hahaaa..mkuu umenikimbusha jamaa yangu wakati anaanza kutafta maisha alijifanya mganga,,ye mzaramo,,sasa alienda kujifanya mganga dodoma,,kapiga kazi,,watu wanajiona wanapona,,dawa za uongo nakweli,,anaongea kizaramo harakaharaka watu wakajua kweli huyu mganga,sasa siku moja dada mwenye majini akaenda,,weee alipigwa mabanzi afu yule dada ndo yupo upande wa mlangoni,,uko nje watu wanajua mganga ndo anatoa majini,kumbe mwenzao anakula kibano,,afu akawa anabadilika macho ya kutisha ..wee ilibidi apige ukunga ndo watu kuja kumshka yule dada,,jamaa alivochomoka moja kwa moja hadi stendi akarud dar kusoma veta asa ivi fundi mzuri tu
[emoji16][emoji16][emoji16]....sasa siyo kazi rahisi kama unavodhani[emoji16][emoji16]