PEPSI BIG
Member
- Sep 23, 2019
- 37
- 23
Habari zenu akina members wote humu nimeona nitumie kiiengereza siunajua kinapanda sana lazima ukichanganye kidogo
Tunaelekea uchaguzi mkuu na unajua wale watu wa mjengoni vile hua wanakua majimboni ni kuhakikisha hachomoki mtu na pesa ya ruzuku na zile za chama,[emoji23]
Mazuzu yetu lazima tuyashike masikio zamu yetu hii tunakaa vipi kizembe wanaaga wake zao kua wako kwenye kampeni ni kuhakikisha tu hawarudi nazo warudi na ushindi tu
Tena mpaka kampeni ziishe lazima hata baadhi ya raslimali ziuzwe tuzikule pamoja wakatafute tukiwapa ridhaa hio ya miaka mitano ijayo ni kula bata tu mpaka wale kuku wa nyumbani waugue kideri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2]
Tunaelekea uchaguzi mkuu na unajua wale watu wa mjengoni vile hua wanakua majimboni ni kuhakikisha hachomoki mtu na pesa ya ruzuku na zile za chama,[emoji23]
Mazuzu yetu lazima tuyashike masikio zamu yetu hii tunakaa vipi kizembe wanaaga wake zao kua wako kwenye kampeni ni kuhakikisha tu hawarudi nazo warudi na ushindi tu
Tena mpaka kampeni ziishe lazima hata baadhi ya raslimali ziuzwe tuzikule pamoja wakatafute tukiwapa ridhaa hio ya miaka mitano ijayo ni kula bata tu mpaka wale kuku wa nyumbani waugue kideri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2]