Ni Furaha na Shangwe zimetawala katika siku hii ya Leo iran ilipoishambulia Israel kwa makombora takribani 200 huku mengine 80 yakiongezwa, baadhi yametunguliwa na mifumo ya ulinzi baadhi yameweza kupiga target.
Ni furaha kama ile ya 7 October mwaka jana Palestina ilipoishambulia Israel lakini baada ya muda mchache tukaanza kusikia vilio, maandamano ya free palestine na UN kuishinikiza Israel kusitisha vita.
Ni pale Israel wakianza kujibu mapigo sambamba na yule mwenzake aliekuwa anasubiri siku hii ifike Iran kuishmambulia Israel moja kwa moja, tutegemee vilio, maandamano ya Pray for iran na UN kuishinikiza Israel kusitisha vita?
Ni furaha kama ile ya 7 October mwaka jana Palestina ilipoishambulia Israel lakini baada ya muda mchache tukaanza kusikia vilio, maandamano ya free palestine na UN kuishinikiza Israel kusitisha vita.
Ni pale Israel wakianza kujibu mapigo sambamba na yule mwenzake aliekuwa anasubiri siku hii ifike Iran kuishmambulia Israel moja kwa moja, tutegemee vilio, maandamano ya Pray for iran na UN kuishinikiza Israel kusitisha vita?