Fursa ya Dhahabu: Mhitimu wa uhasibu na teknolojia anatafuta kazi, HARAKA!

Fursa ya Dhahabu: Mhitimu wa uhasibu na teknolojia anatafuta kazi, HARAKA!

Nimefanya kadhaa, japo sikupata kile nilichotegemea . Sababu hazikuwa sahihi. Sababu zishafungwa sasa. Baada ya hapo Sina hamu Tena ya kufanya huko. Ila nikipata nzuri na uhakika naweza

Nimefanya kadhaa, japo sikupata kile nilichotegemea . Sababu hazikuwa sahihi. Sababu zishafungwa sasa. Baada ya hapo Sina hamu Tena ya kufanya huko. Ila nikipata nzuri na uhakika naweza ifanya.

Nimekuelewa Sana mkuu

Ila ukitaka kukaa DSM vizuri kuwa na network ya watu then kuwa mwaminifu Sana .
 
Nimekuelewa Sana mkuu

Ila ukitaka kukaa DSM vizuri kuwa na network ya watu then kuwa mwaminifu Sana .
Ahsante kwa ushauri kiongozi. Nimekuelewa .
Kama upo na nafasi au connection ya watu sahihi wenye kuweza nisaidia naomba nisaidie. Nitashukuru sana.
 
Nimekuelewa Sana mkuu

Ila ukitaka kukaa DSM vizuri kuwa na network ya watu then kuwa mwaminifu Sana .
Ahsante kwa ushauri kiongozi. Nimekuelewa .
Kama upo na nafasi au connection ya watu sahihi wenye kuweza nisaidia naomba nisaidie. Nitashukuru sana
Ni-masave namba yako opportunity ikitokea ntakujuza kaka
Ahsante sana , nashukuru kwa ushirikiano wako.
 
Back
Top Bottom