Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,549
- 4,133
Nina wazo 1.
Hapa nilipo kuna mialo ya kupembua dhahabu.(kwa walioishi machimboni wanajua).
Sasa wanapakia marudio kwa makoleo. Nawaza nikipata kijiko cha kupakia kinaweza kurahisisha kaz maana kujaza fuso 1 ni elf 50.
Kijiko kinaweza kuwa bei gani?
Gharama za uendeshaji zikoje hususan kwenye mafuta na vilainishi Kama hydraulic.
Tuweke utani pembeni maana watasema nazungumzia kijiko cha kula...
Hapa nilipo kuna mialo ya kupembua dhahabu.(kwa walioishi machimboni wanajua).
Sasa wanapakia marudio kwa makoleo. Nawaza nikipata kijiko cha kupakia kinaweza kurahisisha kaz maana kujaza fuso 1 ni elf 50.
Kijiko kinaweza kuwa bei gani?
Gharama za uendeshaji zikoje hususan kwenye mafuta na vilainishi Kama hydraulic.
Tuweke utani pembeni maana watasema nazungumzia kijiko cha kula...