issawema
JF-Expert Member
- May 30, 2013
- 776
- 643
Wakuu habarini
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa nchini nanaenda kumaliza chuo sasa lakini nmepata wazo la biashara pale chuoni, nahisi sijachelewa sana
Wazo:
Nmeamua kuanzisha biashara ya fast food pale chuoni na simple drinks kama juicy ya miwa
Fast food zenyewe ni kama piza, bugger,kuku,nk
Msaada nnaohitaji sasa;
Mimi cna utaalamu wowote wa kupika vyakula hivyo, je kipi bora ni mpaka nkajifunze kwanza au nitafute watu wa kupika?
Na je mashine ya miwa inauzwaje na bipi upatikanaji wa miwa dodoma upoje?
Ntashukuru sana kwa wazo lolote mtakalonipa ili niweze kufanikisha ndoto yangu
Asanten na karibuni
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa nchini nanaenda kumaliza chuo sasa lakini nmepata wazo la biashara pale chuoni, nahisi sijachelewa sana
Wazo:
Nmeamua kuanzisha biashara ya fast food pale chuoni na simple drinks kama juicy ya miwa
Fast food zenyewe ni kama piza, bugger,kuku,nk
Msaada nnaohitaji sasa;
Mimi cna utaalamu wowote wa kupika vyakula hivyo, je kipi bora ni mpaka nkajifunze kwanza au nitafute watu wa kupika?
Na je mashine ya miwa inauzwaje na bipi upatikanaji wa miwa dodoma upoje?
Ntashukuru sana kwa wazo lolote mtakalonipa ili niweze kufanikisha ndoto yangu
Asanten na karibuni