Biashara ni kutatua changamoto za watu.
Watu waliopo nje ya Dar es Salaam hupata shida kufuata bidhaa Kariakoo Dsm. Imagine mtu anafunga safari toka Songea au Kigoma, Mwanza, etc. mpaka Dar es Salaam kufuata bidhaa ambazo zinaweza kusafirishwa mpaka mtu (mfanyabiashara) alipo bila kutumia gharama kubwa ya muda na pesa.
Kwa kuwa ninajua baadhi ya maduka ambayo huuza bidhaa kwa bei rahisi maarufu kama"Machimbo" , Nipo tayari kutoa huduma ya kukununulia bidhaa wewe mjasiliamali ambae unaishi mbali na Da es Salaam na kuzituma Mikoani kwako. Utalipia kiasi kwa huduma hii.
Bidhaa ambazo ninajua Machimbo yake ni kama:
*Saa(Watches)
Piga: +255 658 700 510
NB: Sio kila mtu anayeuza bidhaa / kutoa huduma mtandaoni ni mwizi, hiyo ni stereotype. Wezi wapo ndiyo, lakini sio kila mtu ni mwizi. Ndiyo maana mpaka leo Alibaba, eBay, Amazon, Aliexpress, bado wapo na wataendelea kuwepo.
Wake up!
Thanks!
Watu waliopo nje ya Dar es Salaam hupata shida kufuata bidhaa Kariakoo Dsm. Imagine mtu anafunga safari toka Songea au Kigoma, Mwanza, etc. mpaka Dar es Salaam kufuata bidhaa ambazo zinaweza kusafirishwa mpaka mtu (mfanyabiashara) alipo bila kutumia gharama kubwa ya muda na pesa.
Kwa kuwa ninajua baadhi ya maduka ambayo huuza bidhaa kwa bei rahisi maarufu kama"Machimbo" , Nipo tayari kutoa huduma ya kukununulia bidhaa wewe mjasiliamali ambae unaishi mbali na Da es Salaam na kuzituma Mikoani kwako. Utalipia kiasi kwa huduma hii.
Bidhaa ambazo ninajua Machimbo yake ni kama:
*Saa(Watches)
- Handbags
- Wallets & men's belts (waleti na mikanda ya kiume
- Kitchen ware
- women's shoes
Piga: +255 658 700 510
NB: Sio kila mtu anayeuza bidhaa / kutoa huduma mtandaoni ni mwizi, hiyo ni stereotype. Wezi wapo ndiyo, lakini sio kila mtu ni mwizi. Ndiyo maana mpaka leo Alibaba, eBay, Amazon, Aliexpress, bado wapo na wataendelea kuwepo.
Wake up!
Thanks!