Fursa ya kuwekeza kwa msingi mdogo

ACHANA NA UJINGA FANYA VITU MAKINI

Ukiona mtu Ana mtu Ana kushawishi kuingia katika biashara ya mtandao kimbia paka uvunjike,Haijalishi huyo mtu una heshimiana naye kiasi gan Hana tofauti na TAPELI,Usipende pesa za fasta fasta,wanacho kitaka ni pesa yako na si kwamba Wana taka wewe ufanikiwe,wanacho fanya ni kukupa ahadi ambazo huwezi kukimbia ila wewe usipeleke hela yako kwa kitu kusicho leta mantiki,wata kufililisi na kukuletea matatizo,kimbia utapeli wa mtandaoni,FANYA BIASHARA HALISI,POLE POLE NDIYO MWENDO.
 
...Kama na mimi ni kweli napata pesa ,nikimbie pia au nifanyaje?
 
Nani kasema kuna bure hapo? Ebu soma elewa vema ndo utoe comment kiongoz
Nime soma na nime elewa vzuri,ndiyo maana nika andika hvyo,kwa upande wangu haini ingii akilini mtu kutoa laki tano na baada ya mwezi kupata milioni kadhaa,yani ata uncle wangu hapa Ana soma chekechea ukimwambia huo ujinga ata kupiga makofi.....
 
Nime soma na nime elewa vzuri,ndiyo maana nika andika hvyo,kwa upande wangu haini ingii akilini mtu kutoa laki tano na baada ya mwezi kupata milioni kadhaa,yani ata uncle wangu hapa Ana soma chekechea ukimwambia huo ujinga ata kupiga makofi.....
Fanya utafiti Tangazo limetolewa lini jiulize hadi sasa ni nani kalizwa ukipata jibu njoo tena
 
Ila katika huu ulimwengu sitaki kuamini kuwa Kuna kitu cha bure Bila kutoka jasho
Hakuna bure ila tofauti yetu ni uoga wako katika ku-take risks.....Hapa ninavyokuambia tangu mwaka 2015 niliamua kuinvest kwenye High Risk businesses za aina hii(zimekuwa ndiyo Primary Investment Options zangu) .....baada ya kuona miyeyusho miingi kwenye biashara ambazo sina uwezo wa kuzisimamia physically ( zenye Less Risks) ......hapa ninavyoongea ninatumia faida toka kwenye hizo bashara zenye risks kuendeleza vitega uchumi ambavyo nimeviweka katika secondary options kama vile mashamba , ufugaji na nyumba za biashara.......hasara zipo kama biashra yeyote ila kwa mjasiriamali siyo agenda kabisa...sasa hapa nikimbie au? huwa siwaelewi kabisa hasa mnavyosingizia kwamba hela hakuna ,maisha magumu nk...sasa mnataka mpewe nini ?
 
Nime soma na nime elewa vzuri,ndiyo maana nika andika hvyo,kwa upande wangu haini ingii akilini mtu kutoa laki tano na baada ya mwezi kupata milioni kadhaa,yani ata uncle wangu hapa Ana soma chekechea ukimwambia huo ujinga ata kupiga makofi.....
Si unaona sasa unasema umesoma ukaelewa kumbe zeee hujaelewa kitu wiki 52 ni mwenz mmoja huo?
 
Sawa mkuu Nita kuja
 
Mkuu Abdul nitakutafuta.......haya ndiyo mambo ya kuyafuatilia katika mitandao...achaneni na wapuuzi wanaopinga kila kitu....


Karibu sana, kwetu ni Kibaha, Misugusugu shule.

Tungependelea sana uje ujionee kwa macho yako shughuli tunazofanya katika uwekezaji wetu.

0625249605
 
OK...50% inarudi ndani ya miezi mitatu-sita ,vipi kuhusu ile 50% nyingine?....na kwa hesabu zenu na uzoefu, je,nitakuwa napata kiasi gani kwa kila wiki????
OK...50% inarudi ndani ya miezi mitatu-sita ,vipi kuhusu ile 50% nyingine?....na kwa hesabu zenu na uzoefu, je,nitakuwa napata kiasi gani kwa kila wiki????


Kwa kifupi, huwa tunajitahidi sana tulipe pesa zote kabla ya maximum ya 50 weeks kwa uwekezaaji wa 500,000 na kabla ya 2 weeks kwa uwekezaji wa 5,000,000 kama hivi:

1) Kwa uwekezaji wa 500,000 tarajia kupokea wiki moja baada ya siku 30 na kuendelea kwa wiki 52, wiki mbili za mwisho tunakata kama service charge. Kwa hiyo utapokea 20,000 X 50 = 1,000,000

Wiki zingine tunaweza tukakutumia zaidi ya 20,000 na endapo itatokea hivyo basi kuna wiki tunaweza tusitume, lakini kwa ujumla haitozidi wiki 50 au chini ya hapo kabisa kupata marejeo yako.

2) Kwa uwekezaji wa 5,000,000 tarajia kupokea wiki moja baada ya siku 30 - 45 na kuendelea kwa wiki 26. Kwa hiyo utapokea uwiano wa 289,000 X 26 = 7,514,000, utapokea pesa isiyozidi 7,500,000 (hiyo 14,000 imezidi kwenye calculation).
 
kwa uwekezaji huu mdogo ,nitarajie kupata kiasi gani kwa wiki?

1) Kwa uwekezaji wa 500,000 tarajia kupokea wiki moja baada ya siku 30 na kuendelea kwa wiki 52, wiki mbili za mwisho tunakata kama service charge. Kwa hiyo utapokea 20,000 X 50 = 1,000,000

Wiki zingine tunaweza tukakutumia zaidi ya 20,000 na endapo itatokea hivyo basi kuna wiki tunaweza tusitume, lakini kwa ujula haitozidi wiki 50 au chini ya hapo kabisa kupata marejeo yako.

2) Kwa uwekezaji wa 5,000,000 tarajia kupokea wiki moja baada ya siku 30 - 45 na kuendelea kwa wiki 26. Kwa hiyo utapokea uwiano wa 289,000 X 26 = 7,514,000, utapokea pesa isiyozidi 7,500,000 (hiyo 14,000 imezidi kwenye calculation).


Tunaomba ufahamu tu, huwa tunajitahidi turudishe mtaji na faida kwako kabla ya muda tuliouweka. Muda tuliouweka ni maximum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…