elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Hahhaha ukilalamika unatolewaAdmin wa Bitcoin hataki mchezo ana remove watu kwa kasi ya ajabu
Asante mleta mada,lakini kumbuka BITCOIN ni currency inayoweza kuwa traded na kampuni yoyote duniani.Kutokana na Currency ya Bitcoin kushika kasi duniani ,kampuni nyingi zimekuwa zikijitokeza kutoa huduma ya bitcoin..Hiyo unayozungumzia inaitwa Xbinary na sio Bitco international .Ni sawa sawa na kampuni mbili zifanye biashara ya kuuza mpesa ,halafu mojawapo ikawa ya kitapeli haimaanishi na ile nyingine ni tapeli pia.
Duuuh watu wamepigwa hela balaaa...kwa hali hii bado unanishawishi nijiunge..hapana aisee
wale wale wa siku zote...... fursa za Nigeria na Kenya??????
Tatizo wabongo tunakata vitu mteremko sana.
Ulivyotaja Nigeria na Kenya tu
Nimeanguka ndo naamka
Boss mm nnanjaa na pesa lkn kwa hyo fursa ya wakenya na Nigeria nyie endeleeni mnufaike bado nazipenda hela zangu mm ctaki pressure yakukitafutieNdugu zangu wa JF kwa muda mrefu nilikuwa nikitafuta fursa sahihi ya kunitoa kimaisha lakini bila mafanikio.Nimejaribu biashara kadhaa lakini changamoto ni nyingi kutokana na ukweli kwamba sina muda wa kuzisimamia na pia wakati mwingine changamoto toka kwa ma competitors wa biashara nnayofanya.Hivi karibuni nimefanikiwa kutambulishwa fursa ambayo inanipa financial freedom.Ninaposema financial freedom ninamaanisha ni financial freedom kweli kweli.Fursa hii hainihitaji niajiri mtu kuisimamia wala hainihitaji nitoe muda wangu mwingi katika kuifanya.Ni fursa ninayoweza kusema ni simple ,smart and clear.Fursa hii ni ngeni hapa nchini kwetu imesambaa sana katika nchi za ulaya na america,kwa Africa Nigeria na Kenya ndio nchi ambazo zimeichangamkia sana fursa hii.Tanzania watu wengi hawajaifahamu bado,ila naamini kwa yeyote ambaye atabahatika kuisikia hawezi kuiacha.
Fursa hii inahusika na uwekezaji.Kampuni ya kiingereza inayoitwa Bitco International ndio inayotoa fursa hii ya uwekezaji.Mwekezaji atakayewekeza katika kampuni ya Bitco International atapata 3% ya kiasi alichowekeza kama return ya investment kila siku kwa muda wa siku 50.Kampuni inakua kwa kasi siku hadi siku ,na kwa sasa imefikia hatua ya kufungua Charity program katika nchi za Nigeria na kenya.
kuna baadhi ya watu niliokutana nao wengi wao wamekuwa wakiifananisha na Deci,au Network Marketing..Lakini ni waambie tu ukweli hii ni zaidi ya Deci au network Marketing.Kumbuka investment investemnt hii inahusisha coin inayoitwa Bitcoin.COIN ambayo ni maarufu nchi za ulaya ,america na Asia.kwa wenzetu ulaya Bitcoin inatumika kwenye transaction kama currency za kawaida.so kampuni inapopokea coin ulizonunua inaenda kuzi trade then faida ipatikanayo inagawanywa.Pia kampuni ina uwekezaji wake mwingine mwingi tu ,mojawapo maarufu ni kampuni ya bahati nasibu .
uwekezaji huu unafaida kubwa sana coz wana option ya auti compounding,ambapo faida iliyopatikana na mtaji wako vinaweza kujumlishwa na kuinvestiwa tena na ile asilimia tatu ikakatwa kwenye jumla.Kima cha chini cha kujiunga ni Tsh. 30,000/-..kima cha juu hakina limit.
kwa mtu ambaye ataweka laki tano au 1m kwa muda wa miaka 2 ,sijui kama atafikiria kuajiriwa,hii itakuwa ndio biashara yake for life.Mimi ninaona matunda yake ndio maana na witness hii kitu.
Kwa yeyote anayetaka kujiunga au maelezo ya kina kuhusu hii fursa awasiliane nami kwa namba hii 0712 799747.
Please ,mawasiliano yawe either call, sms au whatsapp kwa sababu ya urahisi wa ku respond.Kwa mtu ambaye atataka kujibiwa hapa itabidi awe mvumilivu coz naweza chelewa kumjibu kwa sababu huwa siingii mara kwa mara
<br />Yaani tangazo nililipata kwenye group moja la kilimo kwenye fb yaani pata pesa bila kutoa jasho na cryptoion currency nilipo soma nika join ktk group la whatsapp nikawa nawasoma tu bila kujibu kitu admin wao wahilo group akawa kateka akili za watu kwa maneno ya kusifia na faida wanao pata na kila siku kujirecord audio picha za sreen kupiga faida anazo pata yaani kununua hio bitcoin unanunua kwa 650,000 unapewa bitcoin 0.03 <br /><br />sasa faida kwa kila siku ni 20,000 yani unit inasabu kisha ile unit za faida unatoa unapeleka ktk wallet munauziana nyinyi kwa nyinyi yani thamani munapandisha wenye munavyo uziana sasa admin alikua akihamasisha sana na faida wanazo pata na mimi tama ilinikamata nikamuuliza tule jamaa alie weka tangazo kwenye grop la ufugaji<br /><br /> nilimuuliza hio biashara gani inayo kulipa hivyo kwani hio bitcoin inafanya kazi gani? Akaniambia ni biashara ya mining nikamwambia mimi dini yangu inakata dhulma, kamari, na riba vp kuhusu hio biashara ipo miongoni mwa hizo akanihakikishia nibiashaea ya mining sio ktk hizo maana nilijaribu sana ku search dini inasemaje lkn wengi ilikua ni ?<br /><br /> Basi ikabidi nijiunge kwa huyo ambae nililoliona tangazo lake ni chama kimoja na admin na admin alikua akisisitiza kila alie hamasishwa na mtu ndio ajiunge kwake nikamwambia huyo jama sasa ni bei gani kupata btc 0.03<br /><br /> akaniambia kwa sasa imezidi kupanda toa Tsh 740,000 alinisifia sana kwa hio ni biashara sawa akanionesha jinsi yakufungua wallet paxfull sasa ikawa ni issue mpaka kuniwekea hio btc ilikua namkera kila siku nikaja kuipata baada ya siku 3 ktk wallet eti mtandao unasumbua <br /><br />haya kueka ktk mining ya cryptoin nilika karibu week ilikua mwakajana mwezi wa 12, nilimsumbua mpaka akanionesha jinsi ya kuhamisha ktk wallet na kupelek kwenye cryptoion mining nilipo weka tu ikaanza kusabu unit nikamwambia anioneshe jinsi ya kupata cash sasa maana inasiku moja tangu ipo mining <br /><br />akanionesha kupeleka ktk wallet na nikitaka nimuuzie yeye anahitaji sasa akanipa account yake ya wallet yake nikatuma akasema itakapo fika ndio atanilipa ikawa pending tu siku ya pili nikamtafuta member wahio group kua nimuuzie nae tukakubaliana hivyo hivyo nae ikawa pending jioni yake nikaona mzozo tu ktk group lahio whatsapp kua tangu 25 des mtandao wamefunga na inaonesha tumesha tapeliwa <br /><br />wale admin na wanzake waka wa kimya tu hawachangi tena kama walivyo kua wanahamasisha tukawa tuna jadili sie kwasie member nika mwambia huyo alie niunga wewe siumenipa 100% kua sio utapeli na hii nini? Na kwanini umeniunga naunajua kama matatizo imesha tokea akawa mjeuri na kusema ulitaka nifanyaje mbona na mimi nimewekeza maneno mengi hapo kila kukicha <br /><br />watu ndio wakaanza kutoboa siri kua hio nikamari na hao kina admin ndio wana dili na hao walio anzisha hio chama ya cryptoion tukawa tunasubiri muafaka sasa hao kina admin nawenzake wakasema hizo account zetu inatakiwa kuongeza pesa ya kununua 1btc dhamani yake sijui iliku dola elfmoja na ama account zetu zita blockiwa wengi tulijua huo niutapeli wa nigeria tu nahao wa tz wanashirikiana nao basi ilitushinda wengine wakakubali kuondoka ktk group wengine tulika tuone muafaka itakuaje maanake nimetoa 740,000 sikupata hatasenti ya faida wala nini <br /><br />na hela yangu imeingizwa kumbe walishaifunga hio web yao ya cryptoin watu kulalamika sana wakaleta hewani lkn imelokiwa huezi toa inasabu tu member wazoefu wa hio kazi wakanishauri kama imefunguliwa nyingine ni mpya inaitwa lightbitcoin hii mchezo unatakiwa kuwahi mapema ikika mwezi tu wanafunga na huu mchezo inatakiwa kuweka pesa ndogo tu ili wakifunga usipate hasara sababu hela uliotoa ni nyingi sana na imepotea jaribu lightbitcoin ili kamautapata ilipe maumivu yako hata kidogo haya nikatoa 40,000 nikajiunga nahio mpaka leo hii inasabu tu unit haitoi hela haitoi wamefunga na kuhusu cryptoin walitublock kabisa hata shilingi sikupata jumla <br />780,000 zimeenda na hewa nahilo group nikaondoka nikaona hapa ni chuma ulete ni kamari, dhulma, na utapeli tu hakuna kingine wanavyo pamba maneno utajua nibiashara lkn ingia ni unatapeliwa na kuondoka zako[/QUOTE][quote uid=177464 name="ONTARIO" post=20329092]Mkuu naomba unielete/utueleze japo kdg hao jamaa walikulaje pesa yako?! Hiyo account ilifungwaje?! Hiyo coin inaitwaje? Je hiyo coin uliinunua kupitia 'Coinbase' au ulinunua kupitia platform yao binafsi?!
JIHADHARANI WABONGO, MTALIWA..[/QUOTE]
Bitco-International.Com – SCAM Or Not
Bitco-international.com - SCAM or Not - Hyip Monitor
http://www.scamadviser.com/check-website/bitco-international.com
US man jailed over bitcoin fraud scheme - BBC News