Furahia kwa ulichonacho na usiwe mnyonge kwa kukosa ulichotamani kuwa nacho

Furahia kwa ulichonacho na usiwe mnyonge kwa kukosa ulichotamani kuwa nacho

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Katika maisha ya kawaida wanadamu wanaongozwa sana kwa matamanio hata kama siyo halisi. Lakini kitu halisi ni wakati uliopo na kile ulicho nacho na wala si matamanio ya kile usichonacho kwa wakati uliopo.

Watu wengi wanapoteza sana muda kwa kuwaza ni kwa nini hawana walivyotamani kuwa navyo badala ya kutumia muda huo kufurahia walivyo navyo na kuvitumia kwa ajili ya kuvipata vile wavitamanivyo!!




screenshot_20230101-115807-jpg.2465380
 
Kwamba nifurahie nilivyonavyo na mimi hapa nina madeni tu sijui tunafanyaje sasa. Ndugu mtv spika
 
Kwamba nifurahie nilivyonavyo na mimi hapa nina madeni tu sijui tunafanyaje sasa. Ndugu mtv spika
Lipa madeni mkuu utakua huru hata kuongea mbele ya aliekua anakudai, au unakatiza kabisa karibu na mji wake na tena unajikoholesha maksudi ili askie ni wewe unapita hamna haja ya kubadili njia..
 
Back
Top Bottom