icoderz
Senior Member
- Mar 9, 2014
- 135
- 82
Wadu kwema? Naomba muongozo wenu, je ni business gani ya kwenye ICT inalipa sana kwa sasa bongo ambazo unaweza kupata tenda au kazi kwenye makampuni makubwa au hata serikalini? Nilisomea mambo ya software development sasa nataka nianze kupiga issue zangu mjini.
Shukrani
Shukrani