Furaha yatoweka CCM, ushindi kama msiba, wapinzani washangilia. Rais ageuka kauli zake za awali kanisani Dodoma

Siasa za bongo ukifuatilia sana unakuwa chizi na masikini.
Hivi jamani naomba msaada kuku wangu kroiler chotara wameanza kutoa kinyesi chenye damu.
Msaada nipo serious.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijiji vyote vya huku kwetu watu wanadai eti uchaguzi bado haujafanyika, viongozi waliopo hawatambuliki, wanaogopa kuitisha mukutano na kwenye misiba hawatoi matangazo kwa kuogopa kuzomewa. Furaha imetoweka!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…