mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 954
- 1,469
Habari zenu wana jukwaa,
Ndo kama Leo tulivotangaziwa na tulivoona Leo ulikuwa ni uzinduzi Wa mradi mkubwa Wa Bomba la mafuta toka Hoima Uganda mpaka Tanga
Mimi kama mdau Wa sekta ya ujenzi ninatoa wito kwa wadau wote katika sekta hii wakiwemo wakandarasi, wahandisi, mafundi mama ntilie n.k tuweze kujadili kuona ni jinsi gani na sisi tutaweza pata nafasi za kuweza kushiriki katika mradi huu.
Naombeni hapa watu tupeane moja mbili tatu kuhusiana na jinsi gani twaweza kushiriki.Hii itatusaidia kujua ni wapi hasa twaweza kuanzia ili kuweza pata fursa kama mheshimiwa rahisi alivoshauri kwamba masubcontractor watawanywe route mzima ili kuweza kumaliza mradi kwa wakati na kwa haraka.
Ikibidi kwa wale waliokuwa tayari na wenye nia ya kushiriki katika mradi huu tuwe na group la whatsaap ili tuweze peana information zikiwemo za toka wizarani, wakandarasi wakuu, bodi ya wakandarasi , bodi ya wahandisi na pia taarifa kutoka site moja kwa moja.
Kupitia humu najua kuna watu wengi wenye uelewa katika huu mradi hivo ni rahisi tutaweza peana updates za kila kitu.
Nakaribisha maoni ya wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo kama Leo tulivotangaziwa na tulivoona Leo ulikuwa ni uzinduzi Wa mradi mkubwa Wa Bomba la mafuta toka Hoima Uganda mpaka Tanga
Mimi kama mdau Wa sekta ya ujenzi ninatoa wito kwa wadau wote katika sekta hii wakiwemo wakandarasi, wahandisi, mafundi mama ntilie n.k tuweze kujadili kuona ni jinsi gani na sisi tutaweza pata nafasi za kuweza kushiriki katika mradi huu.
Naombeni hapa watu tupeane moja mbili tatu kuhusiana na jinsi gani twaweza kushiriki.Hii itatusaidia kujua ni wapi hasa twaweza kuanzia ili kuweza pata fursa kama mheshimiwa rahisi alivoshauri kwamba masubcontractor watawanywe route mzima ili kuweza kumaliza mradi kwa wakati na kwa haraka.
Ikibidi kwa wale waliokuwa tayari na wenye nia ya kushiriki katika mradi huu tuwe na group la whatsaap ili tuweze peana information zikiwemo za toka wizarani, wakandarasi wakuu, bodi ya wakandarasi , bodi ya wahandisi na pia taarifa kutoka site moja kwa moja.
Kupitia humu najua kuna watu wengi wenye uelewa katika huu mradi hivo ni rahisi tutaweza peana updates za kila kitu.
Nakaribisha maoni ya wadau
Sent using Jamii Forums mobile app