Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Sijui watu huwa tunachukuliaje/fafanuaje tukisikia neno biashara/ujasiliamali!mleta mada sina nia kukupinga but hapa inabidi ujue jambo moja.
Hizo nyumba za kupanga siyo wote wanaoshinda majumbani,pia hata wale wanaobaki nyumbani ni kina mama na watoto ambapo hawa kile kiporo kilicholala jana ndo wataamkia kama kitafunwa cha chai huku wakiitafuta saa sita wale chakula shibe.
Ingekuwa rahisi hivyo kila mama mtaani angefanya hii kazi,20K siyo ndogo hii biashala ina changamoto zake.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Hizo nyumba za kupanga siyo wote wanaoshinda majumbani,pia hata wale wanaobaki nyumbani ni kina mama na watoto ambapo hawa kile kiporo kilicholala jana ndo wataamkia kama kitafunwa cha chai huku wakiitafuta saa sita wale chakula shibe.
Ingekuwa rahisi hivyo kila mama mtaani angefanya hii kazi,20K siyo ndogo hii biashala ina changamoto zake.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk