Mmmmh....mbona hata mimi sina furaha wakati ni mwanaCCM tena hai?? Uchaguzi ulivurundwa na kufanywa wa kidhuluma ya kidemokrasia na ubabe wa kidola kupitia wizara husika. Waliopitishwa hata wao hawana ujasiri wa kujisifia au kifurahia kupachikwa kwao.
Mambo yakiwa hivi kwa 2020, haina haja ya kufanya uchaguzi wowote bali ufanyike uteuzi tu tuache demokrasia ya kimaigizo na machukizo.