Fursa kwa wafanyabiashara na wateja wote

Hii inaitwa fursa fursani,.

Unakuta ukishatuma tu ya kuagiza mzigo...kila ukipga simu...namba unayopiga haipatikani Kwa Sasa tafadhali jaribu tena badae[emoji23]Jua tayar.
Kama unakurupuka tu hufanyi uchunguzi nakutuma hela ukiambiwa hivo jua akili yako bado changa. Mjini akili boss matapeli wapo na waaminifu wapo ni wewe jinsi gani unatumia akili yako.
 
Mnaoogopa kufanya nae kazi msiwe na wasiwasi
Dogo anapiga kazi kweli na ya halali kabisa


Again asante kwa zawadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…