Fursa ya Kilimo cha Korosho Manispaa ya Lindi

Changamoto gani kwa ujimla zilizopo katika zao hili? Hasa gharama za kuhudumia heka moja kwa kipindi cha mwaka mzima?
 
Hbr me naomba msaada Wa no yako
 
Wakuu mi nipo dar nahitaji Miche 100 unaweza kuipata vipi ?

0755404226
 
Karibuni Lindi wakuu,.
duh mimi nipo nyangao huku,kuna kazi maalumu naifanya hapa hospital,weekend huwa nakuja sana hapo mjini kupata upepo wa nahari,vipi weekend hii nikutafute mumu?
Santorini ndio kiwanja changu hapo..
 
duh mimi nipo nyangao huku,kuna kazi maalumu naifanya hapa hospital,weekend huwa nakuja sana hapo mjini kupata upepo wa nahari,vipi weekend hii nikutafute mumu?
Santorini ndio kiwanja changu hapo..
Oh,.me napendela kuwa oceanic beach weekend nyingi...karibu sana au mitema beach pia.
 
Oh,.me napendela kuwa oceanic beach weekend nyingi...karibu sana au mitema beach pia.
shemeji sio mkali lkn?
maana sikawii kujifanya naleta umjini wangu wa kukufuata hapo kota nikaishia kuvunjiwa vioo vya Brevis yangu..
si hizo nyumba karibia na kanisa la RC?
 
shemeji sio mkali lkn?
maana sikawii kujifanya naleta umjini wangu wa kukufuata hapo kota nikaishia kuvunjiwa vioo vya Brevis yangu..
si hizo nyumba karibia na kanisa la RC?
Hahahaa njoo kwa heshma na taadhima...kule ni national housing labda kama unapafahamu mitufuni bar pia
 
Hahahaa njoo kwa heshma na taadhima...kule ni national housing labda kama unapafahamu mitufuni bar pia
sio mwenyeji kiviile ila najua utamtoroka,nitakupa codes then tukutane,tukikubaliana nataka ukanitembeze mbali zaidi ukiwa kama mwenyeji wangu....nataka kuifahamu zaidi Lindi,hasa nikipata mwenyeji wa jinsia yako!
 
sio mwenyeji kiviile ila najua utamtoroka,nitakupa codes then tukutane,tukikubaliana nataka ukanitembeze mbali zaidi ukiwa kama mwenyeji wangu....nataka kuifahamu zaidi Lindi,hasa nikipata mwenyeji wa jinsia yako!
Hahahaa karibu sana Lindi kuchele,.
 
Kwa hiyo habar ya mikorosho mmeacha?
Jf raha sana

Nisaidieni nipate Miche ya bure kisha muendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…