Ndugu zangu naombeni kunifahamisha fursa inayopatikana mkoa wa kigoma kwa wenyeji wa mkoa huo hasa wilaya ya kibondo ,nataka nihamie kigoma .Natanguliza shukran.
Mkuu unahamia kibondo kikaz au??
Karibu sana kibondo
Biashara zipo nying sana ni wew tu na ubunifu wako wa kupiga kazi kuovercome wenyeji wa pale
Kibondo kila jumatano na jmoss kuna soko la wakulima kabwigwa, mazao ya kilimo yanakuwa mengi sana pale
Mitumba japo wavaaji sio weng sana, na ipo bei juu weng wanaendaga kununua kasulu, so ukiweka pale mitumba safi biashara inaweza kwenda kbondo hakuna wauza mitumba wenye quality nzur
Kilimo, weng kibondo na vijiji vya pemben ni wakulima, mahind, maharage, mpunga, n. K
Maduka ya jumla na rejareja ni machache sana kibondo unaweza kuchukua nafasi kwa ufanisi zaid
Gharama za maisha ni rahis sana, unaweza pata viwanja huku stand mpya inayojengwa twabagondozi, japo hakujachangamka sana, ila watapazoea ukianzisha biashara
Kbondo ukiwa na mtaj unaweza kupiga biashara mpaka ukawapiku wazawa wa pale nimeshuhudia sana