Fursa kwa watumishi wa Umma

Karibuni ndugu zanguni, tuwasiliane muda wowote kwaajiri ya mchakato.
 
Watumishi ni nani Atalogeka na hawa WAHUNI ,WEZI, hawa ni Balaa la RIBA ni zaidi BALAA hivi na hawa ni Bank au nini nyie ni Takataka la kuchakaza watumishi wa umma Kwa Riba za juu na masharti magumu ya Riba ,,, Jamani watumishi wapuuzeni hawa Riba zao ni Balaaa,,,utajuta na kufa Kwa mawazo ,,,Riba kama hizi hivi serikali iko wapi Jamani funga vibenk kama hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…