Fursa ya kupakia udongo kutoka machimboni

Ok9

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
4,549
Reaction score
4,133
Nina wazo 1.
Hapa nilipo kuna mialo ya kupembua dhahabu.(kwa walioishi machimboni wanajua).
Sasa wanapakia marudio kwa makoleo. Nawaza nikipata kijiko cha kupakia kinaweza kurahisisha kaz maana kujaza fuso 1 ni elf 50.

Kijiko kinaweza kuwa bei gani?
Gharama za uendeshaji zikoje hususan kwenye mafuta na vilainishi Kama hydraulic.

Tuweke utani pembeni maana watasema nazungumzia kijiko cha kula...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…