa uharamia na unyang'anyi uliofanywa waziwazi na refa kwa kushirikiana na wahuni wenzake waliokuwa wamejipanga kuihujumu yanga yetu.kwa hakika maumivu ni makali sana ,ni hasira kila kona.hata wasauzi wenyewe wamechukizwa sana na uhuni uliofanywa na mipumbavu michache iliyokula pesa kwa ajili ya kuihujumu yanga.

Li motsepe linaharibu mpira wa Afrika kwa kuipendelea na kuibeba kijinga timu yake linaloimiliki. Ni lazima jumuiya ya wanamichezo Afrika nzima waamke kwa pamoja kumshinikiza ajiuzulu kama ilivyokuwa kwa sefu Blata.motisepe ni li huni tu na lipumbavu linalopanga matokeo jinga hili. Lazima lishinikizwe kujiuzuru Urais wa CAF .jitu zima hovyo . akiendelea kusalia katika nafasi hiyo ataharibu sana mpira wa Afrika na kuvikatisha tamaa vilabu vingi sana.haiwezekani watu wawekeze halafu lenyewe linaleta uhuni wake na janja janja kwa kucheza na kuumiza hisia za watu kwa kupanga matokeo. ikiwezekana club ziweke msimamo wa kususia mashindano mpaka atakapojiuzuru nafasi yake.

Kumfungia na kumchukulia hatua refa haitasaidia kitu ikiwa huyu muhuni na mpumbavu ataendelea kusalia katika nafasi ya Urais.maana mwaka unaofuata atawaweka sawa marefa wengine ili kuibeba timu yake. hivyo mchezo wa kunyonga timu pinzani utaendelea kuwa huo huo na kilio mwaka hadi mwaka pale litimu lake linapokuwa limebanwa mbavu na kushindwa kupata ushindi wa halali uwanjani.

Nitaichukia Mamelodi siku zote na Rais Wake wakati wote mjinga mjinga huyu. Nimeumia na kuumizwa sana kwa namna tulivyoonewa yanga na kutokana na mipumbavu michache iliyoamua kuangalia mitumbo yao kwa vijisenti vya kulisha matumbo yao.

Club zisipoungana na kusimama pamoja zitaendelea kunyongwa na kuonewa mwaka hadi mwaka na huyu mpumbavu mmoja .ni lazima timu zote zisimame kwa pamoja kumkataa kuendelea kuongoza soka la Afrika. Leo kwa Yanga hatujui kesho kwa nani.
Ilichofanyiwa timu ya wananchi ndicho CCM inachotufanyia wananchi kwenye matokeo ya kura.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nchi ina maumivu makubwa sana siku ya leo,nchi ina hasira kali sana siku ya leo nikiwepo mimi mwenyewe, maumivu ni makubwa sana kuliko unavyoweza elezea,Ni aibu kubwa sana kwa Rais wa CAF ,nimejikuta namchukia kupita kiasi na kamwe siwezi kumpenda wala kuja kuiombea mema club yake ya Mamelodi kwa uhuni walioifanyia timu yetu ya wananchi kwa kuwapanga marefa watakao wabeba kwa mbeleko ya chuma.

Kwa hakika Afrika nzima imechukia na kulaani sanaa uharamia na unyang'anyi uliofanywa waziwazi na refa kwa kushirikiana na wahuni wenzake waliokuwa wamejipanga kuihujumu yanga yetu.kwa hakika maumivu ni makali sana ,ni hasira kila kona.hata wasauzi wenyewe wamechukizwa sana na uhuni uliofanywa na mipumbavu michache iliyokula pesa kwa ajili ya kuihujumu yanga.

Li motsepe linaharibu mpira wa Afrika kwa kuipendelea na kuibeba kijinga timu yake linaloimiliki. Ni lazima jumuiya ya wanamichezo Afrika nzima waamke kwa pamoja kumshinikiza ajiuzulu kama ilivyokuwa kwa sefu Blata.motisepe ni li huni tu na lipumbavu linalopanga matokeo jinga hili. Lazima lishinikizwe kujiuzuru Urais wa CAF .jitu zima hovyo . akiendelea kusalia katika nafasi hiyo ataharibu sana mpira wa Afrika na kuvikatisha tamaa vilabu vingi sana.haiwezekani watu wawekeze halafu lenyewe linaleta uhuni wake na janja janja kwa kucheza na kuumiza hisia za watu kwa kupanga matokeo. ikiwezekana club ziweke msimamo wa kususia mashindano mpaka atakapojiuzuru nafasi yake.

Kumfungia na kumchukulia hatua refa haitasaidia kitu ikiwa huyu muhuni na mpumbavu ataendelea kusalia katika nafasi ya Urais.maana mwaka unaofuata atawaweka sawa marefa wengine ili kuibeba timu yake. hivyo mchezo wa kunyonga timu pinzani utaendelea kuwa huo huo na kilio mwaka hadi mwaka pale litimu lake linapokuwa limebanwa mbavu na kushindwa kupata ushindi wa halali uwanjani.

Nitaichukia Mamelodi siku zote na Rais Wake wakati wote mjinga mjinga huyu. Nimeumia na kuumizwa sana kwa namna tulivyoonewa yanga na kutokana na mipumbavu michache iliyoamua kuangalia mitumbo yao kwa vijisenti vya kulisha matumbo yao.

Club zisipoungana na kusimama pamoja zitaendelea kunyongwa na kuonewa mwaka hadi mwaka na huyu mpumbavu mmoja .ni lazima timu zote zisimame kwa pamoja kumkataa kuendelea kuongoza soka la Afrika. Leo kwa Yanga hatujui kesho kwa nani.
Watanzania ndio maana kuna kipindi walikua wanawatukana wachezaji wa aston villa kisa mbwana samatta hajapewa pasi kumbe bado upuuzi ule ule haujawatoka nyie nani mstolewe na bacca nae aliepaisha penati!
 
Mpira ndio dini moja iliyotabiriwa kumuabudu shetani kupitia mpira
 
FB_IMG_1712403785978.jpg
 
Tunachotaka ni haki itendeke na siyo habari za penati.kwani nani alikwambia kuwa tulikwenda kupiga penati saizi? Sisi tulikwenda kushinda ndani ya dakika za kawaida na siyo kwenda mpaka hatua za penati.
Huwezi kupata haki kama wewe hutendi haki, hakuna asiyejuwa kwamba kwenye ligi yetu mmekiwa mkinunua waamuzi ili wawabebe, Angalia match ya Namungo na Kagera magoli yake ni same kama la kwenu,, pia mmekuwa mnavirangua vilabu vya ligi juu na kujifanya et wadhamin, saiv mna Zaid ya vilabu 6, pia mmekuwa mkiloga waziwazi,, sasa kwa matukio hayo machache hatuwez mkabaki salama maana malipo yake ni hap hapa,,,,,, Tujipange tuache polojo kwenye football, tucheze mpira, tuache kulialia kusubili huruma, tungekuwa na uwezo basi jana tungefunga hata goal 3 tuone kama kwer watazikataa zote
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nchi ina maumivu makubwa sana siku ya leo,nchi ina hasira kali sana siku ya leo nikiwepo mimi mwenyewe, maumivu ni makubwa sana kuliko unavyoweza elezea,Ni aibu kubwa sana kwa Rais wa CAF, nimejikuta namchukia kupita kiasi na kamwe siwezi kumpenda wala kuja kuiombea mema club yake ya Mamelodi kwa uhuni walioifanyia timu yetu ya wananchi kwa kuwapanga marefa watakao wabeba kwa mbeleko ya chuma.

Kwa hakika Afrika nzima imechukia na kulaani sanaa uharamia na unyang'anyi uliofanywa waziwazi na refa kwa kushirikiana na wahuni wenzake waliokuwa wamejipanga kuihujumu yanga yetu.kwa hakika maumivu ni makali sana ,ni hasira kila kona.hata wasauzi wenyewe wamechukizwa sana na uhuni uliofanywa na mipumbavu michache iliyokula pesa kwa ajili ya kuihujumu Yanga.

Li motsepe linaharibu mpira wa Afrika kwa kuipendelea na kuibeba kijinga timu yake linaloimiliki. Ni lazima jumuiya ya wanamichezo Afrika nzima waamke kwa pamoja kumshinikiza ajiuzulu kama ilivyokuwa kwa sefu Blata.motisepe ni li huni tu na lipumbavu linalopanga matokeo jinga hili. Lazima lishinikizwe kujiuzuru Urais wa CAF .jitu zima hovyo . akiendelea kusalia katika nafasi hiyo ataharibu sana mpira wa Afrika na kuvikatisha tamaa vilabu vingi sana.haiwezekani watu wawekeze halafu lenyewe linaleta uhuni wake na janja janja kwa kucheza na kuumiza hisia za watu kwa kupanga matokeo. ikiwezekana club ziweke msimamo wa kususia mashindano mpaka atakapojiuzuru nafasi yake.

Kumfungia na kumchukulia hatua refa haitasaidia kitu ikiwa huyu muhuni na mpumbavu ataendelea kusalia katika nafasi ya Urais.maana mwaka unaofuata atawaweka sawa marefa wengine ili kuibeba timu yake. hivyo mchezo wa kunyonga timu pinzani utaendelea kuwa huo huo na kilio mwaka hadi mwaka pale litimu lake linapokuwa limebanwa mbavu na kushindwa kupata ushindi wa halali uwanjani.

Nitaichukia Mamelodi siku zote na Rais Wake wakati wote mjinga mjinga huyu. Nimeumia na kuumizwa sana kwa namna tulivyoonewa yanga na kutokana na mipumbavu michache iliyoamua kuangalia mitumbo yao kwa vijisenti vya kulisha matumbo yao.

Club zisipoungana na kusimama pamoja zitaendelea kunyongwa na kuonewa mwaka hadi mwaka na huyu mpumbavu mmoja .ni lazima timu zote zisimame kwa pamoja kumkataa kuendelea kuongoza soka la Afrika. Leo kwa Yanga hatujui kesho kwa nani.
Usiwe na wasiwasi mama ni msikivu atalifanyia kazi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nchi ina maumivu makubwa sana siku ya leo,nchi ina hasira kali sana siku ya leo nikiwepo mimi mwenyewe, maumivu ni makubwa sana kuliko unavyoweza elezea,Ni aibu kubwa sana kwa Rais wa CAF, nimejikuta namchukia kupita kiasi na kamwe siwezi kumpenda wala kuja kuiombea mema club yake ya Mamelodi kwa uhuni walioifanyia timu yetu ya wananchi kwa kuwapanga marefa watakao wabeba kwa mbeleko ya chuma.

Kwa hakika Afrika nzima imechukia na kulaani sanaa uharamia na unyang'anyi uliofanywa waziwazi na refa kwa kushirikiana na wahuni wenzake waliokuwa wamejipanga kuihujumu yanga yetu.kwa hakika maumivu ni makali sana ,ni hasira kila kona.hata wasauzi wenyewe wamechukizwa sana na uhuni uliofanywa na mipumbavu michache iliyokula pesa kwa ajili ya kuihujumu Yanga.

Li motsepe linaharibu mpira wa Afrika kwa kuipendelea na kuibeba kijinga timu yake linaloimiliki. Ni lazima jumuiya ya wanamichezo Afrika nzima waamke kwa pamoja kumshinikiza ajiuzulu kama ilivyokuwa kwa sefu Blata.motisepe ni li huni tu na lipumbavu linalopanga matokeo jinga hili. Lazima lishinikizwe kujiuzuru Urais wa CAF .jitu zima hovyo . akiendelea kusalia katika nafasi hiyo ataharibu sana mpira wa Afrika na kuvikatisha tamaa vilabu vingi sana.haiwezekani watu wawekeze halafu lenyewe linaleta uhuni wake na janja janja kwa kucheza na kuumiza hisia za watu kwa kupanga matokeo. ikiwezekana club ziweke msimamo wa kususia mashindano mpaka atakapojiuzuru nafasi yake.

Kumfungia na kumchukulia hatua refa haitasaidia kitu ikiwa huyu muhuni na mpumbavu ataendelea kusalia katika nafasi ya Urais.maana mwaka unaofuata atawaweka sawa marefa wengine ili kuibeba timu yake. hivyo mchezo wa kunyonga timu pinzani utaendelea kuwa huo huo na kilio mwaka hadi mwaka pale litimu lake linapokuwa limebanwa mbavu na kushindwa kupata ushindi wa halali uwanjani.

Nitaichukia Mamelodi siku zote na Rais Wake wakati wote mjinga mjinga huyu. Nimeumia na kuumizwa sana kwa namna tulivyoonewa yanga na kutokana na mipumbavu michache iliyoamua kuangalia mitumbo yao kwa vijisenti vya kulisha matumbo yao.

Club zisipoungana na kusimama pamoja zitaendelea kunyongwa na kuonewa mwaka hadi mwaka na huyu mpumbavu mmoja .ni lazima timu zote zisimame kwa pamoja kumkataa kuendelea kuongoza soka la Afrika. Leo kwa Yanga hatujui kesho kwa nani.
Huu uhuni wa Motsepe unakera sana
 
Mmhh mi sija umia ndugu furahaaaaa Tele hapa ukizoea kuiba jua kuna kuibiwa pia via Kagera sugar
Karma nchi Ile Ile hatua Ile Ile robo fainal Simba Vs Orlando, clear offside Orlando alifunga goli mshambuliaji mghana pape kwame alikua offside na VAR ilikuepo refa akwenda kuangalia VAR na mwisho Simba aka ondoshwa Kwa penati
Uto wakashangulia na kuruka ruka kama chura majini
Amini Kwamba malipo ni hapa nchi Ile Ile hatua Ile Ile goli linakataliwa refa aendi VAR na uto ana ondoka Kwa penati yani ni mule mule malipo ni hapa chini ya jua
 
Kwenye hili sakata siungi mkono malalamiko yako baada ya kufeli matuta.

Walitakiwa walalamike kabla ya matuta hapo ndio ingeleta maana nzuri.

Wakienda huko CAF na wakaenda kuulizwa, endapo wangeshinda matuta, wangepeleka malalamiko? Sijui watajibu vipi
Hahahahaha..wewe ni kama mimi tu naamini ktk mchezo...kwa sababu Mamelody nao wanalalamika refa kawanyima penalty...

Wangeshinda matuta humu stori ingekuwa nyingine na yule Rowens na Rulan wangeshambuliwa sana humu
 
Bora mmetolewa,, mngefungwa kihalali isingewauma,, ila mmetolewa kikatili ,, safi sana refa,, shikilia hapohapo,,

Utani ni kukucheka hasa pale ukipata maumivu 🤣🤣🤣
 
Hakuna goli pale. Wataalamu wa kutumia na kuchambua magoli kwa VAR wamekata kuwa lile siyo goli. Halafu wewe mla mihogo wa Tandale unasema ni goli, huu si ni ukichaa?
Mla magimbi
 
  • Kicheko
Reactions: G4N
Mtaleta kila aina ya mada lakini jibu ni kwamba wote simba na Yanga wameishia robofainali.
Nyingine ni porojo tu
 
Back
Top Bottom