Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Je wewe una fedha na hauna wazo la biashara, ila unatamani kufanya biashara?
Basi, tega sikio lako la thamani.
Halmashauri ya jiji la Mwanza inaenda kuondoa na kusitisha huduma ya vibasi vidogo vya kubeba abiria maarufu kwa jina la Hiace au vipanya.
Hii ni fursa yako sasa, kuingia kwenye biashara ya usafirishaji ukiwa na basi kubwa aina ya Coaster.
Cha kufanya, ni kitu kimoja. Nunua coaster used, lililo kwenye hali nzuri na uende ukalisajili kwenye njia/ route uitakayo.
Personally, mimi Bujibuji, nauza za gari yangu Toyota Coaster mayai, ya mwaka 1998, namba DER, magurudumu yote mapya, Engine 15B, inahudumu njia ya Makumbusho Mbezi 2.
Karibu ukague gari, njoo na fundi wako.
Tuwasiliane kwa namba 0767/0739-454 455
Basi, tega sikio lako la thamani.
Halmashauri ya jiji la Mwanza inaenda kuondoa na kusitisha huduma ya vibasi vidogo vya kubeba abiria maarufu kwa jina la Hiace au vipanya.
Hii ni fursa yako sasa, kuingia kwenye biashara ya usafirishaji ukiwa na basi kubwa aina ya Coaster.
Cha kufanya, ni kitu kimoja. Nunua coaster used, lililo kwenye hali nzuri na uende ukalisajili kwenye njia/ route uitakayo.
Personally, mimi Bujibuji, nauza za gari yangu Toyota Coaster mayai, ya mwaka 1998, namba DER, magurudumu yote mapya, Engine 15B, inahudumu njia ya Makumbusho Mbezi 2.
Karibu ukague gari, njoo na fundi wako.
Tuwasiliane kwa namba 0767/0739-454 455