Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Katika maisha ya kawaida wanadamu wanaongozwa sana kwa matamanio hata kama siyo halisi. Lakini kitu halisi ni wakati uliopo na kile ulicho nacho na wala si matamanio ya kile usichonacho kwa wakati uliopo.
Watu wengi wanapoteza sana muda kwa kuwaza ni kwa nini hawana walivyotamani kuwa navyo badala ya kutumia muda huo kufurahia walivyo navyo na kuvitumia kwa ajili ya kuvipata vile wavitamanivyo!!
Watu wengi wanapoteza sana muda kwa kuwaza ni kwa nini hawana walivyotamani kuwa navyo badala ya kutumia muda huo kufurahia walivyo navyo na kuvitumia kwa ajili ya kuvipata vile wavitamanivyo!!