Kwa kukusaidia soko la Macadamia ni kubwa sana. Kwa Tanzania sasa hivi madacamia bei Ni mara nne ya bei ya korosho. Kilo moja ya Macadamia ni Tsh 10,000 magamba na iliyomenywa ni Tsh 45,000.
Hizi ni bei za soko la Ndani. Ukivusha nje ya nchi hapo ni kitu tofauti.
View attachment 1633527