ukuwi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 861
- 1,426
ACHANA NA UJINGA FANYA VITU MAKINI
Ukiona mtu Ana mtu Ana kushawishi kuingia katika biashara ya mtandao kimbia paka uvunjike,Haijalishi huyo mtu una heshimiana naye kiasi gan Hana tofauti na TAPELI,Usipende pesa za fasta fasta,wanacho kitaka ni pesa yako na si kwamba Wana taka wewe ufanikiwe,wanacho fanya ni kukupa ahadi ambazo huwezi kukimbia ila wewe usipeleke hela yako kwa kitu kusicho leta mantiki,wata kufililisi na kukuletea matatizo,kimbia utapeli wa mtandaoni,FANYA BIASHARA HALISI,POLE POLE NDIYO MWENDO.
Ukiona mtu Ana mtu Ana kushawishi kuingia katika biashara ya mtandao kimbia paka uvunjike,Haijalishi huyo mtu una heshimiana naye kiasi gan Hana tofauti na TAPELI,Usipende pesa za fasta fasta,wanacho kitaka ni pesa yako na si kwamba Wana taka wewe ufanikiwe,wanacho fanya ni kukupa ahadi ambazo huwezi kukimbia ila wewe usipeleke hela yako kwa kitu kusicho leta mantiki,wata kufililisi na kukuletea matatizo,kimbia utapeli wa mtandaoni,FANYA BIASHARA HALISI,POLE POLE NDIYO MWENDO.