Km tanzania ingekuwa binadam singida itakuwa sijuj kiungo gani??!!!maana pamekaa kichovu sanaSingida labda uuze chakula tu, mkoa wa ajabu ule
labda kisiginoKm tanzania ingekuwa binadam singida itakuwa sijuj kiungo gani??!!!maana pamekaa kichovu sana
[emoji2] [emoji2] [emoji2] asee ..labda kisigino
ANGELA?Karibu singida ukifanya biashara ya alzeti itapendeza zaid kuanzia mwezi wa 5 alafu mjini unafungua duka la nguo za kike na mikoba inalipa sana kwa maeneo ya singida
Njoo pm bhn [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ANGELA?
Mkuu biashara ya alizeti huku ukinunua mapema na kuja kuuza baada ya mwezi wa 12 utapiga pesa ila inahitaji mtaji mrefu kidogo ili upate faida nzuri. Mimi ushauri wangu njoo ufanye ufugaji wa kuku utapiga pesa maana soko huku ni la uhakika na hali ya hewa ni rafiki kwa kuku pia hakuna magonjwa ya ajabu ajabu. Karibu sana singida huku bata zipo Rode na Skyway so ukija na tabia yako ya kula bata ukafikia regency hotel haichukui wiki unakata ringi, ukija ww kama mtu wa gambe kula tu eagle za buku buku. Biashara ya nguo inalipa sana ila kupata frame sehem yenye biashara utatumia kama million mbl kasoro kulipia frame miez sita hapo bado hujaiboresha na kununua mzgo hivyo haitosh kwa hyo biashara.
Welcome back waukhaya
Mkuu nakushauri njoo Bongo, panga chumba, nunua bodaboda piga kazi mwenyewe hela utaiona.Wakuu hii ni kwa ushauri tu kwa mtu kama mimi na kwa niaba ya ma Diaspora wengine ambao kwa hiari yetu tumeamua kurudi nyumbani kwa sababu ka umri kameenda kimtindo halafu tunazubaa tu kwenye nchi za watu!mfano kwa singida biashara gani ambayo inaweza kuwa inamzunguko mzuri?vp pia kuhusu biashara ya maduka ya nguo? Mtaji ni 5mil pesa zingine tumekula ujana huku huku
Ukitoka bongo ukiwa na fantasy maisha mbele ni bwerere mshiko nje nje kama biko utaishia pabaya.Hata Le Mbebezi alikuja na pesa ya kununulia Laptop tu na kuanzisha blog, so hiyo 5m kwako bado ni nyingi sana. Lakini watu wa nje mna matatizo gani we ni mtu wa tatu (wawili ni ndugu zangu) unarudi na pesa ambayo hapa bongo unaweza ipata ndani ya miezi michache tu.
Sijawahi kulima na sitakaa nilime mkuu!Kwa mtu aliekaa ughaibuni miaka 12 ni aibu kubwa kurudi na 5m. Unajifunika shuka qwakati kumekucha. pole sana.
anyway hiyo 5m kalime viazi vitam singida
Mkoa wa ajabu kwanini?Singida labda uuze chakula tu, mkoa wa ajabu ule
Nimeshangaa diaspora anajiita muuza simu used, sijui alikua anaziuzia huko mbele while wazungu wanacheza na brand new.Ukitoka bongo ukiwa na fantasy maisha mbele ni bwerere mshiko nje nje kama biko utaishia pabaya.
Toka bongo na notion ya kubadilisha mazingira ya utafutaji au na malengo ya kuishi nchi fulani..
Ila huyu jamaa naona mzinguaji ila atanisahihisha. amekaa South 10 years bila kutoka then uzi wa nyuma yake anakuambia anauza simu used yupo Msumbiji????
Labda ni jina tu...ila thread zake zinajikanganya.Nimeshangaa diaspora anajiita muuza simu used, sijui alikua anaziuzia huko mbele while wazungu wanacheza na brand new.
Totos ndio zilizotuponza mkuuHata Le Mbebezi alikuja na pesa ya kununulia Laptop tu na kuanzisha blog, so hiyo 5m kwako bado ni nyingi sana. Lakini watu wa nje mna matatizo gani we ni mtu wa tatu (wawili ni ndugu zangu) unarudi na pesa ambayo hapa bongo unaweza ipata ndani ya miezi michache tu.
Shukrani mkuuMkuu nakushauri njoo Bongo, panga chumba, nunua bodaboda piga kazi mwenyewe hela utaiona.
Nilipata viza fresh lakini ilikuwa ya ujanja ujanja lakini nilivyokuja airport tukawekwa pembeni mm pamoja na raia wawili kutoka Bangladesh tukakaguliwa nadhani walihisi labda nimebeba madawa ya kulevya baada ya hapo nikaanza kuhojiwa sikuwa na sababu zilizowaridhisha kukaa JapanLabda ni jina tu...ila thread zake zinajikanganya.
Mtoa mada kwanini ulirudishwa Japan mkuu wangu tuambie tujielimishe.