BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Shukrani mkuu hilo la digital currency sikuwa nafahamu. Ila hawa jamaa hovyo sana yani pesa inajizaa mara 11.!!!Mkuu kweli zipo digital currency lakini watu kama wa huyu mleta mada ni utapeli kama wa DECI. Unawekeza pesa ndogo kwa muda mfupi kisha inatengeneza faida kubwa mno isiyowiana na kanuni za kibiashara. Hata akina Warren Buffet ni biashara zao za compound interest hazileti faida kubwa namna hii ndani ya muda mfupi. Na sasa wapo wengi hao hivyo vikampuni vinavyokuja na mbinu hii.
Zikiisha siku 50 unarudishiwa ulichoweka ama...kutafuta
member ni wewe tu mwenyewe kama unataka kujiongezea kipato ,lakini hilo sio muhimu sana kwao cha muhimu ni ile investment unayowekeza wewe.
[emoji106] [emoji106]sawa ndugu mimi nimeshaingia na nimeanza kuyaona matunda
Hautaki kutoka kimaisha shemeji
Tena wasitusumbue kbsa hapa ni full utapeliMkilizwa msikae kimya!!!
Bitcoin inaporomoka kwa speed...hiyo faida unayoingelea itapatikanaje kama currency unayoingolea imepata changamoto kubwaKuna jamaa mmoja toka humu humu JF alinifuata na kuniambia brother naona wachangiaji wengi wanaikosoa hii fursa
ukweli hata mimi ilikuwa ngumu kuamini lakini nimekuja kwako leo nimeona jinsi ulivyowekeza na unavyonufaika.Akasema unajua watu wengi wanakufa maskini kwa sababu ya kushindwa kuthubutu na ku take risk.Let assume mtu ambaye kila wikiend au kila siku anaenda kuweka heshima bar,au mtu ambaye kazi yake yeye ni kuhonga tuu, au wale wanaoshinda club hawana hata wikiend.Kwa nini wasijinyime angalau hata miezi miwili kufanya hayo mambo wakakusanya hela ya kuwekeza kwenye hii fursa incase kama wakiliwa kama wanavyoa amini hawataumia sana coz hela ilikuwa lazima itumike tu.Mimi nikakosa cha kumjibu ,nikasema kimoyo moyo jamaa amefikilia mbali sana.Ila ni ukweli usiofichika Wengi wetu tunaogopa sana ku take risk at the same time fedha ambazo tungeweza kuzifanyia biashara tunafanya kazi ya kuzifuja katika matumizi yasiyozalishia.
UMELIZWAJE MKUUBiashara y bitcoins ni wizi mtupu usiamini hawa jamaa kabla hujalizwa mm ni mhanga wa hii izsue
hahahaa, daah always ukiwa na negative mind uta oppose kila kitu..kumbuka hii kampuni haijaanzishwa nigeria au kenya...bali hizo ni sehemu ambazo kampuni imefungua charity program..Na ukifungua website ya kampuni wameweka tangazo kama kwenye nchi yako kuna mtu anataka kufungua charity program awasiliane nao, watakupa vigezo na masharti ya kukuwezesha.Ninaposkia neno Nigeria na Kenya nakumbuka utapeli uliobobea
Bitcoins hutumika kwenye biashara haramu kwa asilimia kubwa, huwa haijulikani muuzaji au mnunuaji ni nani. Hapa money laundering haikawiii kuingia.Watz weng tunapenda kukaa ofisin kukimbizana na daladala haya mambo ya kufanya uwekezaj bado hatujayazoea!
Ushaambiwa charityAhaaa, wao wanafanya biashara gani ambayo inawapa return kubwa mpaka wakupe wewe kiasi hicho. Wajinga ndio waliwao
Kwavile ulikuwa unasoma screen...ungeivunja tu mkuuNilivyofika kwenye neno Bitcoin kama ningekuwa nasoma karatasi ningeichana hapo hapo
Weka sanduku la postaApart from hizo means kwani kuna namna nyingine ya kuwasiliana?
Admin wa Bitcoin hataki mchezo ana remove watu kwa kasi ya ajabu