Fursa kwa watumishi wa Umma

Fursa kwa watumishi wa Umma

Acha uongo mkuu, nyie ni wasumbufu sana na wajanja wajanja. Alafu maafisa mikopo wenu njaa kali sana, wanaomba hela mpaka basi. Mnahitaji stategies nzuri kupenya sekta ya mikopo kwa watumishi.
Yeye mwenyewe anatumia tecno KI7
 
HII NI KWA WATUMISHI WA SERIKALINI PEKEE

habari Banc ABC (African Banking Corporation) tunakukaribisha uweze kujipatia mkopo

Vigezo vya kupata mkopo wa fedha kwa watumishi wa Umma.
1. Uwe na copy ya kitambulisho cha kazi
2. Uwe na copy ya kitambulisho c'ha taifa.
3. Salary slip moja ya mwezi uliopita.
4. Bank statement (miezi mitatu)
5. Passport size moja tu.

Kima cha chini cha mkopo ni kuanzia Tsh. 500,000 na kima cha mwisho cha kukopa ni 40,000,000.

Muda wa marejesho ni kuanzia miezi 6 mpaka miezi 96 (miaka nane). Utachagua mwenyewe unahitaji mkopo wa muda gani.
Huduma ni popote Tanzania.

pia kwa wale wenye mikopo sehemu nyingine mfano taasisi zingine tunanunua au HESLB PIAinawahusu pia ukiwa na uhitaji tunauwezo wa kununua deni ulilokopa...

FAIDA ZA ABC
1.Hatuna loan process fee
2. Hatuna makato ya bima
3. Mteja anapata mkopo wake 24 mpk 48 hrs
4. Mchakato wote tunakufanyia huku ukiwa unaendelea na shughuli zako freely
5.Sio lazima Uwe na account banc ABC, tunakutumia hela kwenye account yako ulionayo, lkn pia tunakukaribisha sana.


Kwa,
mawasiliano zaidi piga 0656946198 Mahali popote ulipo unapata. Karibu sana normal text, call or wasap.
Thanks
Banc ABC
EASY LOAN

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Halafu nyinyi ndio likitokea janga, mfano mwajiriwa kafariki, kufukuzwa kazi, ndio mnataka mlipwe kwenye mirathi ya marehemu,.... Riba zenu hamuweki wazi km CRDB, BOA, NMB mm si mshauri kabisa mteja kukopa kwenu nina experience kubwa
 
Halafu nyinyi ndio likitokea janga, mfano mwajiriwa kafariki, kufukuzwa kazi, ndio mnataka mlipwe kwenye mirathi ya marehemu,.... Riba zenu hamuweki wazi km CRDB, BOA, NMB mm si mshauri kabisa mteja kukopa kwenu nina experience kubwa
Hapana kila kitu Kipo wazi nimeweka humu, lkn mtu akifa hatuendelei na Deni ila tunampatia ndugu yake ya pole kwasababu ni customer wetu na ikiwezekana tunashiriki kbs

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Bank ipi yenye Riba nzuri kwa hapa Bongo jamani kwa sasa?
 
Hii ni kweli kabisa!!! Wanakufanya kitega uchumi chao cha miaka mingi!!!!
 
We mtumishi wa umma kaa chonjo na hii mikopo...hasa kutoka taasisi hizi.

Platinum
ABC
Bayport

Usije kusema hukuonywa.

#MaendeleoHayanaChama
🤧🤧 na platinum imo daah imekula kwangu...msaada
 
Back
Top Bottom