Furahia msimu wa maparachichi

Duuu...ninavyopenda vitu vitamu naomba tu unipikie msosi mtamu unitumie hata kny simu.
 
Kuna siku tulikua na function ofisini basi rafiki yangu Mkenya huyo akawa anamuelekeza caterer namna atengeneze kachumbari then aweke parachichi achanganyie mwanzoni I was like what [emoji849][emoji849]

Baadae alivyoileta ooh my God niliifurahia saaana
 
Yaani parachichi na giligilani kwenye kachumbari sio mchezo.uweke na yai la kuchemsha sasa wewee
 
Kama nakuelewa ila gligli siijui nioneshe pich
 
Ongezea na yai la kuchemsha likate in slices upambe kwa juu
Waweza weka na nuts korosho au almonds

Salad yenye parachichi ni motoo
 
Yaani parachichi na giligilani kwenye kachumbari sio mchezo.uweke na yai la kuchemsha sasa wewee
Ukila tu mayai ya kuchemsha nakupa off, ukapumzike nyumbani, unaweza ukachafua hali ya hewa ofisini
 
Ungekuwa unapenda mb*o kama unavyopenda kula sisi wanaume wa JF tungefaidi sana![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Hicho kijambo chake nazani kitaua mpk mbu chumbani maana mara weka mayai mara korosho hapo ni zaidi ya Saturn lili la Russia unatengeneza hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…