Bro una jicho kaliKama uliangalia vizuri baada ya mechi Kocha Nabi alikwenda kuwapa mkono wa kwaheri mashabiki wa Yanga.Hiyo ni ishara kuwa Nabi anaondoka Yanga pamoja na Kaze...destination yao inaweza kuwa south Africa au Africa ya kaskazini.
Matatizo huwa hayajifichi.Si haba, kuna uwezokana kuna matatizo mengi kwenye management ya Yanga. Tatizo kama ya Fei Toto yameshamiri ndani ya club.
Nakubali kukosolewa ila Pluijm hakuwa na kikosi Cha kawaida maana nakumbuka ndio kina Yondani na Canavaro walikuwa vijana kabisa,Msuva na Tambwe walikuwa vijana kabisa na kwangu mi naona Yanga haijawahi kupata kikosi kama kile hivi karibuniPluijm, Ernie Brandts n.k walikuwa na vikosi vya kawaida na timu ikawa nzuri, Nabi ana kikosi cha gharama, ujuzi amesaidia kwa sehemu kubwa sikatai ila uwekezaji ulimbeba zaidi.
Atakuja tu kocha mwingine mzuri zaidi.
Wapi ambako hakuna matatizo?Si haba, kuna uwezokana kuna matatizo mengi kwenye management ya Yanga. Tatizo kama ya Fei Toto yameshamiri ndani ya club.
Labda thiimba😂😂Wapi ambako hakuna matatizo?
Wanajitoaga akili wamesahau Uchebe aliondoka akisema wamejaa uswahili na u mbumbumbuLabda thiimba[emoji23][emoji23]
Baada ya Ruto kuingia nadhani wamereconcile na CAF kama sijakosea.Walifungiwa na CAF mkuu baada ya mpira wao kuuchanganya na siasa.
Serikali ilifanya Figisu ya kumchomoa Raisi wa shirikisho la soka lao na kumuweka mtu kutoka serikali jamaa akashitaki CAF na CAF walipojiridhisha wakapiga Bann kimataifa Sasa wanacheza nchini mwao tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]rWalijitahidi walidroo [emoji3]