Furahi day - Be Happy

Furahi day - Be Happy

Eiyer paroko,unadhani sielewi??
ni kama koka kola tu
Hivi umeugundua mtego ulioko kwenye hilo swali lake?

Naona tayari umeshakamatika

Hujui umeshasema unampenda?

Kalagha baho!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Huyo akija nitampatia hii kitu

images


Lazima atoke nduki!!

Hapo umemuweza kabisa!

Teh Teh Teh Teh!
 
asee,kujinyonga kisa bazazi Excel?? halafu awaache wazazi wake? atuache mi na wewe?miungu haitasamehe..lol
Dada yng bora kumuunga mkono
Mdogo wetu! Maana kaisha kabisa kwa Huyu Bazazi
Excel . Anaweza akachukua maamuzi mabaya ya
kutoroka Au kujinyonga km tukimzuia! Bora tumsapoti huku tunamwambia
ubazazi Wa Excel
 
Last edited by a moderator:
Namsubiri kwa hamu

Oooooh king Excel

Uwe na maisha marefu Excel

miss neddy ni wako Excel

Sifa Nzuri zote ni zako ohhh Excel

Chuki za maparoko ziwarudie wao, Excel

Kaizer na Eiyer wakuangukie king Excel

Askari wako Mentor akutii ooh king Excel

His excellency, Ntuzu! niseme nini kwa baraka zoote hizi? nikupe ahsante ya kifalme... peyaaaaaa!!!!

ahsante kwa kunitunuku malikia wa moyo wangu, my sweetness, my everything my sunshine.. beautiful, miss neddy!!

u hali gani huko uliko?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom