Yeye mwenyewe anatumia tecno KI7Acha uongo mkuu, nyie ni wasumbufu sana na wajanja wajanja. Alafu maafisa mikopo wenu njaa kali sana, wanaomba hela mpaka basi. Mnahitaji stategies nzuri kupenya sekta ya mikopo kwa watumishi.
Halafu nyinyi ndio likitokea janga, mfano mwajiriwa kafariki, kufukuzwa kazi, ndio mnataka mlipwe kwenye mirathi ya marehemu,.... Riba zenu hamuweki wazi km CRDB, BOA, NMB mm si mshauri kabisa mteja kukopa kwenu nina experience kubwaHII NI KWA WATUMISHI WA SERIKALINI PEKEE
habari Banc ABC (African Banking Corporation) tunakukaribisha uweze kujipatia mkopo
Vigezo vya kupata mkopo wa fedha kwa watumishi wa Umma.
1. Uwe na copy ya kitambulisho cha kazi
2. Uwe na copy ya kitambulisho c'ha taifa.
3. Salary slip moja ya mwezi uliopita.
4. Bank statement (miezi mitatu)
5. Passport size moja tu.
Kima cha chini cha mkopo ni kuanzia Tsh. 500,000 na kima cha mwisho cha kukopa ni 40,000,000.
Muda wa marejesho ni kuanzia miezi 6 mpaka miezi 96 (miaka nane). Utachagua mwenyewe unahitaji mkopo wa muda gani.
Huduma ni popote Tanzania.
pia kwa wale wenye mikopo sehemu nyingine mfano taasisi zingine tunanunua au HESLB PIAinawahusu pia ukiwa na uhitaji tunauwezo wa kununua deni ulilokopa...
FAIDA ZA ABC
1.Hatuna loan process fee
2. Hatuna makato ya bima
3. Mteja anapata mkopo wake 24 mpk 48 hrs
4. Mchakato wote tunakufanyia huku ukiwa unaendelea na shughuli zako freely
5.Sio lazima Uwe na account banc ABC, tunakutumia hela kwenye account yako ulionayo, lkn pia tunakukaribisha sana.
Kwa,
mawasiliano zaidi piga 0656946198 Mahali popote ulipo unapata. Karibu sana normal text, call or wasap.
Thanks
Banc ABC
EASY LOAN
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wakati EQUITY, BOA NA CRD wana riba ya 13% mpo kwenye riba za kizamani16% iliopo kwa Sasa, Utofauti wetu hatuna pia gharama zingine zozote zinazohusiana na mteja anaipata hela yake CASH.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ongeza hapo na MabotoWe mtumishi wa umma kaa chonjo na hii mikopo...hasa kutoka taasisi hizi.
Platinum
ABC
Bayport
Usije kusema hukuonywa.
#MaendeleoHayanaChama
Hapana kila kitu Kipo wazi nimeweka humu, lkn mtu akifa hatuendelei na Deni ila tunampatia ndugu yake ya pole kwasababu ni customer wetu na ikiwezekana tunashiriki kbsHalafu nyinyi ndio likitokea janga, mfano mwajiriwa kafariki, kufukuzwa kazi, ndio mnataka mlipwe kwenye mirathi ya marehemu,.... Riba zenu hamuweki wazi km CRDB, BOA, NMB mm si mshauri kabisa mteja kukopa kwenu nina experience kubwa
Hatuna makato mengineyo yanayotokana na mkopo so mtu anaupata km ulivyoWakati EQUITY, BOA NA CRD wana riba ya 13% mpo kwenye riba za kizamani
Mshushe riba thats allHatuna makato mengineyo yanayotokana na mkopo so mtu anaupata km ulivyo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wewe ndio fursa yenyeweUkiitwa kwenye fursa..
We are there welcome for better service and every where availableWewe ndio fursa yenyewe
Ujue wewe ndo FursaUkiitwa kwenye fursa..
Karibu Sana ndugu kwa hudumaBank ipi yenye Riba nzuri kwa hapa Bongo jamani kwa sasa?
Ukiingia unafungiwa humohumo!
Mtu akitaka ku clear loan ABC ni mtihani!
Mnatawi Njombe.....nisaha kuwadza
Tupo mkuu karibu Sana nduguMnatawi Njombe.....nisaha kuwadza
Siku chache tu 15 days clearMtu akitaka ku clear loan ABC ni mtihani!
🤧🤧 na platinum imo daah imekula kwangu...msaadaWe mtumishi wa umma kaa chonjo na hii mikopo...hasa kutoka taasisi hizi.
Platinum
ABC
Bayport
Usije kusema hukuonywa.
#MaendeleoHayanaChama