FURSA: Natafuta watu tufungue kijiwe

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Nimebakhtisha compressor,machine za kuchomelea (Gas/Umeme) na za rangi. Pia spanner za ku unga unga nimeokoteza.Pia kuna mbao za kutengeneza bench.

Kijiwe tufungue pande zipi?

Karibuni wadahu.
 
We upo wapi,nikikwambia tufungue jehanam utakubali?
 
Nimebakhtisha compressor,machine za kuchomelea (Gas/Umeme) na za rangi.
Pia spanner za ku unga unga nimeokoteza.Pia kuna mbao za kutengeneza bench.
Kijiwe tufungue pande zipi?
Karibuni wadahu.

Kwanza Hongera kwa hiyo hatua, hata kama utakosa milioni basi laki haitakupiga chenga kabisa... Mafanikio mema na upate watu waaminifu.
 
mkuu tuanzie hapo ulitaka kufungua workshop yanini, idea gani unayo?
 
Kwanza Hongera kwa hiyo hatua, hata kama utakosa milioni basi laki haitakupiga chenga kabisa... Mafanikio mema na upate watu waaminifu.
Shukran kwa dua njema
malaika wa kheri wakufuatilie
:hand:
 
mkuu tuanzie hapo ulitaka kufungua workshop yanini, idea gani unayo?
Mkuu Idea ni kupiga spanner na usanii wa ufundi mixer mixer...na mpaka sasa nishafulia mkuu.
 
Nimebakhtisha compressor,machine za kuchomelea (Gas/Umeme) na za rangi. Pia spanner za ku unga unga nimeokoteza.Pia kuna mbao za kutengeneza bench.

Kijiwe tufungue pande zipi?

Karibuni wadahu.

Hapo fungua kijiwe cha kuziba pancha na kuchomelea vyuma kama una ujuzi kama hauna wenye ujuzi wanaweza kushirikiana na wewe
 
hapo fungua kijiwe cha kuziba pancha na kuchomelea vyuma kama una ujuzi kama hauna wenye ujuzi wanaweza kushirikiana na wewe
mkuu sina ujuzi wowote ila nina hamu sana na maufundiufundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…