ForeverMore
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 812
- 1,939
Tanzania tuna shida kubwa sana la ajira. Haswa kwa sisi vijana. Na kila mtu anakwambia jiajiri, na karibia wote wanaokwambia ujiajiri wanasema ujiajiri kwenye kilimo. Wakati huo huo bado kuna malalamiko makubwa sana kutoka kwa wakulima kwa kukosa masoko au bei za mazao kushuka.
Sasa unajiuliza hivi kweli niingie kwenye kilimo? Je fursa ya kujiajiri ipo kwenye kilimo tu? Mtazamo wangu ni kwamba kichwa chako ni mtaji wako, ujuzi wako ni mtaji wako, utundu wako ni mtaji wako na elimu yako ni mtaji wako. Tatizo ni kwamba unautumiaje huo mtaji wako kujipatia hela? Hapo ndo kwenye utata.
Kila mtu atasema lake na wala sipo hapa kupingana na yoyote na wala kukwambia usiingie kwenye kilimo ama kilimo hakilipi, hapana, kila mtu anazali lake na ana njia zake zinazoweza kumtoa kwenye ishu yoyote atayoamua kufanya.
Ila sasa, ningependa kuongelea fursa ya kujiajili kutumia mtaji ulionao (kichwa, ujuzi, elimu na hobi). Uwezekano mkubwa ni kuwa freelancer, yaani kujiajiri binafsi.
Kwa mfano, wewe upo vizuri kwenye kuchoma nyama, je ujuzi wako unawezaje kuutumia kujipatia ama kuongeza kipata? Ukiangalia kuna watu wengi wanafanya sherehe ndogo ndogo majumbani, hawa watu wanaweza kukuita kuwachomea nyama. Tatizo ni kuwa utapata wapi mtu anayetarajia kufanya sherehe akupe kazi? Jibu lipo mwishoni.
Wewe mwanachuo au muhitimu wa chuo, ukiangalia vizuri, elimu uliyo nayo unaweza wafanyia watu kazi mbali mbali. Tatizo ni kama la hapo juu, kupata wateja.
Kila mnaweza fanya kazi ya freelancing kama hauna ujuzi unaweza kujifunza jinsi ya kufanya chochote kama upigaji picha, graphic designing na kadhalika.
Sasa basi bongo, kuna hii site ya freelancing inaitwa ajiras.com ambayo unaruhusu upost kazi yoyote unayoweza kufanya ili watu wanao hitaji wakupate hapo.
Leo nipo hapa uniulize chcote kuhusiana na hiyo site na inawezaje kukusaidia. Uwanja wenu.
Sasa unajiuliza hivi kweli niingie kwenye kilimo? Je fursa ya kujiajiri ipo kwenye kilimo tu? Mtazamo wangu ni kwamba kichwa chako ni mtaji wako, ujuzi wako ni mtaji wako, utundu wako ni mtaji wako na elimu yako ni mtaji wako. Tatizo ni kwamba unautumiaje huo mtaji wako kujipatia hela? Hapo ndo kwenye utata.
Kila mtu atasema lake na wala sipo hapa kupingana na yoyote na wala kukwambia usiingie kwenye kilimo ama kilimo hakilipi, hapana, kila mtu anazali lake na ana njia zake zinazoweza kumtoa kwenye ishu yoyote atayoamua kufanya.
Ila sasa, ningependa kuongelea fursa ya kujiajili kutumia mtaji ulionao (kichwa, ujuzi, elimu na hobi). Uwezekano mkubwa ni kuwa freelancer, yaani kujiajiri binafsi.
Kwa mfano, wewe upo vizuri kwenye kuchoma nyama, je ujuzi wako unawezaje kuutumia kujipatia ama kuongeza kipata? Ukiangalia kuna watu wengi wanafanya sherehe ndogo ndogo majumbani, hawa watu wanaweza kukuita kuwachomea nyama. Tatizo ni kuwa utapata wapi mtu anayetarajia kufanya sherehe akupe kazi? Jibu lipo mwishoni.
Wewe mwanachuo au muhitimu wa chuo, ukiangalia vizuri, elimu uliyo nayo unaweza wafanyia watu kazi mbali mbali. Tatizo ni kama la hapo juu, kupata wateja.
Kila mnaweza fanya kazi ya freelancing kama hauna ujuzi unaweza kujifunza jinsi ya kufanya chochote kama upigaji picha, graphic designing na kadhalika.
Sasa basi bongo, kuna hii site ya freelancing inaitwa ajiras.com ambayo unaruhusu upost kazi yoyote unayoweza kufanya ili watu wanao hitaji wakupate hapo.
Leo nipo hapa uniulize chcote kuhusiana na hiyo site na inawezaje kukusaidia. Uwanja wenu.