Fursa kwa wafanyabiashara na wateja wote

Fursa kwa wafanyabiashara na wateja wote

Hii inaitwa fursa fursani,.

Unakuta ukishatuma tu ya kuagiza mzigo...kila ukipga simu...namba unayopiga haipatikani Kwa Sasa tafadhali jaribu tena badae[emoji23]Jua tayar.
Kama unakurupuka tu hufanyi uchunguzi nakutuma hela ukiambiwa hivo jua akili yako bado changa. Mjini akili boss matapeli wapo na waaminifu wapo ni wewe jinsi gani unatumia akili yako.
 
Keep going dear
Hii comment imenipa saa nzuri sana
Asante sana mdogo wangu Mungu akuongezee ulipopunguza
View attachment 2807984
IMG_20231108_165557.jpg
 
Mnaoogopa kufanya nae kazi msiwe na wasiwasi
Dogo anapiga kazi kweli na ya halali kabisa


Again asante kwa zawadi
 
Back
Top Bottom