uongo wakomoro hawaoi wake wengi tatizo zinaa ni nyingiNi
Ni hatari hebu tudadavulie hapo? Nna jamaa yangu kaenda Comoro kuuza dawa za nguvu za kiume anasema kuna wateja sana coz wacomoro wanaoa wanawake wengi..Toka aondoke 2014 sijasikia tena kutoka kwake labda na yeye ametekwa na mwanamke wa kingazija
Umeona kwa jicho la mbali sana mkuu.Fursa nzuri sana kwa wafanya biashara.....Ingekua na muendeleza katika nchi zenye fursa zaidi nakubwa kuliko comoro yenye idadi ndogo ya watu uchumi mdogo tuekeeni bussiness trip nchi kama Sweden UAE nk
Kwa hyo mkuu unamaanisha wanawake wa Ngazija ni watundu Kama wale wa Tanga?tahadhari kwa mwenye kwenda kufanya biashara comores
usije onja penzi la kingazija utapoteza mali yote hurudi na kitu tushawachangia watu nauli ya kurudi
Hii timing imenifurahisha sana.na ukifika mayote ukifatana na albino mnapewa uraia wa france ujue tu vya kujieleza
Hivi Mkuu Moroni kuna Ambiance Club Corner Bar yao kule? Yaan sehemu naweza kiburudishaji nikaburudika nae.tahadhari kwa mwenye kwenda kufanya biashara comores
usije onja penzi la kingazija utapoteza mali yote hurudi na kitu tushawachangia watu nauli ya kurudi
Hivi Mkuu Moroni kuna Ambiance Club Corner Bar yao kule? Yaan sehemu naweza kiburudishaji nikaburudika nae.
Siku moja nilizunguka mji mzima nikitafuta "Za kununua" nikakosa kabisa.
na kwa kuongezea tu biashara ya comores ina msimu kuanzia jun july na august kwa sababu ni holiday ya wale wanaokaa ulaya huja comores kufanya maharusi yao ya mila zao hapo panakua na biashara nzuri sana hususan kwa biashara ya chakula kama vinywaji biscuit sukari ungangano basmati rice tomato paste , nazi ya unga, kanga za sare, mafuta ya kupikia , majani ya chai, hiliki, mdalasini, uzile , nk
Hahahaha wabongoHivi Mkuu Moroni kuna Ambiance Club Corner Bar yao kule? Yaan sehemu naweza kiburudishaji nikaburudika nae.
Siku moja nilizunguka mji mzima nikitafuta "Za kununua" nikakosa kabisa.
Nakufuta mkuu, inbox me thy number1. sehemu ya kufikia
2. biashara utakayo kuja nayo
3. usafirishaji utakao tumia kuja na mzigo
4. hela ya kutolea mzigo bandarini
5. sehemu ya kuuweka mzigo baada ya kuutoa bandarini
kuna changamoto nyingi saana na ukizingatia unaetoka tz ukija comores inakubidi uje na euro maana pesa ya tz haitumiki comores na tsh to euro ni hela nyingi 1euro minimum ni 2500tsh wateja wa comores wana shida zao na hata kupata mteja akanunua mzigo kwa jumla ni shida inategemea na biashara utakayo kuja nayo kiufupi kabla ya kuanza biashara nchini comoro kwanza uje kukodi room ambayo sawa na 50euro laki n 25 kwa mwezi pili utafute oda kwa wauzaji wa jumla au hata wareja reja ukifika na mzigo unaweza ukapata mkopo kutoka kwa wateja wako hadi utakapo toa mzigo ama watanzania waliopô wakusaidie kukupa hela ya kwenda kutoa mzigo na hiyo haina garantii maana hakuna uaminifu watu wamesha ibiana sana mii binafsi yangu nilimpa mtu euro 1500 aende kutoa magodoro kaenda kutoa baada ya kuuza hata hakuniaga kachukua ndege kaondoka kaja zake tz
na wa tz waliopo huko baadhi yao hujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya bangi na unga huzuga kwa kuuza vitunguu ili tu wasijulikane binafsi yangu nisha mpokea mgeni kwa kumsaidia akalala kwangu nikamuuliza umekuja na biashara gani akanambia nimekuja na choclate madwa ya kulevya hayo cjui yanaitwaje nilimuhurumia nikampa hifadhi lakini nikampa wiki moja tu aondoke nilichukua riski kubwa ila nilimuhurumia kwasababu tu ni mtanzania kuna mambo mengi visiwani comores na biashara ni nzuri maana hela yao ni kubwa kuliko shillingi ya tz ila yataka ukakamavu wa hali ya juu kama una suali lolote nitafute nitakupa ushauri mii nilikua na duka la jumla ila mzigo tulikua tunatoa dubai direct